< Daniel 7 >

1 Iti umuna a tawen ni Belsazar nga ari ti Babilonia, nagtagtagainep ni Daniel ken nakakita iti maysa a sirmata kabayatan a nakaidda isuna. Ket insuratna ti nakitana iti tagtagainepna. Insuratna dagiti kangrunaan a pasamak:
Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza mfalme wa Babelli, Danieli alikuwa na ndoto na maono katika akili zake wakati alipokuwa amelala kitandani kwake. Kisha akayaandika yale aliyoyaona katika ndoto. Aliandika matukio ya muhimu sana:
2 Impalawag ni Daniel, “Iti sirmatak iti rabii, nakitak dagiti uppat nga angin ti langit ket kibkiburenda ti nalawa a baybay.
Danieli alieleza, “Usiku katika ndoto zangu niliona pepo nne za mbinguni zilikuwa zinaitikisa bahari kuu.
3 Rimmuar manipud iti baybay dagiti uppat a dadakkel nga ayup, agduduma ti langa ti tunggal maysa.
Wanyama wakubwa wanne, kila mmoja alikuwa tofauti na mwenzake, walitoka katika bahari.
4 Kasla leon ti umuna ngem addaan kadagiti payak ti agila. Kabayatan a kitkitaek, naparut dagiti payakna ken naipangato iti rabaw ti daga ket nagtakder a kasla tao. Naikkan iti panunot a kasla iti tao.
Mnyama wa kwanza alikuwa kama simba, lakini alikuwa na mabawa ya tai. Nilipokuwa natazama, mabawa yake yalikuwa yamepasuka na alikuwa ameinuliwa katika ardhi na alikuwa amesimama kwa miguu miwili kama mtu. Na alipewa akili za kibinadamu.
5 Kalpasanna adda iti maikadua nga ayup, kasla oso, ket nakadumog daytoy; addaan iti tallo a paragpag iti nagbaetan dagiti ngipen ken iti ngiwatna. Naibaga iti daytoy, 'Tumakderka ket mangalun-onka iti adu a tattao.'
Na kulikuwa na mnyama wa pili, alikuwa kama dubu, na alikuwa ameinama, alikuwa na mbavu tatu katikati ya meno yake katika mdomo wake. Aliambiwa, 'Inuka na umeze watu wangi.'
6 Kalpasan daytoy, kimmitaak manen. Adda iti sabali pay nga ayup, kasla leopardo ti langana. Addaan kadagiti uppat a payak iti bukotna a kasla kadagiti payak ti billit, ken addaan iti uppat nga ulo. Naikkan iti bileg a mangituray.
Baada ya hili, niliangalia tena. Kulikuwa na mnyama mwingine ambaye alionekana kama chui. Mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne kama mabawa ya ndege, na alikuwa na vichwa vinne. Alipewa mamlaka ya kutawala.
7 Kalpasan daytoy nakitak iti tagtagainepko iti rabii ti maikapat nga ayup, nakabutbuteng, nakaam-amak, ken nakapigpigsa unay. Addaan iti dakkel a landok a ngipen; nangalun-on daytoy, nangrumek, ken impayat-payatna dagiti nabati. Naidumduma daytoy manipud kadagiti dadduma nga ayup, ken addaan kadagiti sangapulo a sara.
Baada haya, niliona usiku katika ndoto yangu mnyama wa nne, mwenye kuogofya, na kutisha na mwenye nguvu. Alikuwa na meno makubwa ya chuma; aliteketeza, na kuvunja vunja katika vipande, na kusaga saga katika miguuni pake kile kilichosalia. Alikuwa ni wa tofauti na wanyama wengine, na alikuwa na pembe kumi.
8 Kabayatan a buybuyaek dagiti sara, kimmitaak ket nakitak ti sabali pay a sara nga agtubtubo iti nagbabaetanda, maysa a bassit a sara. Naparut ti tallo kadagiti immun-una a sara. Nakitak iti daytoy a sara dagiti mata a kasla kadagiti mata ti tao ken ngiwat nga agpalpalangguad maipanggep kadagiti naindaklan a banbanag.
Na wakati nilipokuwa natafakari juu ya pembe, nilitazama na niliona pembe nyingine ndogo ilichipuka katikati ya pembe zingine. Mizizi ya pembe tatu kati ya pembe za mwanzo iling'olewa. Niliona katika pembe hii macho kama macho ya mtu na mdomo ambao ulikuwa ukijivuna kwa mambo makubwa.
9 Bayat a kitkitaek, naisimpa dagiti trono, ket nagtugaw ti Sibibiag iti Agnanayon. Napudaw a kasla niebe ti kawesna, ket kasla puro a de lana ti buokna. Gumilgil-ayab nga apuy ti tronona, ken dagiti pilid daytoy ket dumardarang nga apuy.
Na nilipotazama, viti vya enzi vilikuwa vimewekwa, na Mtu wa siku za kale alikaa sehemu yake. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theruji, na nywele zake katika kichwa chake zilikuwa safi kama sufu. Kiti chake cha enzi kilikuwa na miali ya moto, na magurudumu yake yalikuwa yanawaka moto.
10 Agay-ayus nga apuy ti agtaud iti sangoananna; milyon dagiti agserserbi kenkuana, ken sangagasut a milyon ti nakatakder iti sangoananna. Nangrugi ti panangukom, ket nalukatan dagiti libro.
Mto wa moto ulitiririka kutoka mbele yake, na mamilioni ya watu walimtumikia, na wengine mia moja milioni walikuwa wamesimama mbele yake. Na mahakama iliitishwa, na vitabu vilifunguliwa.
11 Intultuloyko ti kimmita gapu kadagiti napalangguad nga insao ti sara. Agbuybuyaak kabayatan a napapatay ti ayup, ket nadadael ti bagi daytoy, ket naiyawat daytoy tapno mapuoran.
Niliendelea kuangalia kwasababu ya maneno ya kiburi yaliyosemwa na pembe. Nilitazama wakati mnyama anauliwa, na mwili wake uliharibiwa, na ulitolewa kwa ajili ya kuchomwa moto.
12 Ket dagiti dadduma kadagiti uppat nga ayup, naikkat ti panagturayda, ngem napalubosanda nga agbiag iti ababa a tiempo.
Na kwa wale wanyama wanne waliosalia, mamlaka yao yalitwaliwa mbali, lakini maisha yao yaliendelezea kwa kipindi fulani cha muda.
13 Kadagiti sirmatak iti dayta a rabii, nakitak ti maysa nga um-umay a kaduana dagiti ulep ti langit a kasla iti anak ti tao; napan isuna iti Sibibiag iti Agnanayon ket naidatag iti sangoananna.
Katika maono yangu usiku ule, nilimwona mtu mmoja anakuja katika mawingu ya mbinguni alikuwa kama mwana wa mtu; alikuja kwa Mzee wa Siku na aliletwa mbele zake.
14 Naited kenkuana ti bileg a mangituray ken dayag ken naarian a pannakabalin tapno dagiti amin a tattao, dagiti nasion, ken pagsasao ket rumbeng nga agserbi kenkuana. Ti bilegna a mangituray ket agnanayon a kinabileg a saan a mapukaw, ket saanto a madadael ti pagarianna.
Naye alipewa mamlaka ya kiutawala na utukufu na mamlaka ya kifalme ili kwamba watu wote, na mataifa na lugha ziweze kumtumikia yeye. Mamlaka yake ya kutawala ni mamlaka ya milele ambayo hayatapita, na ufalme wake ni ule ambao hautaangamizwa.
15 No maipapan kaniak a ni Daniel, agladingit ti espirituk iti kaunggak, ket riniribuknak dagiti sirmata a nakitak iti panunotko.
Na kwangu mimi, Danieli, roho yangu ilihuzunishwa ndani yangu, na maono niliyoyaona katika akili zangu yalinisumbua.
16 Immasidegak iti maysa kadakuada a nakatakder sadiay ket dinawatko kenkuana nga ipakitana kaniak ti kaipapanan dagitoy a banbanag.
Nilimsogelea mmoja wa hawa walikuwa wamesimama hapo na nikamwomba anioneshe maana ya mambo haya.
17 Dagitoy a dadakkel nga ayup nga uppat iti bilangda, ket dagiti uppat nga ari a agturayto iti daga.
Hawa wanyama nne wakubwa ni wafalme wanne ambao watatoa katika nchi.
18 Ngem awatento dagiti nasantoan a tattao ti Kangangatoan iti pagarian, ket tagikuaendanto iti agnanayon nga awan patinggana.'
Lakini watu watakatifu wa Mungu aliyejuu wataupokea ufalme na wataumiliki milele na milele.'
19 Ket kayatko a maammoan ti ad-adu pay maipapan iti maikapat nga ayup—naidumduma daytoy manipud kadagiti dadduma ken nakabutbuteng unay gapu iti ngipenna a landok ken dagiti bronse a kuko daytoy; nangalun-on, nangrumek, ken impayatna ti nabati.
Ndipo nilipotaka kujua zaidi juu ya mnyama wa nne, ambaye alikuwa tofauti sana na wengine na alikuwa wa kutisha pamoja na meno yake ya chuma na makucha ya shaba; alimeza, na alivunja vipande vipande, na alisaga saga kwa miguu yake kile kilichokuwa kimesalia.
20 Kayatko a maammoan ti maipapan kadagiti sangapulo a sara nga adda iti ulo daytoy, ken maipapan kadagiti sabali a sara a nagtubo sakbay a natinnag dagiti tallo a sara. Kayatko a maammoan ti maipapan iti sara nga addaan kadagiti mata ken iti ngiwat a nagpalpalangguad kadagiti naindaklan a banbanag ken kasla nabilbileg ngem kadagiti kakaduana.
Nilitaka kujua juu ya pembe kumi katika kichwa chake, na kuhusu pembe nyingine iliyochomoza, na ambayo mbele yake pembe zingine tatu zilianguka chini. Nilitaka kujua kuhusu pembe yenye macho na kuhusu mdomo uliokuwa unajisifu kwa mambo makubwa na ambayo ilionekana kuwa ni kubwa kuliko zingine.
21 Bayat a kitkitaek, ginubat daytoy a sara dagiti nasantoan a tattao ket pinarmekna ida
Na nilipotazama, pembe hii iliinua vita dhidi ya watu watakatifu na ilikuwa inawawashinda mpaka pale
22 agingga nga immay ti Sibibiag iti Agnanayon, ket naited ti hustisia kadagiti nasantoan a tattao ti Kangangatoan. Ket dimtengen ti tiempo a panangawat dagiti nasantoan a tattao iti pagarian.
Mzee wa Siku alipokuja, na watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu Sana. Ndipo wakati ulipowadia ambapo watu watakatifu waliupokea ufalme.
23 Kastoy ti kinuna dayta a tao, 'No maipapan iti maikapat nga ayup, daytoyto ti maikapat a pagarian iti daga a naidumduma manipud kadagiti dadduma a pagarian. Dadaelennanto ti entero a daga, ket ipayat ken rumekennanto daytoy.
Hiki ndicho mtu yule alichokisema, 'Kwa habari ya mnyama wanne, utakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia ambao utakuwa tofauti na falme zingine zote. Utaimeza dunia yote, na utaikanyaga yote chini na kuivunja vunja vipande vipande.
24 Maipapan kadagiti sangapulo a sara, manipud iti daytoy a pagarian ket tumaudto ti sangapulo nga ari, ket addanto pay iti tumaud a sumaruno kadakuada. Naidumdumanto isuna manipud iti immun-una, parmekennanto dagiti tallo nga ari.
Na kuhusu pembe kumi, kutoka katika ufalme huu, wafalme kumi watainuka, na mwingine atainuka baada yao. Atakuwa wa tofauti na wale waliomtangulia, na atawashinda wale wafalme watatu.
25 Agsaonto isuna iti maibusor iti Kangangatoan ken idadanesnanto dagiti nasantoan a tattao ti Kangangatoan a Dios. Padasennanto a sukatan dagiti panagrambak ken ti linteg. Maiyawatto dagitoy a banbanag iti imana iti makatawen, dua a tawen ken kagudua a tawen.
Atazungumza maneno kinyume cha Yeye Aliye Juu sana na atawatesa watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu. Atajaribu kuzibadili sikukuu na sheria. Mambo haya atapewa mikononi mwake kwa mwaka mmoja, miaka miwili na nusu mwaka.
26 Ngem mapasamakto ti panangukom, ket ikkatendanto ti naarian a pannakabalinna tapno mapukaw ken madadaelto iti kamaudianan.
Lakini kikao cha mahakama kitaitishwa, na watazichukua nguvu zake za kifalme ili mwisho aweza kuharibiwa na kuteketezwa.
27 Ti pagarian ken ti nasakupan, ken ti kinabileg dagiti pagarian nga adda iti babaen ti entero a langit, ket maitedto kadagiti tattao a kukua dagiti nasantoan a tattao ti Kangangatoan. Ti pagarianna ket agnanayon a pagarian, ket agserbi ken agtulnog kenkuana dagiti amin a pagarian.'
Ufalme na utawala, ukubwa wa falme chini ya mbingu yote, watapewa watu walio wa watu watakatifu wa Yeye Aliye juu Sana. Ufalme wake ni ufalme wa milele, na falme zingine zote zitamtumikia na kumtii yeye.'
28 Ditoy ti nagpatinggaan ti banag. No maipapan kaniak a ni Daniel, riniribuknak unay dagiti kapanunotak ket nagbaliw ti langa ti rupak. Ngem awan nangibagbagaak kadagitoy a banbanag.”
Na huu ndio mwisho wa mambo. Na kuhusu mimi, Danieli, mawazo yangu yanihuzunisha sana mimi na mwonekano wa uso wangu ulibadilika. Lakini mambo haya niliyahifadhi mimi mwenyewe.”

< Daniel 7 >