< Ezekiel 9 >
1 Kalpasanna, nangngegko nga impukkawna a kunana, “Umay koma iti siudad dagiti guardia, nga imetda ti igam a pangdadael.”
Kisha akalia kwa sauti kubwa nikasikia kwenye masikio yangu, huku akisema, “Waache walinzi waje kwenye mji, kila mmoja na silaha yake ya uharibifu kwenye mkono wake.”
2 Ket pagammoan! Adda innem a lallaki a dimteng iti dalan iti akin-ngato a ruangan a nakasango iti amianan, tunggal maysa ket addaan iti igam a pagpatay. Ket adda lalaki iti nagtetengngaanda a nakakawes iti lino a nakasalikad iti alikamen a pagsurat ti eskriba. Simrekda ngarud ket nagtakderda iti abay ti bronse nga altar.
Kisha tazama! watu wanne watakuja kutokea njia ya lango la juu linaloelekea kaskazini, kila mmoja na silaha yake ya kuchinjia kwenye mkono wake. Kulikuwa na mtu mmoja miongoni mwao alikuwa amevaa nguo ya kitani pamoja na kifaa cha uandishi ubavuni mwake. Hivyo waliingia na kusimama karibu na madhabahu ya shaba.
3 Ket nagpangato ti dayag ti Dios ti Israel manipud iti ayan ti kerubim a sigud nga ayanna ket immakar iti ruangan ti balay. Ket pinukkawanna ti lalaki a nakakawes iti lino a nakasalikad iti alikamen a pagsurat ti eskriba.
Kisha utukufu wa Mungu wa Israeli ukapanda juu kutoka kwa kerubi ambapo ilikuwa kwenye kisingiti cha nyumba. Akamwita yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani na kifaa cha uandishi ubavuni mwake.
4 Kinuna ni Yahweh kenkuana, “Likawem ti entero a siudad—ti entero a Jerusalem—ket markaam ti muging dagiti lallaki nga agas-asug ken agsensennaay gapu kadagiti amin a nakarimrimon a mapaspasamak iti entero a siudad.”
Yahwe akamwambia, “Pita kati ya mji-kati ya Yerusalemu-na weka alama katika vipaji vya uso vya wale waliolemewa na kuona kuhusu machukizo yote yanafanyika kati ya mji.”
5 Ket nangngegko a nakisarita isuna kadagiti dadduma, kinunana, “Sarunnoenyo isuna a manglikmut iti siudad ket mangpapataykayo! Saanyo a kaasian dagiti tattao a makitayo, ket awan ti ispalenyo
Kisha akaongea na wengine kupitia kusikia kwangu, “Pita kwenye mji baada ya yeye na kuua. Msiache macho yenu yawe na huruma, na msiogope kuharibu
6 lallakay man, agtutubo, birhen, ub-ubbing wenno babbai man. Patayenyo ida amin! Ngem saanyo a sagsagiden ti siasinoman a namarkaan ti mugingna. Irugiyo iti santuariok!” Rinugianda ngarud kadagiti lallakay nga adda iti sangoanan ti balay.
iwe mzee, kijana, msichana, mtoto mdogo au wanawake. Waueni watu wote! Lakini msimkaribie mtu yeyote ambaye mwenye alama kwenye kichwa chake. Anzeni katika patakatifu pangu!” Hivyo wakaanza na wazee waliokuwa mbele ya nyumba.
7 Kinunana kadakuada, “Tulawanyo ti balay, ket punnoenyo ti paraanganna kadagiti natay. Inkayon!” Isu a napanda rinaut ti siudad.
Akawaambia, “Najisi nyumba, na kujaza zio zake kwa waliokufa. Endeleeni!” Hivyo wakaenda na kuushambulia mji.
8 Ket bayat a rarautenda daytoy, nadlawko a maymaysak a nabati, ket nagpaklebak ken nagpukkawak a kinunak, “O Apo a Yahweh! Dadaelem kadi amin a nabatbati iti Israel inton idissuormo iti pungtotmo iti Jerusalem?”
Walipokuwa wakiushambulia, nikajikuta mwenyewe na nikaangukia kwenye uso wangu na kulia kwa sauti na kusema, “Ee, Bwana Yahwe, utayaharibu mabaki yote ya Israeli wakati wa kumwaga ghadhabu yao juu ya Yerusalemu?”
9 Kinunana kaniak, “Nakaro unayen ti basol ti balay ti Israel ken Juda. Napno ti daga iti dara ken napno iti kinakillo ti siudad, agsipud ta kunada, 'Nalipatanen ni Yahweh ti daga' ken 'Saan a makita ni Yahweh!'
Akanambia, “Uovu wa nyumba ya Israeli na Yuda unaongezeka sana. Nchi imejaa damu na mji umejaa upotovu, tangu waliposema, 'Yahwe ameisahau nchi; na Yahwe haoni!'
10 No kasta ngarud, saanakto a maasi kadakuada, ket saankonto ida nga ispalen. Ngem ketdi, iyegkonto amin dagitoy kadakuada.
Hivyo kisha, macho yangu hataangalia kwa huruma, na sintoacha kuwaharibu. Badala yake nitaileta juu ya vichwa vyao.”
11 Kalpasanna, nagsubli ti lalaki a nakakawes iti lino a nakasalikad iti alikamen a pagsurat ti eskriba. Impadamagna a kunana, “Naaramidko aminen nga imbilinmo.”
Tazama! yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani aliyekuwa na kifaa cha uandishi kwa uapende wa ubavuni mwake. Alitoa taarifa na kusema, “Nimemaliza yale yote uliyoniamuru.”