< Genesis 10 >

1 Dagitoy dagiti kaputotan dagiti putot ni Noe; ni Sem, ni Ham, ken ni Jafet. Naaddaanda kadagiti putot a lallaki kalpasan iti layus.
Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
2 Dagiti putot a lallaki ni Jafet ket ni Gomer, ni Magog, ni Madai, ni Javan, ni Tubal, ni Mesec, ken ni Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
3 Dagiti putot a lallaki ni Gomer ket ni Askenaz, ni Rifat, ken ni Togarma.
Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
4 Dagiti putot a lallaki ni Javan ket ni Eliseo, ni Tarsis, ni Kitim, ken ni Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
5 Manipud kadagitoy, nagsisina ken napan kadagiti dagdagada dagiti tattao nga adda iti igid ti baybay, tunggal maysa iti bukodna a pagsasao, segun kadagiti pulida, segun kadagiti nasionda.
Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
6 Dagiti putot a lallaki ni Ham ket ni Cus, ni Mizraim, ni Put, ken ni Canaan.
Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
7 Dagiti putot a lallaki ni Cus ket ni Seba, ni Havilah, ni Raamah, ken ni Sabteca. Dagiti putot a lallaki ni Raamah ket ni Sheva ken ni Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
8 Naaddaan ni Cus iti putot a lalaki, isu ni Nimrod, a kaunaan a mammarmek iti rabaw ti daga.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
9 Maysa isuna a maingel a mangnganop iti imatang ni Yahweh. Isu a naibaga a, “Kas kenni Nimrod, a maysa a maingel a mangnganop iti imatang ni Yahweh.”
Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
10 Dagiti immuna a napapateg a siudad iti pagarianna ket Babel, Erec, Akkad, ken Calne, iti daga ti Sinar.
Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
11 Manipud iti dayta a daga, napan isuna idiay Asiria ket binangonna ti Ninive, Rehobot-ir, Cala,
Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
12 ken Resen, nga adda iti nagbaetan ti Ninive ken Cala. Dakkel daytoy a siudad.
na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
13 Ni Mizraim ti nagtaudan dagiti tattao iti Lydia, Anam, Lehab, Naftu,
Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
14 Patrus, Caslu(a nagtaudan dagiti Filisteo), ken Caftur.
Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
15 Naaddaan ni Canaan iti putot, isu ni Sidon, nga inauna a putotna, ken ni Het,
Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
16 kasta met dagiti Jebusio, dagiti Amoreo, dagiti Gergaseo,
pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
17 dagiti Heveo, dagiti Arkeo, dagiti Sineo,
Mhivi, Mwarki, Msini,
18 dagiti Arveo, dagiti Zemareo, ken dagiti Hamateo. Kalpasanna, nagwaras dagiti kaputotan ni Canaan.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
19 Ti beddeng dagiti Cananeo ket manipud idiay Sidon nga agpa-Gerar, ket agpatingga idiay Gaza, ken no agturong idiay Sodoma, Gomora, Adma, ken Zeboiim, agpatingga idiay Lasa.
Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
20 Dagitoy dagiti putot a lallaki ni Ham, segun kadagiti pulida, kadagiti pagsasaoda, kadagiti dagada, ken kadagiti nasionda.
Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
21 Naaddaan met kadagiti putot a lallaki ni Sem a manong ni Jafet. Ni Sem met ti kapuonan dagiti amin a tattao ti Eber.
Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
22 Dagiti putot a lallaki ni Sem ket ni Elam, ni Assur, ni Arpaksad, ni Lud, ken ni Aram.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
23 Dagiti putot a lallaki ni Aram ket ni Us, ni Hul, ni Geter, ken ni Mesec.
Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
24 Naaddaan ni Arpaksad iti putot a lalaki, isu ni Sela, ket ni Sela ti ama ni Eber.
Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
25 Naadaan ni Eber iti dua a putot a lallaki. Ti nagan ti maysa ket Peleg, gapu ta kadagiti aldawna ket nabingay ti daga. Ti nagan ti kabsatna a lalaki ket Joktan.
Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
26 Ni Joktan ti ama da Almodad, Selef, Hasarmavet, Jera,
Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 Hadoram, Uzal, Dikla,
Hadoram, Uzali, Dikla,
28 Obal, Abimael, Seba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
29 Ofir, Havila, ken Jobab. Amin dagitoy ket putot a lallaki ni Joktan.
Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 Ti masakupanda ket manipud idiay Mesa agingga idiay Sefar, ti bantay iti daya.
Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
31 Dagitoy dagiti putot a lallaki ni Sem, segun kadagiti kaputotanda ken kadagiti pagsasaoda, kadagiti dagada, ken kadagiti nasionda.
Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
32 Dagitoy dagiti tribu dagiti putot ni Noe, segun iti kaputotanda, segun iti nasionda. Manipud kadagitoy ket nasinasina ken nagwaras dagiti tattao iti entero a daga kalpasan iti layus.
Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.

< Genesis 10 >