< Genesis 4 >

1 Kinaidda ti lalaki ti asawana a ni Eva. Nagsikog isuna ket impasngayna ni Cain. Kinuna ti babai, “Nangipasngayak iti lalaki babaen iti tulong ni Yahweh.”
Mwanume akalala na Hawa mke wake. Akabeba mimba na akamzaa Kaini. Akasema, “nimezaa mwanaume kwa msaada wa Yahwe.”
2 Kalpasanna, impasngayna ti kabsat ni Cain a ni Abel. Ita, ni Abel ket nagbalin nga agpaspastor, idinto a ni Cain ket nagtrabaho iti daga.
Kisha akazaa ndugu yake Habili. Sasa Habili akawa mchungaji, lakini Kaini alilima udongo.
3 Napasamak nga iti panaglabas ti tiempo, nangidatag ni Cain kadagiti bunga ti daga kas daton kenni Yahweh.
Ikawa kwamba baada ya muda Kaini alileta sehemu ya mazao ya ardhi kama sadaka kwa Yahwe.
4 Ni Abel met ket nangidatag manipud kadagiti umuna nga annak ti arbanna ken kadagiti taba. Inawat ni Yahweh ni Abel ken ti datonna,
Habili pia, alileta sehemu ya wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona. Yahwe akamkubali Habili pamoja na sadaka yake,
5 ngem saanna nga inawat ni Cain ken ti datonna. Isu a nakaunget unay ni Cain, ket nagruppanget isuna.
lakini Kaini pamoja na sadaka yake Mungu hakuikubali. Kwa hiyo Kaini alikasirika sana, na uso wake ukakunjamana.
6 Kinuna ni Yahweh kenni Cain, “Apay ngay met a makaunget ken nakaruppangetka?
Yahwe akamwambia Kaini, “kwa nini umekasirika na kwa nini uso wako umekunjamana?
7 No ar-aramidem ti umno, saanka kadi nga awaten? Ngem no saanmo nga ar-aramiden ti umno, agur-uray ti basol iti ruangan ket tartarigagayannaka a tenglen, ngem masapul nga iturayam daytoy.”
Kama ukifanya vema, je hutapata kibali? lakini kama hutafanya lilio jema, dhambi iko inakuotea mlangoni na inatamani kukutawala, lakini inakupasa uishinde.
8 Nakisarita ni Cain iti kabsatna a ni Abel, ket kabayatan nga addada iti kataltalunan, dinuklos ni Cain ti kabsatna a ni Abel ket pinatayna isuna.
Kaini akamwambia Habili ndugu yake. Hata wakati walipokuwa shambani, Kaini aliinuka dhidi ya Habili ndugu yake na akamuua. (Katika tafsiri za kale zinasema, Kaini alimwambia Habili ndugu yake, “twende mashambani.” Na wakati walipokuwa shambani, Kaini alimuinukia Habili ndugu yake na kumuua).
9 Kalpasanna, kinuna ni Yahweh kenni Cain, “Sadino ti ayan ti kabsatmo a ni Abel?” Kinunana, “Saanko nga ammo. Siak aya ti para-aywan iti kabsatko?”
Kisha Yahwe akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Habili yuko wapi?” Akasema, “sijui. Je mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”
10 Kinuna ni Yahweh, “Ania ti inaramidmo? Umaw-awag kaniak ti dara ti kabsatmo manipud iti daga.
Yahwe akasema, “umefanya nini? damu ya ndugu yako inaniita mimi kutokea ardhini.
11 Ita, nailunodka iti daga, inungapna dagiti ngiwatna a mangawat iti dara ti kabsatmo manipud iti imam.
Na sasa umelaaniwa wewe kutoka ardhi ambayo imefungua kinywa chake kupokea damu ya ndugu yako kutoka mikononi mwako.
12 Manipud ita, no sukayem ti daga, saanna nga ipaay ti pigsana kenka. Aglemmelemmeng ken agalla-allakanto iti daga.”
Utakapo ilima ardhi, kuanzia sasa na kuendelea haita kuzalia wewe nguvu yake. Utakuwa mkimbizi na mtu asiye na makao duniani.”
13 Kinuna ni Cain kenni Yahweh,” Ti dusak ket dakdakkel ngem iti kabaelak.
Kaini akamwambia Yahwe, “Adhabu yangu ni kubwa kuliko uwezo wangu wa kustahimili.
14 Pudno, iti daytoy nga aldaw ket pinatalawnakon manipud iti daytoy a daga ket mailemmengakto manipud iti rupam. Aglemmelemmeng ken agalla-allaakto iti daga, ket siasinoman a makasarak kaniak ket patayennak.”
Kwa hakika umenifukuza siku hii ya leo kutoka kwenye ardhi hii, na sitaonekana mbele ya uso wako. Nitakuwa mkimbizi na mtu nisiye na makao katika dunia, na yeyote atakaye niona ataniua.”
15 Kinuna ni Yahweh kenkuana, “No addaman ti mangpapatay kenni Cain, mabalesto isuna iti maminpito a daras.” Kalpasanna, minarkaan ni Yahweh ni Cain, tapno saanto isuna a dangran ti siasinoman a tao a makasarak kenkuana.
Yahwe akamwambia, “ikiwa mtuyeyote atamuua Kaini, kisasi kitakuwa juu yake mara saba.” Kisha Yahwe akaweka alama juu ya Kaini, ili kwamba kama mtu awayeyote akimuona, mtu huyo asimshambulie.
16 Isu a pimmanaw ni Cain manipud iti presensia ni Yahweh ket nagnaed iti daga iti Nod, iti daya iti Eden.
Kwa hiyo Kaini akatoka mbele ya uwepo wa Yahwe na akaishi katika nchi ya Nodi, mashariki mwa Edeni.
17 Kinaidda ni Cain ti asawana ket nagsikog. Impasngayna ni Enoc. Nangibangon isuna iti siudad ket pinanagananna daytoy nga insurotna iti nagan ti putotna a ni Enoc.
Kaini akamjua mke wake na akapata mimba. Akamzaa Henoko. Akajenga mji na akauita kwa jina la mwanae Henoko.
18 Naaddaan ni Enoc iti putot ket isu ni Irad. Naaddaan ni Irad iti putot ket isu ni Mehujael. Naaddan ni Mehujael iti putot ket isu ni Metusael. Naaddaan ni Metusael iti putot ket isu ni Lamec.
Kwa Henoko akazaliwa Iradi. Iradi akamzaa Mehuyaeli. Mehuyaeli akamzaa Methushaeli. Methushaeli akamzaa Lameki.
19 Dua iti inasawa ni Lamec: Ada ti nagan ti maysa ken Zilla met ti nagan ti maysa.
Lameki akajitwalia wake wawili: jinala mmoja alikuwa Ada, na jina la yule mwingine alikuwa Sila.
20 Impasngay ni Ada ni Jabal. Isuna ti ama dagiti agnanaed kadagiti tolda nga addaan kadagiti taraken nga ayup.
Ada akamzaa Yabali. Huyu ndiye alikuwa baba yao na wale walioishi hemani ambao wanafuga wanyama.
21 Jubal ti nagan ti kabsatna a lalaki. Isuna ti ama dagiti agtuktukar iti arpa ken plauta.
Ndugu yake aliitwa Yubali. Huyu alikuwa baba yao na wale wapigao kinubi na filimbi.
22 Ni Zilla met, impasngayna ni Tubal Cain, nga agpanpanday kadagiti alikamen a tanso ken landok. Ti kabsat a babai ni Tubal Cain ket ni Naama.
Sila naye akamzaa Tubal Kaini, mfua vyombo vya shaba na chuma. Dada yake na Tubal Kaini alikuwa Naama.
23 Kinuna ni Lamec kadagiti assawana, “Ada ken Zilla, dummegkayo iti timekko; dakayo nga assawa ni Lamec, dumngegkayo iti ibagak. Ta nakapatayak iti lalaki gapu iti panangsugatna kaniak, maysa nga agtutubo a lalaki gapu ta dinunornak.
Lameki akawaambia wake zake, Ada na Sila, sikieni sauti yangu; ninyi wake wa Lameki, sikilizeni nisemacho. Kwa kuwa nimemuua mtu kwa kunijeruhi, kijana kwa kunichubua.
24 No ni Cain ket naibales iti naminpito a daras, pudno a maibales ni Lamec iti pitopulo ket pito a daras.”
Ikiwa Kaini atalipiwa kisasi mara saba, ndipo Lameki atalipiwa kisasi mara sabini na saba.”
25 Kinaidda manen ni Adan ti asawana ket naganak iti maysa pay a lalaki. Pinanaganan ni Eva dayta iti Set ket kinunana, “Inikkannak ti Dios iti maysa pay nga anak a lalaki a kasukat ni Abel, ta pinatay isuna ni Cain.”
Adam akamjua mke wake tena, na akazaa mtoto mwanaume. Akamuita jina lake Sethi na akasema, “Mungu amenipatia mtoto mwingine wa kiume kwa nafasi ya Habili, kwa kuwa Kaini alimuuwa.”
26 Naaddaan ni Set iti putot ket pinanagananna iti Enos. Kalpasanna, ket inrugi dagiti tattao nga immawag iti nagan ni Yahweh.
Mtoto wa kiume alizaliwa kwa Sethi na akamuita jina lake Enoshi. Wakati huo watu walianza kuliitia jina la Yahwe.

< Genesis 4 >