< Genesis 25 >
1 Nangala ni Abraham iti sabali pay nga asawana; ti naganna ket Ketura.
Abrahamu alioa mke mwingine, ambaye jina lake aliitwa Ketura.
2 Inyanakna da Zimran, Jocsan, Medan, Midian, Isbac, ken Sua.
Huyu alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.
3 Ni Jocsan ti ama da Seba ken Dedan. Dagiti kaputotan ni Dedan ket dagiti tattao nga Assurim, dagiti Letusim ken dagiti Leummim.
Yokshani alikuwa baba wa Sheba na Dedani, wazao wa Dedani walikuwa Waashuri, Waletushi na Waleumi.
4 Dagiti putot a lallaki ni Midian ket da Efa, Efer, Hanoc, Abida ken Eldaa. Amin dagitoy ket nagtaud iti puli ni Ketura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Hawa wote walikuwa uzao wa Ketura.
5 Inted ni Abraham amin a sanikuana kenni Isaac.
Abrahamu akamwachia Isaki kila kitu alichokuwa nacho.
6 Nupay kasta, kabayatan a sibibiag pay laeng isuna, inikkanna kadagiti sagut dagiti annakna a lallaki kadagiti dadduma nga assawana ken imbaonna ida iti nga adda iti daya, nga adayo manipud kenni Isaac, a putotna.
Lakini Abrahamu alipokuwa bado hai, akawapa watoto wa masuria wake zawadi, kisha akawaondoa waende kuishi pande za mashariki mbali na mwanawe Isaki.
7 Dagitoy dagiti aldaw dagiti tawen iti panagbiag ni Abraham, 175 a tawen.
Kwa jumla, Abrahamu aliishi miaka 175.
8 Inyanges ni Abraham ti maudi nga angesna ket natay iti nasayaat a tawen iti kinalakay, lakay a napnoan iti biag, ket naitipon isuna kadagiti tattaona.
Ndipo Abrahamu akapumua pumzi ya mwisho na akafa akiwa mwenye umri mzuri, mzee aliyeshiba siku, naye akakusanywa pamoja na watu wake.
9 Intabon isuna da Isaac ken Ismael a putotna idiay rukib ti Macpela, iti talon ni Efron nga anak ni Zohar a Heteo, nga asideg iti Mamre.
Watoto wake Isaki na Ishmaeli wakamzika katika pango la Makpela karibu na Mamre, katika shamba lililokuwa la Efroni mwana wa Sohari Mhiti,
10 Ginatang ni Abraham daytoy a talon manipud kadagiti annak a lallaki ni Het. Naitabon ni Abraham sadiay kasta met ni Sarah nga asawana.
Shamba ambalo Abrahamu alilinunua kwa Wahiti. Hapo ndipo Abrahamu alipozikwa pamoja na mkewe Sara.
11 Kalpasan iti ipapatay ni Abraham, binendisionan ti Dios ni Isaac nga anak ni Abraham, ket nagnaed ni Isaac iti asideg ti Beer-lahai-roi.
Baada ya kifo cha Abrahamu, Mungu akambariki mwanawe Isaki, ambaye baadaye aliishi karibu na Beer-Lahai-Roi.
12 Ita, dagitoy dagiti kaputotan ni Ismael, nga anak ni Abraham, nga inyanak ni Hagar, nga Egipcio nga adipen ni Sarah, kenni Abraham.
Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli mtoto wa Abrahamu, ambaye mjakazi wake Sara, Hagari Mmisri, alimzalia Abrahamu.
13 Dagitoy dagiti nagnagan dagiti annak a lallaki ni Ismael, segun iti panagsasarunoda a naiyanak: ni Nebayot- ti inauna nga anak ni Ismael, Kedar, Adbeel, Mibsam,
Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, yaliyoorodheshwa kulingana na jinsi walivyozaliwa: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli ni Nebayothi, akafuatia Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
15 Hadad, Tema, Jetur, Nafis ken Kedema.
Hadadi, Tema, Yeturi, Nafishi na Kedema.
16 Dagitoy dagiti annak a lallaki ni Ismael, ken dagitoy dagiti nagnaganda, a nagtaudan dagiti barrioda, ken dagiti kamkampoda; sangapulo ket dua a prinsipe segun kadagiti tribuda.
Hawa walikuwa wana wa Ishmaeli na haya ni majina ya viongozi wa makabila kumi na mawili kulingana na makao yao na kambi zao.
17 Dagitoy dagiti tawtawen iti panagbiag ni Ismael, 137 a tawen: inyangesna ti maudi nga angesna ket natay, ket naitipon kadagiti tattaona.
Kwa jumla Ishmaeli aliishi miaka 137. Akapumua pumzi ya mwisho, akafa, naye akakusanywa pamoja na watu wake.
18 Nagnaed dagiti kaputotanna manipud iti Havila agingga iti Sur, nga asideg ti Egipto, nga agturong iti Asiria. Nagbiagda nga addaan iti gura iti tunggal maysa.
Wazao wa Ishmaeli waliishi kuanzia nchi ya Havila hadi Shuri, karibu na mpaka wa Misri, unapoelekea Ashuru. Hao waliishi kwa uhasama na ndugu zao wote.
19 Dagitoy dagiti pasamak maipapan kenni Isaac a putot ni Abraham. Ni Abraham ti ama ni Isaac.
Hivi ndivyo vizazi vya Isaki mwana wa Abrahamu. Abrahamu akamzaa Isaki,
20 Agtawen iti uppat a pulo ni Isaac idi inasawana ni Rebecca nga anak a babai ni Betuel nga Arameo iti Padan-aram ken kabsat a babai ni Laban nga Arameo.
Isaki alikuwa na umri wa miaka arobaini alipomwoa Rebeka binti Bethueli Mwaramu kutoka Padan-Aramu, nduguye Labani Mwaramu.
21 Nagkararag ni Isaac kenni Yahweh para iti asawana gapu ta awan iti anakna, ket sinungbatan ni Yahweh ti kararagna, ket nagsikog ni Rebecca nga asawana.
Isaki akamwomba Bwana kwa ajili ya mke wake, kwa sababu alikuwa tasa. Bwana akajibu maombi yake na Rebeka mkewe akapata mimba.
22 Agginginnubal dagiti ubbing a sikogna, ket kinunana, “Apay a mapaspasamak kaniak daytoy?” Indawatna kenni Yahweh ti maipanggep iti daytoy.
Watoto wakashindana tumboni mwake, akasema, “Kwa nini haya yanatokea kwangu?” Kwa hiyo akaenda kumuuliza Bwana.
23 Kinuna ni Yahweh kenkuana, “Dua a nasion ti adda iti aanakam, ken dua a tattao ti agsinanto nga agtaud kenka. Napigpigsanto ti maysa a tao ngem iti maysa, ken pagserbianto ti inauna ti ub-ubing.”
Bwana akamjibu, “Mataifa mawili yamo tumboni mwako, na mataifa hayo mawili kutoka ndani yako watatenganishwa. Mmoja atakuwa na nguvu zaidi kuliko mwingine, na yule mkubwa atamtumikia yule mdogo.”
24 Idi tiempon ti panaganakna, singin gayam ti adda iti aanakanna.
Wakati wake wa kujifungua ulipotimia, walikuwepo mapacha wa kiume tumboni mwake.
25 Ket rimmuar ti immun-una a nalabaga ti kudilna a kasla dutdotan a pagan-anay. Pinanagananda isuna iti Esau.
Wa kwanza kuzaliwa alikuwa mwekundu, mwili wake wote ulikuwa kama mtu aliyevaa vazi lenye nywele; wakamwita jina lake Esau.
26 Kalpasan dayta, rimmuar ti kabsatna a lalaki. Ig-iggamanna ti mukod ni Esau. Napanaganan isuna iti Jacob. Agtawen iti innem a pulo ni Isaac idi inyanak ti asawana dagiti singin.
Baadaye, ndugu yake akatoka, mkono wake ukiwa umemshika Esau kisigino; akaitwa jina lake Yakobo. Isaki alikuwa mwenye miaka sitini Rebeka alipowazaa.
27 Dimmakkel dagiti lallaki, ket nagbalin ni Esau a nalaing a mangnganup, maysa a lalaki iti tay-ak; ngem ni Jacob ket naulimek a tao ken ad-adda nga agigian iti ayan dagiti tolda.
Watoto wakakua, naye Esau akakuwa mwindaji hodari, mtu wa mbugani, wakati Yakobo alikuwa mtu mtulivu, mwenye kukaa nyumbani.
28 Ita, ay-ayaten ni Isaac ni Esau gapu ta kankanenna dagiti ayup a maan-anupan ni Esau, ngem ay-ayaten ni Rebecca ni Jacob.
Isaki, ambaye alikuwa anapendelea zaidi nyama za porini, alimpenda Esau, bali Rebeka alimpenda Yakobo.
29 Ita, aglutluto ni Jacob iti bukbukel. Simmangpet ni Esau manipud iti talon, ket uray la kimmapsut gapu iti bisin.
Siku moja Yakobo alipika mchuzi wa dengu, Esau akarudi kutoka porini akiwa na njaa kali.
30 Kinuna ni Esau kenni Jacob, “Pakanennak man iti dayta a nalabaga a bukel. Pangngaasim, nabannogak unay!” Dayta ti makagapu a napanaganan isuna iti Edom.
Esau akamwambia Yakobo, “Haraka, nipe huo mchuzi mwekundu! Nina njaa kali sana!” (Hii ndiyo sababu pia aliitwa Edomu.)
31 Kinuna ni Jacob, “Ilakom nga umuna kaniak ti karbengam a kas inauna nga anak.”
Yakobo akamjibu, “Niuzie kwanza haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
32 Kinuna ni Esau, “Kitaem, dandani-akon a matay. Ania pay ti pategna kaniak ti karbengak a kas inauna nga anak?”
Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu ya kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa kwanza?”
33 Kinuna ni Jacob, “Agsapataka nga umuna kaniak,” isu a sinapataan ni Esau ti karina ket iti kasta a wagas, inlakona kennu Jacob ti karbenganna a kas inauna nga anak.
Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.” Hivyo Esau akamwapia, akamuuzia Yakobo haki yake ya kuzaliwa.
34 Inikkan ni Jacob ni Esau iti tinapay ken ti naipaburek a nalabaga a bukbukel. Nangan isuna ken imminum, kalpasanna ket timmakder ken napan iti dalanna. Iti kastoy a wagas, tinagibassit ni Esau ti karbenganna a kas inauna nga anak.
Ndipo Yakobo akampa Esau mkate na ule mchuzi wa dengu. Akala na kunywa, kisha akainuka akaenda zake. Kwa hiyo Esau alidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.