< Genesis 36 >

1 Dagitoy dagiti kaputotan ni Esau (a maawagan met laeng iti Edom).
Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
2 Nangala ni Esau iti assawana manipud kadagiti Canaanita. Dagitoy dagiti assawana: ni Ada a putot ni Elon a Heteo; ni Oholibama a putot ni Ana ken apoko ni Zibeon a Heteo;
Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
3 ken ni Basemat a putot ni Ismael ken kabsat ni Nebayot.
pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
4 Impasngay ni Ada ni Elifaz kenni Esau, ken impasngay ni Basemat ni Reuel.
Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
5 Impasngay ni Oholibamah da Jeus, Jaalam, ken Kora. Dagitoy dagiti lallaki a putot ni Esau a naipasngay idiay Canaan.
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
6 Innala ni Esau dagiti assawana, dagiti putotna a lallaki ken babbai ken amin a kameng ti sangkabalayanna, dagiti tarakenna –amin nga ayupna ken amin a sanikuana a naurnongna idiay daga ti Canaan ket napanda iti lugar nga adayo manipud iti kabsatna a ni Jacob.
Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
7 Inaramidna daytoy gapu ta adu unay ti sanikuada no agtalinaeda a dua sadiay. Saan nga umanay kadakuada ti daga a nagnaedanda gapu kadagiti tarakenda.
Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
8 Isu a ni Esau a maawagan met laeng iti Edom ket nagnaed iti katurturodan a pagilian iti Seir.
Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
9 Dagiti sumaganad ket dagiti kaputotan ni Esau, a kapuonan dagiti Edomita iti katurturodan a pagilian ti Seir.
Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
10 Dagitoy dagiti nagan dagiti lallaki a putot ni Esau: ni Elifaz nga anak a lalaki ni Ada nga asawa ni Esau; ni Reuel nga anak a lallaki ni Basemat nga asawa ni Esau.
Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
11 Dagitoy met dagiti lallaki a putot ni Elifaz: da Teman, Omar, Zepo, Gatam ken Kenaz.
Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
12 Impasngay met ni Timna a maysa nga inkabbalay ni Elifaz a putot ni Esau ni Amalek. Appoko dagitoy ni Ada nga asawa ni Esau.
Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
13 Dagitoy dagiti lallaki a putot ni Reuel: da Nahat, Zera, Samma ken Mizza. Appoko dagitoy ni Basemat nga asawa ni Esau.
Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
14 Dagitoy met dagiti annak a lallaki da Esau ken Oholibama nga asawana. Ni Oholibama ket putot ni Ana ken apoko ni Zibeon. Impasngayna kenni Esau da Jeus, Jaalam ken Kora.
Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
15 Dagitoy dagiti puli manipud iti kaputotan ni Esau: dagiti kaputotan ni Elifaz nga inauna a lalaki a putot ni Esau: da Teman, Omar, Zepo, Kenaz,
Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
16 Kora, Gatam ken Amalek. Dagitoy ket puli a nagtaud kenni Elifaz idiay daga ti Edom. Isuda ket lallaki nga appoko ni Ada.
Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
17 Dagitoy dagiti puli a nagtaud kenni Reuel, a lalaki a putot ni Esau: da Nahat, Zera, Samma ken Mizza. Dagitoy dagiti puli a nagtaud kenni Reuel iti daga ti Edom. Isuda dagiti appoko a lallaki ni Basemat nga asawa ni Esau. Dagitoy dagiti puli ni Oholibama nga asawa ni Esau: da Jeus, Jaalam ken Kora.
Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
18 Dagitoy dagiti puli a nagtaud kenni Oholibama nga asawa ni Esau, a putot ni Ana.
Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
19 Dagitoy dagiti putot a lallaki ni Esau, ken dagitoy dagiti pulida.
Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
20 Dagitoy dagiti a lallaki a putot ni Seir a Horeo nga agnanaed iti daga: da Lotan, Sobal, Zibeon, Ana,
Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
21 Dison, Ezer ken Disan. Dagitoy dagiti puli dagiti Horeo, dagiti agnanaed idiay Seir iti daga ti Edom.
Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
22 Dagiti lallaki a putot ni Lotan ket da Hori ken Heman. Ni Timna ket kabsat a babai ni Lotan.
Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
23 Dagitoy dagiti lallaki a putot ni Sobal: da Alban, Manahat, Ebal, Sefo ken Onam.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
24 Dagitoy dagiti lallaki a putot ni Zibeon, da Aya ken Ana. Isu daytoy ni Ana a nakasarak iti napudot nga ubbog iti let-ang kabayatan nga ipaspastorna dagiti asno ni Zibeon nga amana.
Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
25 Dagitoy dagiti putot ni Ana: ni Dison ken ni Oholibama a putot a babai ni Ana.
Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
26 Dagitoy dagiti lallaki a putot ni Dison: da Hemdan, Esban, Itran, ken Keran.
Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
27 Dagitoy dagiti lallaki a putot ni Ezer: da Bilhan, Zaavan ken Akan.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
28 Dagitoy dagiti lallaki a putot ni Disan: ni Uz ken ni Aran.
Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
29 Dagitoy dagiti puli dagiti Horeo: da Lotan, Sobal, Zibeon, ken Ana,
Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
30 Dison, Ezer, Disan: Dagitoy dagiti puli dagiti Horeo segun iti listaan dagiti pulida iti daga ti Seir.
Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
31 Dagitoy dagiti ari a nagturay idiay Edom sakbay nga adda nagturay nga ari kadagiti Israelita:
Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
32 Nagturay ni Bela a lalaki a putot ni Beor idiay Edom ken ti nagan ti siudadna ket Dinhaba.
Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
33 Idi natay ni Bela, simmukat kas ari ni Jobab a lalaki a putot ni Zera a taga-Bozra.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
34 Idi natay ni Jobab, naisukat a nagari ni Husam a nagtaud iti daga dagiti Temanita.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
35 Idi natay ni Husam, naisukat a nagari ni Hadad a lalaki a putot ni Bedad. Isuna ti nangparmek kadagiti Midianita iti daga ti Moab. Ti nagan ti siudadna ket Avit.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
36 Idi natay ni Hadad, naisukat a nagari ni Samla a taga-Masrecca.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
37 Idi natay ni Samla, naisukat a nagari ni Saul a a nagtaud idiay Rehobot nga asideg iti karayan Eufrates.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
38 Idi natay ni Saul, naisukat a nagari ni Baal Hanan a lalaki a putot ni Akbor.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
39 Idi natay ni Baal Hanan a putot ni Akbor, naisukat a nagari ni Hadar. Ti nagan ti siudadna ket Pau. Ti nagan ti asawana ket ni Mehetabel a babai a putot ni Matred ken apoko a babai ni Me Zahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
40 Dagitoy dagiti nagan dagiti panguloen dagiti puli manipud iti kaputotan ni Esau, segun iti pulida ken kadagiti rehionda, ken segun kadagiti nagnaganda: da Timna, Alva, Jetet,
Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
41 Oholibama, Ela, Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
42 Kenaz, Teman, Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
43 Magdiel ken Iram. Dagitoy dagiti panguloen dagiti puli ni Edom segun iti pannakaurnosda iti daga a tinagikuada. Daytoy ni Esau nga ama dagiti Edomita.
Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.

< Genesis 36 >