< Ezra 10 >
1 Kabayatan ti panagkararag ken panagkumpisar ni Ezra, nagsangsangit isuna ket nagpakleb iti sangoanan ti balay ti Dios. Adu a taripnong ti lallaki, babbai, ken ub-ubbing nga Israelita ti immaribungbong kenkuana ken kasta unay ti panagsangsangit dagiti tattao.
Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama, huku akilia na kujitupa chini mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa Waisraeli, wanaume, wanawake na watoto walikusanyika kumzunguka. Nao pia wakalia sana.
2 Kinuna kenkuana ni Secanias a putot a lalaki ni Jehiel iti kaputotan ni Elam, “Dakami a mismo ket nakaaramid iti maikaniwas iti Diostayo ken nakipagnaedkami kadagiti ganggannaet a babbai manipud kadagiti tattao kadagiti sabali a daga. Ngem ita, adda namnama para iti Israel maipapan iti daytoy.
Kisha Shekania mwana wa Yehieli, mmoja wa wazao wa Elamu, akamwambia Ezra, “Tumekosa uaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni kutoka mataifa yanayotuzunguka. Lakini pamoja na hili, bado liko tumaini kwa ajili ya Israeli.
3 Isu nga ita, agkaritayo iti Diostayo a papanawentayo dagiti amin a babbai ken dagiti annakda segun kadagiti pagannurotan ti Apo ken segun iti pagannurotan dagiti agbuteng kadagiti bilbilin ti Diostayo, ket maaramid koma daytoy segun iti linteg.
Sasa na tufanye agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa wanawake wote pamoja na watoto wao, kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja na wale ambao wanaogopa amri za Mungu wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria.
4 Tumakderka, ta daytoy a banag ket pagrebbengam nga aramiden, ket kaduaandaka. Patibkerem ti nakemmo ket aramidem daytoy.”
Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.”
5 Isu a timmakder ni Ezra, pinagkarina dagiti opisial a papadi, dagiti Levita ken dagiti amin nga Israelita nga agtignayda iti kastoy a wagas. Nagkarida.
Basi Ezra akainuka na kuwaapisha makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao wakaapa.
6 Kalpasanna, pimmanaw ni Ezra iti sangoanan ti balay ti Dios ket napan iti siled ni Jehonahan a putot a lalaki ni Eliasib. Saan isuna a nangan iti aniaman a tinapay wenno imminum iti danum, gapu ta agladladingit isuna maipapan iti kina-awan pammati dagiti naggapu iti pannaka-ibalud.
Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.
7 Nangipatulodda iti mensahe idiay Juda ken idiay Jerusalem kadagiti amin a tattao a nagsubli manipud iti pannakaipanaw a kas balud nga aguummongda idiay Jerusalem.
Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa uhamishoni kukusanyika Yerusalemu.
8 Siasinoman a saan a makaumay iti las-ud ti tallo nga aldaw segun iti pagannurotan dagiti opisial ken dagiti panglakayen ket masamsam amin dagiti sanikuana, ken saanen a maibilang iti dakkel a gimong dagiti tattao a nagsubli manipud iti pannakaipanaw.
Yeyote ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi wa maafisa na wazee, naye mtu huyo angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu waliokuwa uhamishoni.
9 Naguummong ngarud dagiti amin a tattao ti Juda ken Bejamin idiay Jerusalem iti tallo nga aldaw. Daytoy ti maikaduapulo nga aldaw iti maikasiam a bulan. Nagtakder dagiti amin a tattao iti plasa ti sangoanan ti balay ti Dios ket nagtigergerda gapu iti sao ken iti tudo.
Katika muda wa siku tatu, watu wote wa Yuda na Benyamini wakawa wamekusanyika huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi ndani ya uwanja mbele ya nyumba ya Mungu, wakiwa na majonzi mno kwa tukio hilo na kwa sababu ya mvua kubwa.
10 Timmakder ni Ezra a padi ket kinunana, “Nagbasolkayo. Nakidennakayo kadagiti ganggannaet a babbai a nangpaadu ti basol ti Israel.
Ndipo Kuhani Ezra aliposimama akawaambia, “Mmekosa uaminifu, mmeoa wanawake wa kigeni, mkaongezea hatia ya Israeli.
11 Ngem ita dayawenyo ni Yahweh, ti Dios ti kapuonanyo, ken aramidenyo ti pagayatanna. Suminakayo kadagiti tattao iti daga ken kadagiti ganggannaet a babbai.”
Sasa tubuni kwa Bwana, Mungu wa baba zenu mkafanye mapenzi yake. Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake zenu wa kigeni.”
12 Simmungbat babaen iti napigsa a timek dagiti amin a gimong, “Aramidenmi kas imbagam.
Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.
13 Nupay kasta, adu dagiti tattao, ket panagtutudo pay. Awan pigsami a tumakder iti ruar, ket saan laeng a maysa wenno dua nga aldaw ti panangaramid iti daytoy, gapu ta dakkel unay ti nagbasolanmi iti daytoy a banag.
Lakini hapa pana watu wengi na ni wakati wa mvua, hivyo hatuwezi kusimama nje. Hata hivyo, shauri hili haliwezi kumalizika kwa siku moja au mbili, kwa sababu tumefanya dhambi kubwa katika jambo hili.
14 Isu a bay-am a dagiti opisialesmi ti mangibagi iti amin a gimong. Dagiti nangipalubos kadagiti ganggannaet a babbai nga agnaed iti siuadadtayo ket bay-am nga umay iti tiempo nga ituding dagiti panglakayen ken ukom ti siudad agingga a maikkat ti nakaro a pungtot ti Diostayo kadatayo.”
Maafisa wetu na wafanye kwa niaba ya kusanyiko lote. Kisha kila mmoja katika miji yetu ambaye ameoa mwanamke wa kigeni aje kwa wakati uliopangwa, akiwa pamoja na wazee na waamuzi wa kila mji, hadi hasira kali ya Mungu wetu katika shauri hili itakapoondolewa kwetu.”
15 Sinuppiat daytoy ni Jonatan a putot a lalaki ni Asael ken ni Jazeyas a putot a lalaki ni Tikva, ket immanamong kadakuada da Mesullam ken Sabbetai a Levita.
Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono na Meshulamu na Shabethai Mlawi, ndio waliopinga jambo hili.
16 Isu a daytoy ti inaramid dagiti tattao a nagsubli manipud iti pannakaitalaw. Nangpili ni Ezra a padi kadagiti lallaki, dagiti mangidadaulo kadagiti puli ti kapuonanda ken babbalayda—aminda babaen iti nagan, rinugianda a sinukimat ti maipanggep iti banag iti umuna nga aldaw iti maikasangapulo a bulan.
Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo.
17 Iti umuna nga aldaw ti umuna a bulan, naileppasda ti panangsukimat no siasino kadagiti lallaki ti nakipagnaed kadagiti ganggannaet a babbai.
Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kushughulikia wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.
18 Kadagiti kaputotan dagiti padi ket adda dagiti nakipagnaed kadagiti ganggannaet a babbai. Kadagiti kaputotan ni Josue a putot a lalaki ni Josadac ken kadagiti lallaki a kakabsatna, ket da Maasias, Eliezer, Jarib, ken Gedalias.
Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni: Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia.
19 Ket disididoda a mangpapanaw kadagiti assawada a babbai. Agsipud ta nagbasolda, nangidatonda iti kalakian a karnero manipud iti arban para kadagiti basolda.
(Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)
20 Kadagiti kaputotan ni Immer: da Hanani ken Zebadias.
Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.
21 Kadagiti kaputotan ni Harim: da Maasias, Elias, Semamaias, Jehiel, ken Uzzias.
Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.
22 Kadagiti kaputotan ni Pasur: da Elioenai, Maasias, Ismael, Netanel, Johabad, ken Elasa.
Kutoka wazao wa Pashuri: Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.
23 Kadagiti Levita: da Josabad, Simei, Kelaias, —isu ni Kelita, Petahias, Juda, ken Eliezer.
Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
24 Kadagiti kumakanta: ni Eliasib. Kadagiti parabantay iti ruangan: da Sallum, Telem ken Uri.
Kutoka waimbaji: Eliashibu. Kutoka mabawabu: Shalumu, Telemu na Uri.
25 Kadagiti dadduma nga Israelita—a dagiti kaputotan ni Paros: da Ramias, Izzias, Malkija, Mijamin, Eleazar, Malkija ken Benaias.
Miongoni mwa Waisraeli wengine: Kutoka wazao wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.
26 Kadagiti kaputotan ni Elam: da Mattanias, Zacarias, Jehiel, Abdi, Jeremot ken Elias.
Kutoka wazao wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.
27 Kadagiti kaputotan ni Zattu: da Elioenai, Eliasib, Mattanias, Jeremot, Zabad ken Aziza.
Kutoka wazao wa Zatu: Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.
28 Kadagiti kaputotan ni Bebai: da Jehohanan, Hananias, Zabbai ken Atlai.
Kutoka uzao wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.
29 Kadagiti kaputotan ni Bani: da Mesullam, Malluk, Adaias, Jasub, Seal ken Jeremot.
Kutoka wazao wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.
30 Kadagiti kaputotan ni Pahat Moab: da Adna, Kelal, Benaias, Maasis, Mattanias, Bezalel, Binnui ken Manases.
Kutoka wazao wa Pahath-Moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.
31 Kadagiti kaputotan ni Harim: da Eliezer, Issijas, Malkija, Semaias, Simeon,
Kutoka wazao wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,
32 Benjamin, Malluk ken Semarias.
Benyamini, Maluki, na Shemaria.
33 Kadagiti kaputotan ni Hasum: da Mattenai, Mattatta, Zabad, Elifelet, Jeremai, Manases ken Simei.
Kutoka wazao wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.
34 Kadagiti kaputotan ni Bani: da Maadai, Amram, Uel,
Kutoka wazao wa Bani: Maadai, Amramu, Ueli,
35 Benaias, Bedeias, Keluhi,
Benaya, Bedeya, Keluhi,
36 Vanias, Meremot, Eliasib,
Vania, Meremothi, Eliashibu,
37 Mattanias, Mattenai ken Jaasu,
Matania, Matenai na Yaasu.
38 Bani, Binnui, ken Simei,
Kutoka wazao wa Binui: Shimei,
39 Selamias, Natan, Adaias,
Shelemia, Nathani, Adaya,
40 Maknadebai, Sasai, Sarai,
Maknadebai, Shashai, Sharai,
41 Azarel, Selemias, Semarias,
Azareli, Shelemia, Shemaria,
42 Sallum, Amarias, ken Jose.
Shalumu, Amaria na Yosefu.
43 Kadagiti kaputotan ni Nebo: da Jeiel, Mattitias, Zabad, Zebina, Iddo, Joel ken Benaias.
Kutoka wazao wa Nebo: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.
44 Nakiasawa amin dagitoy kadagiti ganggannaet ken addaan ti annak dagiti dadduma kadakuada.
Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.