< Genesis 29 >
1 Ket intuloy ni Jacob ti panagdaliasatna ket nakadanun iti daga dagiti tattao iti daya.
Kisha Yakobo akaendelea na safari yake na akafika kwenye nchi za mataifa ya mashariki.
2 Idi kimmita isuna, nakakita iti bubon iti tay-ak, ket adda nakitana a tallo nga arban dagiti karnero nga agid-idda iti abay ti bubon. Ta manipud iti dayta a bubon ket painumenda dagiti arban, ket dakkel ti bato nga adda iti sungaban ti bubon.
Huko akaona kisima katika shamba, pamoja na makundi matatu ya kondoo yamelala karibu na kisima hicho kwa sababu walikuwa wanakunywa maji kutoka kwenye kisimani hicho. Jiwe lililokuwa mdomoni mwa kisima lilikuwa kubwa.
3 No kasta naurnongen dagiti amin nga arban sadiay, itulid dagiti agpaspastor ti bato manipud iti sungaban ti bubon ket painumenda dagiti karnero, ket ikabilda manen ti bato iti sungaban ti bubon, a sigud nga ayanna.
Wakati kondoo wanapokuwa wamekusanyika hapo, wachungaji huvingirisha jiwe hilo kutoka kwenye mdomo wa kisima na kunywesha kondoo. Kisha hulirudisha jiwe mahali pake juu ya mdomo wa kisima.
4 Kinuna ni Jacob kadakuada, “Kakabsatko, taga-anokayo?” Ket kinunada, “Taga-Harankami.”
Yakobo aliwauliza wachungaji, “Ndugu zangu, ninyi mmetoka wapi?” Wakamjibu, “Tumetoka Harani.”
5 Kinunana kadakuada, “Am-ammoyo kadi ni Laban nga anak ni Nahor?” Kinunada, “Am-ammomi isuna.”
Aliwaambia, “Je, mnamjua Labani, mjukuu wa Nahori?” Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”
6 Kinunana kadakuada, “Nasayaat kadi ti kasasaadna?” Kinunada, “Nasayaat ti kasasaadna, ken, kumitaka sadiay, um-umay ni Raquel nga anakna agraman dagiti karnero.”
Kisha Yakobo akawauliza, “Je, yeye ni mzima?” Wakasema, “Ndiyo, ni mzima, na hapa yuaja Raheli binti yake akiwa na kondoo.”
7 Kinuna ni Jacob, “Kitaenyo, tengnga ti aldaw tatta. Saan pay a daytoy ti umno nga oras a maurnong dagiti arban. Masapul a painumenyo dagiti karnero ket kalpasanna, mapankayo ket bay-anyo ida nga agarab.”
Akasema, “Tazama, jua bado liko juu, si wakati wa kukusanya mifugo. Nywesheni kondoo na mwarudishe malishoni.”
8 Kinunada, “Saanmi a mabalin a painumen dagiti karnero agingga a saan pay a naurnong amin dagitoy. Ket itulidto dagiti lallaki ti bato manipud iti sungaban ti bubon, ket painumenminto dagiti karnero.”
Walijibu, “Haiwezekani, mpaka kondoo wote wakusanyike na jiwe liwe limevingirishwa kutoka mdomo wa kisima. Ndipo tutanywesha kondoo.”
9 Kabayatan a makisarsarita pay laeng ni Jacob kadakuada, dimteng ni Raquel agraman dagiti karnero ni tatangna, ta ipaspastorna dagitoy.
Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo.
10 Idi nakita ni Jacob ni Raquel a putot a babai ni Laban a kabsat ti inana, ken dagiti karnero ni Laban, immasideg ni Jacob, intulidna ti bato manipud iti sungaban ti bubon ket pinainumna dagiti arban ni Laban a kabsat ti inana.
Yakobo alipomwona Raheli binti Labani, ndugu wa mama yake, pamoja na kondoo wa Labani, alikwenda na kulivingirisha jiwe kutoka mdomoni mwa kisima na kuwanywesha kondoo wa mjomba wake.
11 Inagkan ni Jacob ni Raquel ket nagsangit iti napigsa.
Kisha Yakobo akambusu Raheli na akaanza kulia kwa sauti.
12 Imbaga ni Jacob kenni Raquel a kabagian isuna ti amana, ken isuna ket anak ni Rebecca. Kalpasanna, nagtaray ni Raquel ket napanna imbaga kenni tatangna.
Yakobo alikuwa amemwambia Raheli kuwa yeye alikuwa jamaa ya baba yake, na kwamba ni mwana wa Rebeka. Basi Raheli alikimbia na kumweleza baba yake.
13 Idi nangngeg ni Laban ti damag maipanggep kenni Jacob nga anak ti kabsatna a babai, nagtaray isuna a nangsabat kenkuana, inarakupna, inagkanna, ken inkuyogna iti balayna. Imbaga ni Jacob kenni Laban amin dagitoy a banbanag.
Mara Labani aliposikia habari kuhusu Yakobo, mwana wa ndugu yake, aliharakisha kwenda kumlaki. Akamkumbatia na kumbusu, halafu akamleta nyumbani kwake, kisha Yakobo akamwambia mambo yote.
14 Kinuna ni Laban kenkuana, “Pudno a sika ket tulang ken lasagko.” Ket nakipagnaed ni Jacob kenkuana iti agarup maysa a bulan.
Ndipo Labani akamwambia, “Wewe ni nyama yangu na damu yangu mwenyewe.” Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezi mzima,
15 Kalpasanna, kinuna ni Laban kenni Jacob, “Gapu ta kabagianka, rumbeng kadi nga agserbika kaniak nga awan aniamanna? Ibagam kaniak, ania ti kayatmo nga itedko kas tangdanmo?”
Labani akamwambia, “Kwa vile wewe ni jamaa yangu, ndiyo sababu unifanyie kazi bila ujira? Niambie ujira wako utakuwa nini.”
16 Ita, addaan ni Laban iti dua a putot a babbai. Ti nagan ti inauna ket Lea, ken ti nagan ti inaudi ket Raquel.
Labani alikuwa na binti wawili, binti mkubwa aliitwa Lea na binti mdogo aliitwa Raheli.
17 Napungay dagiti mata ni Lea, ngem napintas ti pammagi ken langa ni Raquel.
Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri wa sura.
18 Inayat ni Jacob ni Raquel, isu a kinunana, “Agserbiak kenka iti pito a tawen para kenni Raquel, nga inaudi nga anakmo.”
Yakobo akampenda Raheli, akamwambia Labani, “Nitakutumikia kwa miaka saba kwa ajili ya kumpata Raheli binti yako mdogo.”
19 Kinuna ni Laban, “Nasaysayaat nga itedko isuna kenka, ngem ti itedko isuna iti sabali a lalaki. Makipagnaedka kaniak.”
Labani akasema, “Ni bora zaidi nikupe Raheli kuliko kumpa mtu mwingine yeyote. Kaa pamoja na mimi hapa.”
20 Isu a nagserbi ni Jacob iti pito a tawen para kenni Raquel; ket kasla bassit laeng nga aldaw dagitoy kenkuana, gapu iti ayatna para kenkuana.
Kwa hiyo Yakobo akatumika miaka saba ili kumpata Raheli, lakini ilionekana kwake kama siku chache tu kwa sababu ya upendo wake kwa Raheli.
21 Kalpasanna ket kinuna ni Jacob kenni Laban, “Itedmo kaniak ti asawak, ta naan-anayen dagiti aldawko - iti kasta ket maasawak isuna.”
Ndipo Yakobo akamwambia Labani, “Nipe mke wangu. Muda wangu umekamilika, nami nataka nikutane naye kimwili.”
22 Inummong ngarud ni Laban dagiti amin a tattao iti dayta a lugar ket nagpadaya.
Basi Labani akaalika watu wote wa mahali pale na akafanya karamu.
23 Iti rabii, innala ni Laban ni Lea a putotna ket impanna kenni Jacob ket kinaiddana daytoy.
Lakini ilipofika jioni, akamchukua Lea binti yake akampa Yakobo, naye Yakobo akakutana naye kimwili.
24 Inted met ni Laban ni Zilpa nga adipenna a babai kenni Lea a putotna nga agbalin nga adipen ni Lea.
Naye Labani akamtoa Zilpa, mtumishi wake wa kike, kuwa mtumishi wa Lea, binti yake.
25 Iti agsapa, ni Lea met gayam ti adda! Kinuna ni Jacob kenni Laban, “Ania daytoy nga inaramidmo kaniak? Saan kadi a nagserbiak kenka para kenni Raquel? Apay ngarud nga inallilawnak?”
Kesho yake asubuhi, Yakobo akagundua kuwa amepewa Lea! Basi Yakobo akamwambia Labani, “Ni jambo gani hili ulilonitendea? Nilikutumikia kwa ajili ya Raheli, sivyo? Kwa nini umenidanganya?”
26 Kinuna ni Laban, “Saanmi a kaugalian nga ited ti inaudi nga anak a babai sakbay ti inauna.
Labani akajibu, “Si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.
27 Palpasem ti makalawas a rambak ti kasar para iti daytoy nga anakko, ket itedminto met kenka ti maysa pay kas kasukat ti panagserbim kaniak iti pito pay a tawen.”
Maliza juma la arusi ya binti huyu, kisha pia nitakupa huyu binti mdogo, kwa kutumika miaka mingine saba.”
28 Kasta ngarud ti inaramid ni Jacob, ket lineppasna ti makalawas a rambak para kenni Lea. Kalpasanna, inted ni Laban kenni Jacob ni Raquel a putotna kas maysa pay nga asawa daytoy.
Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli binti yake kuwa mke wake.
29 Inted met ni Laban ni Bilha nga adipenna a babai kenni Raquel tapno agbalin nga adipenna.
Labani akamtoa Bilha mtumishi wake wa kike kwa Raheli ili kuwa mtumishi wake.
30 Isu nga inasawa met ni Jacob ni Raquel, ngem ad-adda nga inayatna ni Raquel ngem ni Lea. Nagserbi ngarud ni Jacob kenni Laban iti pito pay a tawen.
Pia Yakobo akakutana na Raheli kimwili, naye akampenda Raheli zaidi kuliko Lea. Yakobo akamtumikia Labani kwa miaka mingine saba.
31 Nakita ni Yahweh a saan nga inayat ni Jacob ni Lea, isu a pinagsikogna daytoy, ngem ni Raquel ket awanan iti anak.
Bwana alipoona kwamba Lea hapendwi, akampa watoto, lakini Raheli alikuwa tasa.
32 Nagsikog ni Lea ket naganak iti maysa a lalaki, ket pinanagananna iti Ruben. Ta kinunana, “Gapu ta nakita ni Yahweh ti panagsagabak; ita, ayatennakon ti asawak.”
Lea akapata mimba akazaa mwana. Akamwita Reubeni, kwa maana alisema, “Ni kwa sababu Bwana ameona huzuni yangu. Hakika mume wangu sasa atanipenda.”
33 Kalpasanna, nagsikog manen isuna ket naganak iti lalaki. Kinunana, “Gapu ta nangngeg ni Yahweh a saannak nga inayat ti asawak, intedna pay ngarud kaniak daytoy nga anak a lalaki,” ket pinanagananna iti Simeon.
Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Kwa sababu Bwana alisikia kwamba sipendwi, amenipa tena huyu mwana.” Kwa hiyo akamwita Simeoni.
34 Kalpasanna, nagsikog manen ket naganak iti lalaki. Kinunana, “Ita, maisinggalut kaniakon ti asawak, gapu ta tallon a lallaki ti annakmi.” Isu a pinanagananna daytoy iti Levi.
Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Sasa afadhali mume wangu ataambatana na mimi, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akamwita Lawi.
35 Nagsikog manen isuna ket naganak iti lalaki. Kinunana, “Ita, idaydayawko ni Yahweh.” Isu a pinanagananna iti Juda; kalpasanna simmardengen isuna nga aganak.
Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Wakati huu nitamsifu Bwana.” Kwa hiyo akamwita Yuda. Kisha akaacha kuzaa watoto.