< Genesis 25 >

1 Nangala ni Abraham iti sabali pay nga asawana; ti naganna ket Ketura.
Abraham akaoa mke mwingine; jina lake aliitwa Ketura.
2 Inyanakna da Zimran, Jocsan, Medan, Midian, Isbac, ken Sua.
Akamzalia Zimrani, Jokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua.
3 Ni Jocsan ti ama da Seba ken Dedan. Dagiti kaputotan ni Dedan ket dagiti tattao nga Assurim, dagiti Letusim ken dagiti Leummim.
Jokshani akamzaa Sheba na Dedani. Wana wa Dedani walikuwa ni Waashuru, Waletushi, na Waleumi.
4 Dagiti putot a lallaki ni Midian ket da Efa, Efer, Hanoc, Abida ken Eldaa. Amin dagitoy ket nagtaud iti puli ni Ketura.
Wana wa Midiani walikuwa ni Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Hawa wote walikuwa ni wana wa Ketura.
5 Inted ni Abraham amin a sanikuana kenni Isaac.
Abraham akampatia Isaka vitu vyote alivyokuwa navyo.
6 Nupay kasta, kabayatan a sibibiag pay laeng isuna, inikkanna kadagiti sagut dagiti annakna a lallaki kadagiti dadduma nga assawana ken imbaonna ida iti nga adda iti daya, nga adayo manipud kenni Isaac, a putotna.
Ingawaje, wakati alipokua angali akiishi, aliwapatia zawadi wana wa masuria wake na kuwapeleka katika nchi ya mashariki, mbali na Isaka, mwanae.
7 Dagitoy dagiti aldaw dagiti tawen iti panagbiag ni Abraham, 175 a tawen.
Hizi ndizo zilikuwa siku za miaka ya uhai wake Abraham alizoishi, miaka 175.
8 Inyanges ni Abraham ti maudi nga angesna ket natay iti nasayaat a tawen iti kinalakay, lakay a napnoan iti biag, ket naitipon isuna kadagiti tattaona.
Abraham akapumua pumzi ya mwisho na akafa katika uzee mwema, mzee aliye shiba siku, na akakusanywa kwa watu wake.
9 Intabon isuna da Isaac ken Ismael a putotna idiay rukib ti Macpela, iti talon ni Efron nga anak ni Zohar a Heteo, nga asideg iti Mamre.
Isaka na Ishmaili, wanae wakamzika katika pango la Makipela, katika shamba la Efron mwana wa Soari Mhiti, pango lililokuwa karibu na Mamre.
10 Ginatang ni Abraham daytoy a talon manipud kadagiti annak a lallaki ni Het. Naitabon ni Abraham sadiay kasta met ni Sarah nga asawana.
Shamba hili Abraham alilinunua kwa watoto wa Hethi. Abraham akazikwa pale pamoja na Sara mkewe.
11 Kalpasan iti ipapatay ni Abraham, binendisionan ti Dios ni Isaac nga anak ni Abraham, ket nagnaed ni Isaac iti asideg ti Beer-lahai-roi.
Baada ya kifo cha Abraham, Mungu akambariki Isaka mwanae, na Isaka akaishi karibu na Beerlalahairoi.
12 Ita, dagitoy dagiti kaputotan ni Ismael, nga anak ni Abraham, nga inyanak ni Hagar, nga Egipcio nga adipen ni Sarah, kenni Abraham.
Na sasa hawa ndio walikuwa wana wa Ishimaeli, mwana wa Abraham, ambaye Hajiri Mmisri mtumishi wake Sara, alizaa kwa Abraham.
13 Dagitoy dagiti nagnagan dagiti annak a lallaki ni Ismael, segun iti panagsasarunoda a naiyanak: ni Nebayot- ti inauna nga anak ni Ismael, Kedar, Adbeel, Mibsam,
Haya ndiyo yalikuwa majina ya wana wa Ishimaeli, kuanzia mzaliwa wa kwanza: Nebayothi - mzaliwa wa kwanza wa Ishimaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
14 Misma, Duma, Masa,
Mishma, Duma, Masa,
15 Hadad, Tema, Jetur, Nafis ken Kedema.
Hadadi, Tema, Yeturi, Nafishi, na Kedema.
16 Dagitoy dagiti annak a lallaki ni Ismael, ken dagitoy dagiti nagnaganda, a nagtaudan dagiti barrioda, ken dagiti kamkampoda; sangapulo ket dua a prinsipe segun kadagiti tribuda.
Hawa ndio walikuwa wana wa Ishimaeli, na haya ndiyo majina yao, kwa vijiji vyao, na katika vituo vyao; Maseyidi kumi na wawili kufuatana na kabila zao.
17 Dagitoy dagiti tawtawen iti panagbiag ni Ismael, 137 a tawen: inyangesna ti maudi nga angesna ket natay, ket naitipon kadagiti tattaona.
Hii ndiyo ilikuwa miaka ya Ishimaeli, miaka 137: akapumua pumzi yake ya mwisho na akafa, na akakusanywa pamoja na watu wake.
18 Nagnaed dagiti kaputotanna manipud iti Havila agingga iti Sur, nga asideg ti Egipto, nga agturong iti Asiria. Nagbiagda nga addaan iti gura iti tunggal maysa.
Walioshi toka Havila mpaka Shuri, ambayo iko karibu na Misri, kuelekea Ashuru. Waliishi kwa uadui kati yao.
19 Dagitoy dagiti pasamak maipapan kenni Isaac a putot ni Abraham. Ni Abraham ti ama ni Isaac.
Haya ndiyo yalikuwa matukio kumuhusu Isaka, mwana wa Abraham: Abraham alimzaa Isaka.
20 Agtawen iti uppat a pulo ni Isaac idi inasawana ni Rebecca nga anak a babai ni Betuel nga Arameo iti Padan-aram ken kabsat a babai ni Laban nga Arameo.
Isaka alikuwa na umri wa miaka arobaini alipomuoa Rebeka, binti wa ethueli Mshami wa Padani Aramu, ndugu wa Labani Mshami.
21 Nagkararag ni Isaac kenni Yahweh para iti asawana gapu ta awan iti anakna, ket sinungbatan ni Yahweh ti kararagna, ket nagsikog ni Rebecca nga asawana.
Isaka akamwomba Yahwe kwa ajili ya mke wake kwa sababu alikuwa tasa, na Yahwe akajibu maombi yake, Rebeka mkewe akabeba mimba.
22 Agginginnubal dagiti ubbing a sikogna, ket kinunana, “Apay a mapaspasamak kaniak daytoy?” Indawatna kenni Yahweh ti maipanggep iti daytoy.
Watoto hawa walipokuwa tumboni mwake wakasumbuka, naye akasema, “Kwa nini jambo hili linatokea kwangu mimi?” Akaenda kumuuliza Yahwe kuhusu jambo hili.
23 Kinuna ni Yahweh kenkuana, “Dua a nasion ti adda iti aanakam, ken dua a tattao ti agsinanto nga agtaud kenka. Napigpigsanto ti maysa a tao ngem iti maysa, ken pagserbianto ti inauna ti ub-ubing.”
Yahwe akamwambia, “Mataifa mawili yako katika tumbo lako, na mataifa haya mawili yatatengana ndani yako. Taifa moja litakuwa lenye nguvu kuliko lingine, na yule mkubwa atamtumikia mdogo.
24 Idi tiempon ti panaganakna, singin gayam ti adda iti aanakanna.
Ulipo wadia wakati wa kujifungua, tazama, kulikuwa na mapacha ndani ya tumbo lake.
25 Ket rimmuar ti immun-una a nalabaga ti kudilna a kasla dutdotan a pagan-anay. Pinanagananda isuna iti Esau.
Wakwanza akatoka akiwa mwekundu mwili wote kama vazi la nywele. Wakamwita jina lake Esau.
26 Kalpasan dayta, rimmuar ti kabsatna a lalaki. Ig-iggamanna ti mukod ni Esau. Napanaganan isuna iti Jacob. Agtawen iti innem a pulo ni Isaac idi inyanak ti asawana dagiti singin.
Baada ya hapo ndugu yake akatoka. Mkono wake ukiwa umeshika kisigino cha Esau. Akaitwa jina lake Yakobo. Isaka alikuwa na umri wa miaka sitini wakati mke wake alipo wazaa hawa watoto.
27 Dimmakkel dagiti lallaki, ket nagbalin ni Esau a nalaing a mangnganup, maysa a lalaki iti tay-ak; ngem ni Jacob ket naulimek a tao ken ad-adda nga agigian iti ayan dagiti tolda.
Vijana hawa wakakua, Hesau akawa mwindaji hodari, mtu wa nyikani; lakini Yakobo alikuwa mtu mkimya, aliye tumia muda wake akiwa katika mahema.
28 Ita, ay-ayaten ni Isaac ni Esau gapu ta kankanenna dagiti ayup a maan-anupan ni Esau, ngem ay-ayaten ni Rebecca ni Jacob.
Kisha Isaka akampenda Esau kwa sababu alikula wanyama ambao alikuwa anawinda, lakini Rebeka akampenda Yakobo.
29 Ita, aglutluto ni Jacob iti bukbukel. Simmangpet ni Esau manipud iti talon, ket uray la kimmapsut gapu iti bisin.
Yakobo akapika mchuzi. Esau akaja kutoka nyikani, akiwa dhaifu kutokana na njaa.
30 Kinuna ni Esau kenni Jacob, “Pakanennak man iti dayta a nalabaga a bukel. Pangngaasim, nabannogak unay!” Dayta ti makagapu a napanaganan isuna iti Edom.
Esau akamwambia Yakobo, “Nilishe mchuzi mwekundu. Tafadhari, nimechoka!” Na hii ndiyo sababu jina lake aliitwa Edomu.
31 Kinuna ni Jacob, “Ilakom nga umuna kaniak ti karbengam a kas inauna nga anak.”
Yakobo akasema, “Kwanza uniuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
32 Kinuna ni Esau, “Kitaem, dandani-akon a matay. Ania pay ti pategna kaniak ti karbengak a kas inauna nga anak?”
Esau akasema, “Tazama, nakaribia kufa. Ni nini kwangu haki ya mzaliwa wa kwanza?”
33 Kinuna ni Jacob, “Agsapataka nga umuna kaniak,” isu a sinapataan ni Esau ti karina ket iti kasta a wagas, inlakona kennu Jacob ti karbenganna a kas inauna nga anak.
Yakobo akasema, “Kwanza uape kwangu mimi,” kwa hiyo Esau akaapa kiapo na kwa njia hii akawa ameuza haki yake ya mzaliwa wa kwanza kwa Yakobo.
34 Inikkan ni Jacob ni Esau iti tinapay ken ti naipaburek a nalabaga a bukbukel. Nangan isuna ken imminum, kalpasanna ket timmakder ken napan iti dalanna. Iti kastoy a wagas, tinagibassit ni Esau ti karbenganna a kas inauna nga anak.
Yakobo akampatia Esau mkate pamoja na mchuzi wa dengu. Akala na kunywa, kisha akainuka na akaenda zake. Kwa njia hii Esau akawa ameidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.

< Genesis 25 >