< Ezekiel 2 >

1 Kinuna ti timek kaniak, “Anak ti tao, tumakderka; ket kasaritaka.”
Akanambia, “Mwana wa adamu, simama kwa miguu yako; kisha nitaongea na wewe.”
2 Ket imbangonnak ti Espiritu ket pinatakdernak, ket nangegko a makisarsarita isuna kaniak.
Kisha, alipokuwa akiongea na mimi, Roho akaingia ndani yangu na ikaniweka kwenye miguu yangu, na nikamsikia akiongea na mimi.
3 Kinunana kaniak, “Anak ti tao, ibaonka kadagiti tattao ti Israel, kadagiti nasukir a nasion a nagsukir kaniak—isuda ken dagiti kapuonanda ket nagbasol kaniak agingga kadagitoy nga aldaw!
Akanambia, “Mwana wa adamu, nakutuma kwa watu wa Israeli, kwa mataifa yanayoasi ambayo yameasi dhidi yangu-wote wao na babu zao wameasi juu yangu hata hivi leo!
4 Makita ti kinatangsit kadagiti rupa dagiti kaputotanda ken natangken ti uloda. Ibaonka kadakuada. Ket ibagamto kadakuada, 'Kastoy ti kuna ti Apo a ni Yahweh.'
Vizazi vyao vina sura za kikaidi na mioyo migumu. Nakutuma wewe kwenda kwao, na utawaambia, 'Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
5 Dumngegda man wenno saan. Nasukirda a balay, ngem uray no kasta ket maammoandanto nga adda profeta nga immay kadakuada.
Labda watasikia au hawatasikia. Ni nyumba za uasi, lakini angalau watajua kwamba nabii alikuwa miongoni mwao.
6 Ket sika, anak ti tao, saanka nga agbuteng kadakuada wenno kadagiti sasaoda. Saanka nga agbuteng, uray no kasla addaka kadagiti kasisiitan ken uray no kasla makipagnanaedka kadagiti manggagama. Saanka nga agbuteng kadagiti sasaoda wenno maupay iti rupada, agsipud ta nasukirda a balay.
Wewe, mwanadamu, usiwaogope au maneno yao. Usiogope, ingawa utakuwa pamoja na mitemba na miiba na ijapokuwa unaishi na nge. Usiogope maneno yao au kuvunjika moyo kwa nyuso zao, kwa kuwa ni nyumba zenye kuasi.
7 Ngem ibagamto kadakuada dagiti sasaok, dumngegda man wenno saan, gapu ta isuda dagiti kasusukiran.
Lakini utawaambia maneno yangu, labda watasikia au hapana, kwa sababu ni waasi mno.
8 Ngem sika, anak ti tao, dumngegka iti ibagbagak kenka. Saanka nga agbalin a nasukir a kas iti dayta a balay. Agngangaka ket kanem ti itedko kenka!”
Lakini wewe, mwanadamu, silikiliza kile nisemacho kwako. Usiwe muasi kama nyumba za uasi. Fungua mdomo wako na ule kile ninachotaka kukupa!”
9 Ket kimmitaak, ket maysa nga ima ti naiyunnat kaniak; adda iggem daytoy a nalukot a pagbasaan.
Kisha nikaona, na mkono ulikuwa umenyooshwa kwangu; ndani yake kulikuwa na hati ya kukunja.
10 Inukradna daytoy iti sangoanak; nasuratan ti agsumbangirna, ket pasig a dungdung-aw, ladladingit, ken as-asug ti naisurat iti daytoy.
Akaikinjua mbele yangu; ilikuwa imeandikwa pande zote mbele na nyuma, na yalikuwa yameandikwa maombolezo kwenye hiyo hati ya kukunja, na huzuni, na ole.

< Ezekiel 2 >