< Genesis 29 >
1 Ket intuloy ni Jacob ti panagdaliasatna ket nakadanun iti daga dagiti tattao iti daya.
Kisha Yakobo akaendelea na safari yake na akafika katika nchi ya watu wa mashariki.
2 Idi kimmita isuna, nakakita iti bubon iti tay-ak, ket adda nakitana a tallo nga arban dagiti karnero nga agid-idda iti abay ti bubon. Ta manipud iti dayta a bubon ket painumenda dagiti arban, ket dakkel ti bato nga adda iti sungaban ti bubon.
Hata alipotazama, akaona kisima kondeni, na, tazama, makundi matatu ya kondoo yalikuwa yamelala kando yake. Kwani kutoka katika hicho wangeyanywesha makundi, na jiwe juu ya mdomo wa kisima lilikuwa kubwa.
3 No kasta naurnongen dagiti amin nga arban sadiay, itulid dagiti agpaspastor ti bato manipud iti sungaban ti bubon ket painumenda dagiti karnero, ket ikabilda manen ti bato iti sungaban ti bubon, a sigud nga ayanna.
Wakati makundi yote yangekusanyika pale, wachungaji wangevingirisha jiwe kutoka katika mdomo wa kisima na kuwanywesha kondoo, na kisha kurudisha jiwe juu ya mdomo wa kisima, mahali pake.
4 Kinuna ni Jacob kadakuada, “Kakabsatko, taga-anokayo?” Ket kinunada, “Taga-Harankami.”
Yakobo akawambia, “Ndugu zangu, ninyi mnatokea wapi?” nao wakasema, “Tunatoka Harani.”
5 Kinunana kadakuada, “Am-ammoyo kadi ni Laban nga anak ni Nahor?” Kinunada, “Am-ammomi isuna.”
Akawambia, “Mnamfahamu Labani mwana wa Nahori?” Wakasema, “Tunamfahamu.”
6 Kinunana kadakuada, “Nasayaat kadi ti kasasaadna?” Kinunada, “Nasayaat ti kasasaadna, ken, kumitaka sadiay, um-umay ni Raquel nga anakna agraman dagiti karnero.”
Akawambia, “Je hajambo?” Wakasema, “Hajambo, na, tazama pale, Raheli binti yake anakuja na kondoo.”
7 Kinuna ni Jacob, “Kitaenyo, tengnga ti aldaw tatta. Saan pay a daytoy ti umno nga oras a maurnong dagiti arban. Masapul a painumenyo dagiti karnero ket kalpasanna, mapankayo ket bay-anyo ida nga agarab.”
Yakobo akasema, “Tazama, ni mchana. Siyo wakati wa kukusanya kondoo pamoja. Mnapaswa kuwanywesha kondoo na kisha mkaenda na kuwaacha wachunge.”
8 Kinunada, “Saanmi a mabalin a painumen dagiti karnero agingga a saan pay a naurnong amin dagitoy. Ket itulidto dagiti lallaki ti bato manipud iti sungaban ti bubon, ket painumenminto dagiti karnero.”
Wakamwambia, “Hatuwezi kuwanywesha mpaka makundi yote yakusanyike pamoja. Ndipo wanaume watakapovingirisha jiwe kutoka mlangoni mwa kisima, na ndipo tutakapowanywesha kondoo.”
9 Kabayatan a makisarsarita pay laeng ni Jacob kadakuada, dimteng ni Raquel agraman dagiti karnero ni tatangna, ta ipaspastorna dagitoy.
Wakati bado Yakobo anaongea nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa babaye, kwani alikuwa akiwachunga.
10 Idi nakita ni Jacob ni Raquel a putot a babai ni Laban a kabsat ti inana, ken dagiti karnero ni Laban, immasideg ni Jacob, intulidna ti bato manipud iti sungaban ti bubon ket pinainumna dagiti arban ni Laban a kabsat ti inana.
Yakobo alipomwona Raheli, binti wa Labani, kaka wa mamaye, na kondoo wa Labani, kaka wa mama yake, Yakobo akaja juu, akalivingirisha jiwe kutoka mlangoni mwa kisima, na akawanywesha kondoo wa Labani, kaka wa mama yake.
11 Inagkan ni Jacob ni Raquel ket nagsangit iti napigsa.
Yakobo akambusu Raheli na akalia kwa sauti.
12 Imbaga ni Jacob kenni Raquel a kabagian isuna ti amana, ken isuna ket anak ni Rebecca. Kalpasanna, nagtaray ni Raquel ket napanna imbaga kenni tatangna.
Yakobo akamwambia Raheli kwamba alikuwa ni ndugu wa baba yake, na kwamba alikuwa mwana wa Rebeka. Kisha yeye akakimbia kumwambia baba yake.
13 Idi nangngeg ni Laban ti damag maipanggep kenni Jacob nga anak ti kabsatna a babai, nagtaray isuna a nangsabat kenkuana, inarakupna, inagkanna, ken inkuyogna iti balayna. Imbaga ni Jacob kenni Laban amin dagitoy a banbanag.
Labani aliposikia habari kuhusu Yakobo mwana wa dada yake, akaenda kukutana naye, akamkumbatia, akambusu, na kumleta nyumbani kwake. Yakobo akamwambia Labani mambo haya yote.
14 Kinuna ni Laban kenkuana, “Pudno a sika ket tulang ken lasagko.” Ket nakipagnaed ni Jacob kenkuana iti agarup maysa a bulan.
Labani akamwambia, “Kwa hakika wewe ni mfupa wangu na nyama yangu.” Kisha Yakobo akakaa naye kama mwezi mmoja.
15 Kalpasanna, kinuna ni Laban kenni Jacob, “Gapu ta kabagianka, rumbeng kadi nga agserbika kaniak nga awan aniamanna? Ibagam kaniak, ania ti kayatmo nga itedko kas tangdanmo?”
Kisha Labani akamwambia Yakobo, “Je unitumikie bure kwa kuwa wewe ni ndugu yangu? Niambie, ujira wako utakuwaje?
16 Ita, addaan ni Laban iti dua a putot a babbai. Ti nagan ti inauna ket Lea, ken ti nagan ti inaudi ket Raquel.
Basi Labani alikuwa na binti wawili. Jina la mkubwa lilikuwa ni Lea, na jina la mdogo lilikuwa Raheli.
17 Napungay dagiti mata ni Lea, ngem napintas ti pammagi ken langa ni Raquel.
Macho ya Lea yalikuwa dhaifu, lakini Raheli alikuwa mzuri wa umbo na mwonekano.
18 Inayat ni Jacob ni Raquel, isu a kinunana, “Agserbiak kenka iti pito a tawen para kenni Raquel, nga inaudi nga anakmo.”
Yakobo alimpenda Raheli, hivyo akasema, “Nitakutumikia miaka saba kwa ajili ya Raheli, binti yako mdogo.”
19 Kinuna ni Laban, “Nasaysayaat nga itedko isuna kenka, ngem ti itedko isuna iti sabali a lalaki. Makipagnaedka kaniak.”
Labani akasema, Itakuwa vema kukupa wewe, kuliko kumpa mtu mwingine. Kaa nami.”
20 Isu a nagserbi ni Jacob iti pito a tawen para kenni Raquel; ket kasla bassit laeng nga aldaw dagitoy kenkuana, gapu iti ayatna para kenkuana.
Hivyo Yakobo akamtumikia kwa miaka saba kwa ajili ya Raheli; nayo ilionekana kwake kama siku chache tu, kwa ajili ya upendo aliokuwa nao kwake.
21 Kalpasanna ket kinuna ni Jacob kenni Laban, “Itedmo kaniak ti asawak, ta naan-anayen dagiti aldawko - iti kasta ket maasawak isuna.”
Kisha Yakobo akamwambia Labani, “Nipe mke wangu, kwani siku zangu zimetimia - ili kwamba nimwoe!
22 Inummong ngarud ni Laban dagiti amin a tattao iti dayta a lugar ket nagpadaya.
Hivyo Labani akawaalika watu wa mahali hapo na kuandaa sherehe.
23 Iti rabii, innala ni Laban ni Lea a putotna ket impanna kenni Jacob ket kinaiddana daytoy.
Wakati wa jioni, Labani akamchukua Lea binti yake mkubwa na kumleta kwa Yakobo, aliyelala naye.
24 Inted met ni Laban ni Zilpa nga adipenna a babai kenni Lea a putotna nga agbalin nga adipen ni Lea.
Labani akampa mtumishi wake wakike Zilpa kuwa mjakazi wa Lea.
25 Iti agsapa, ni Lea met gayam ti adda! Kinuna ni Jacob kenni Laban, “Ania daytoy nga inaramidmo kaniak? Saan kadi a nagserbiak kenka para kenni Raquel? Apay ngarud nga inallilawnak?”
Ilipofika asubuhi, tazama, kumbe ni Lea! Yakobo akamwambia Labani, “Ni nini hiki ulichonifanyia? Je sikukutumikia kwa ajili ya Raheli? Kwa nini basi umenihadaa?
26 Kinuna ni Laban, “Saanmi a kaugalian nga ited ti inaudi nga anak a babai sakbay ti inauna.
Labani akamwambia, “Siyo utamaduni wetu kumtoa bindi mdogo kabla ya mzaliwa wa kwanza.
27 Palpasem ti makalawas a rambak ti kasar para iti daytoy nga anakko, ket itedminto met kenka ti maysa pay kas kasukat ti panagserbim kaniak iti pito pay a tawen.”
Timiza juma la bibi arusi, na tutakupa yule mwingine pia kwa mbadala wa kunitumikia miaka mingine saba.”
28 Kasta ngarud ti inaramid ni Jacob, ket lineppasna ti makalawas a rambak para kenni Lea. Kalpasanna, inted ni Laban kenni Jacob ni Raquel a putotna kas maysa pay nga asawa daytoy.
Yakobo akafanya hivyo, na akatimiza juma la Lea. Kisha Labani akampa Raheli binti yake kuwa mke wake.
29 Inted met ni Laban ni Bilha nga adipenna a babai kenni Raquel tapno agbalin nga adipenna.
Lakini pia Labani akampa Raheli binti yake Bilha, kuwa mjakazi wake.
30 Isu nga inasawa met ni Jacob ni Raquel, ngem ad-adda nga inayatna ni Raquel ngem ni Lea. Nagserbi ngarud ni Jacob kenni Laban iti pito pay a tawen.
Hivyo Yakobo akalala na Raheli, pia, lakini akampenda Raheli zaidi ya Lea. Hivyo Yakobo akamtumikia Labani kwa miaka saba mingine.
31 Nakita ni Yahweh a saan nga inayat ni Jacob ni Lea, isu a pinagsikogna daytoy, ngem ni Raquel ket awanan iti anak.
Yahwe akaona kwamba Lea hakupendwa, hivyo akalifungua tumbo lake, lakini Raheli hakuwa na mtoto.
32 Nagsikog ni Lea ket naganak iti maysa a lalaki, ket pinanagananna iti Ruben. Ta kinunana, “Gapu ta nakita ni Yahweh ti panagsagabak; ita, ayatennakon ti asawak.”
Lea akashika mimba na kuzaa mwana, naye akamwita Rubeni. Kwani alisema, “Kwa sababu Yahwe ameliangalia teso langu; bila shaka mme wangu sasa atanipenda.”
33 Kalpasanna, nagsikog manen isuna ket naganak iti lalaki. Kinunana, “Gapu ta nangngeg ni Yahweh a saannak nga inayat ti asawak, intedna pay ngarud kaniak daytoy nga anak a lalaki,” ket pinanagananna iti Simeon.
Kisha akashika mimba tena na kuzaa mwana. Akasema, “Kwa sababu Yahwe amesikia kwamba sipendwi, kwa hiyo amenipa mwana mwingine,” na akamwita Simoni.
34 Kalpasanna, nagsikog manen ket naganak iti lalaki. Kinunana, “Ita, maisinggalut kaniakon ti asawak, gapu ta tallon a lallaki ti annakmi.” Isu a pinanagananna daytoy iti Levi.
Kisha akashika mimba tena na kuzaa mwana. Akasema, “Wakati huu mme wangu ataungana nami, kwa kuwa nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akaitwa Lawi.
35 Nagsikog manen isuna ket naganak iti lalaki. Kinunana, “Ita, idaydayawko ni Yahweh.” Isu a pinanagananna iti Juda; kalpasanna simmardengen isuna nga aganak.
Akashika mimba tena na kuzaa mwana. Akasema, “Wakati huu nitamsifu Yahwe.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda; kisha akaacha kuzaa watoto.