< Daniel 5 >

1 Nangbuangay ni Belsazar nga ari iti dakkel a padaya para iti sangaribu a natakneng a tattaona, ket imminom isuna iti arak iti sangoananda amin a sangaribu.
Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
2 Kabayatan a ramramanan ni Belsazar ti arak, pinaalana dagiti tasa a naaramid iti balitok wenno pirak nga innala ni Nebucadnesar nga amana iti templo idiay Jerusalem, a paginumanna, dagiti natakneng a tattaona, ken dagiti assawana ken dagiti inkabbalayna.
Wakati Belshaza alipokuwa akionja divai, alitoa agizo la kuleta vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu au kwa fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu, ambavyo yeye, na wakuu wake, na wake zake, na masuria waliweza kuvinywea.
3 Impan dagiti adipen dagiti balitok a tasa nga innala ni Nebucadnesar iti templo, a balay ti Dios idiay Jerusalem. Imminom manipud kadagitoy ti ari, dagiti natakneng a tattaona, ken dagiti assawana ken inkabbalayna.
Watumishi walivileta vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Mfalme na wakuu wake, na wake zake na masuria walivinywea.
4 Ininomda ti arak ken dinayawda dagiti didiosenda a naaramid iti balitok ken pirak, bronse, landok, kayo ken bato.
Walikunywa divai na kuzisifu sanamu zao zilizotengenezwa kwa dhahabu na fedha, shaba, chuma, mbao na mawe.
5 Iti dayta a tiempo nagparang dagiti ramay ti ima ti maysa a tao iti sango iti pagsilawan ket nagsurat iti napalitadaan a diding iti palasio ti ari. Makitkita ti ari ti paset ti ima bayat nga agsursurat daytoy.
Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa lipu katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
6 Ket nagbaliw ti rupa ti ari ket nagbuteng isuna; saan isuna a matengngel dagiti sakana, ken agkutkutokot dagiti tumengna.
Ndipo uso wa mfalme ulibadilika na mawazo yake yalimwogopesha; miguu yake haikuweza kumfanya asimame, na magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja.
7 Impukkaw nga imbilin ti ari a pastrekenda dagiti mangibagbaga a makasaritada dagiti natay, dagiti nasirib a lallaki, ken dagiti astrologo. Kinuna ti ari kadagiti nalatak gapu iti kinasiribda idiay Babilonia, “Ti siasinoman a makaipalawag iti daytoy a surat ken ti kaipapananna ket makawesanto iti lila ken makuentasanto iti balitok. Maaddaanto isuna iti turay a kas maikatlo a kangangatoan a mangituray iti pagarian.”
Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, “Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme.”
8 Ket simrek dagiti amin a tattao ti ari a nalatak gapu iti kinasiribda, ngem saanda a mabasa ti surat wenno mailawlawag iti ari ti kaipapanan daytoy.
Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme.
9 Ket nagdanag ti kasta unay ni Ari Belsazar ket nagbaliw ti langa ti rupana. Nariribukan dagiti nalatak a tattaona.
Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
10 Ita, simrek ti reyna nga ina ni Belsazar iti balay a pagrarambakan gapu iti kinuna ti ari ken dagiti natakneng a tattao. Kinuna ti reyna nga ina ni Belsazar, “O Ari, agbiagka iti agnanayon! Saanka koma a mariribukan. Saanmo koma nga ipalubos nga agbaliw ti langam.
Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwasababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, “Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.
11 Adda maysa a tao iti pagariam nga addaan iti espiritu dagiti nasantoan a didios. Kadagiti aldaw ni amam, masarakan kenkuana ti lawag, pannakaawat ken kinasirib a kasla iti sirib dagiti didios. Pinagbalin isuna ni Ari Nebucadnesar, ti amam nga ari, a panguloen dagiti salamangkero, kasta met a panguloen dagiti mangibagbaga a makasaritada dagiti natay, dagiti nasirib a lallaki, ken dagiti astrologo.
Kuna mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu watakatifu dani yake. Katika siku za baba yako, mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake. Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme, alimfanya kuwa mkuu wa waganga, pamoja na mkuu wa wale wanazungumza na wafu, na wa wenye hekima, na wa wataalamu wa nyota.
12 Adda naisangsangayan a kabaelanna, pannakaammo, pannakaawat, mangipalawag iti kaipapanan dagiti tagtagainep, mangipalawag kadagiti burburtia ken mangrisut kadagiti parikut—masarakan dagitoy a kababalin kenni Daniel, a pinanaganan ti ari iti Beltesazar. Ita paayabam ni Daniel ket ibagananto kenka ti kayat a sawen ti naisurat.”
Roho bora, ufahamu, weledi, kutafsiri ndoto, kufafanua mafumbo na kutatua matatizo - hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Sasa mwiteni Danieli naye atawaambia maana ya kile kilichoandikwa.”
13 Ket naipan ni Daniel iti sangoanan ti ari. Kinuna ti ari kenkuana, “Sika dayta a Daniel, a maysa kadagiti tattao a naipanaw a kas balud ti Juda, nga inruar ti amak nga ari manipud iti Juda.
Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
14 Nangngegko ti maipapan kenka, nga adda kenka ti espiritu dagiti didios, ken masarakan kenka ti lawag, pannakaawat ken naisangsangayan a kinasirib.
Nimesikia habari kukuhusu wewe, kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na ya kwamba mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako.
15 Ket ita, naiyeg iti sangoanak dagiti lallaki a nalatak gapu iti kinasiribda ken dagiti mangibagbaga a makasaritada dagiti natay tapno basaenda daytoy a naisurat ken tapno maipakaammo kaniak iti kaipapananna daytoy, ngem saanda a maibaga ti kaipapananna.
Na sasa watu wanaojulikana kwa hekima na wale wanaozungumza na wafu, wamekwisha kuletwa mbele yangu, ili kusoma maandishi haya na kunijulisha maana ya tafsiri yake, lakini hawakuweza kunijulisha tafsiri yake.
16 Nadamagko a kabaelam nga ibaga ti kaipapanan ken risuten dagiti parikut. Ita no kabaelam a basaen ti nakasurat ken maibagam kaniak ti kayatna a sawen, makawesanka iti lila ken makuentasanka iti balitok, ket maaddaankanto iti turay a kas maikatlo a kangangatoan a mangituray iti pagarian.”
Nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo. Sasa kama utaweza kusoma maandishi na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako, na utakuwa mtawala wa tatu mwenye mamlaka katika ufalme.”
17 Ket simmungbat ni Daniel iti ari, “O ari, kukuam lattan dagiti sagutmo, ket itedmo dagiti panggunggonam iti sabali a tao. Nupay kasta, basaek ti nakasurat para kenka, O ari, ken ibagak kenka ti kayatna a sawen.
Kisha Danieli akajibu mbele ya mfalme, “Zawadi yako na iwe kwa ajili yako mwenyewe, na thawabu yako na umpe mtu mwingine. Hata hivyo, mfalme, nitakusomea maandishi na nitakwaambia maana.
18 No maipapan kenka, O ari, inted ti Kangangatoan a Dios kenni Nebucadnesar nga amam ti pagarian, kinatan-ok, dayaw, ken dayag.
Na juu yako, Ewe mfalme, Mungu Aliye juu sana alimpa Nebukadneza baba yako ufalme, ukuu, heshima na enzi.
19 Gapu iti kinatan-ok nga inted kenkuana ti Dios, nagpigerger ken nagbuteng kenkuana dagiti amin a tattao, nasion ken pagsasao. Pinatayna dagiti kayatna a matay, ket pagtalinaedenna a sibibiag dagiti kayatna nga agbiag. Intag-ayna dagiti kayatna, ken impababana dagiti tinarigagayanna nga ipababa.
Na kwasababu ya ukuu huo, Mungu alimpa watu wote, mataifa, na lugha walimtetemekea na kumwogopa. Aliwauwa wale aliotaka wafe na aliwaacha hai wale aliotaka waishi. Aliwainua wale aliowataka, na aliwashusha wale aliowataka.
20 Ngem idi pimmalangguad ti pusona ken timmangken ti espirituna, nagtignay isuna a sitatangsit, naipababa isuna manipud iti naarian a tronona, ket napukawna ti kinadayagna.
Lakini wakati moyo ulipokuwa na kiburi na roho yake ilifanywa kuwa mgumu na kwasababu hiyo alitenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake.
21 Napatalaw isuna manipud iti ayan dagiti tattao, nagpanunot isuna a kasla maysa nga ayup, ken nakipagnaed isuna kadagiti atap nga asno. Nangan isuna iti ruot a kasla iti maysa a baka. Nabasa ti bagina kadagiti linna-aw manipud kadagiti langit agingga a nabigbigna nga iturturayan ti Kangangatoan a Dios dagiti pagarian dagiti tattao ket isasaadna kadakuada ti siasinoman a kayatna.
Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake.
22 Sika Belsazar a putotna, saanmo nga impakumbaba ti pusom, nupay ammom amin dagitoy.
Wewe mwana wake, Belshaza, haujaunyenyekeza moyo wako, ingawa aliyajua haya yote.
23 Nagpasindayagka a maibusor iti Apo ti langit. Manipud iti balayna inyegda kenka dagiti alikamen a naginomam iti arak, dagiti natakneng a tattaom, dagiti assawam ken dagiti inkabbalaymo, ket dinaydayawyo dagiti didiosen a naaramid iti pirak ken balitok, bronse, landok, kayo ken bato—dagiti didiosen a saan a makakita, makangngeg, wenno makaammo iti aniaman a banag. Saanmo a dinayaw ti Dios a mangtengtengngel iti angesmo babaen iti imana ken makaammo iti amin a wagasmo.
Umejiinua mwenyewe kinyume cha Bwana wa mbinguni. Katika nyumba yake walikuletea vyombo ambavyo wewe, wakuu wako, wake zako na masuria wako walivinywea, na kisha ukaisifia sana sanamu zilitengenezwa kwa fedha na dhahabu, shaba, chuma, mbao, na mawe - sanamu ambazo haziwezi kuona, kusikia wa kujua kitu chochote. Haujamheshimu Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake na ambaye anazijua njia zako zote.
24 Ket nangibaon ti Dios iti maysa nga ima manipud iti sangoananna ket naisurat daytoy.
Ndipo Mungu aliutuma mkono kutoka katika makao yake na maandishi haya yaliandikwa.
25 Daytoy ti naisurat: MENE, MENE, TEKEL, UPHARSIN.
Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.'
26 Daytoy ti kayatna a sawen: MENE, ‘nabilangen’ ti Dios ti panagpaut ti pagariam ket umadanin nga agpatingga.
Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
27 TEKEL, ‘natimbangkan’ ket nasarakan a nagkurangka.
'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.'
28 PERES, ‘nabingayen’ ti pagariam ket naited kadagiti taga-Medo ken taga-Persia.”
'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'”
29 Ket imbilin ni Belsazar, ket kinawesanda ni Daniel iti lila a lupot. Nakuentasan isuna iti balitok, ket inwaragawag ti ari iti maipanggep kenkuana nga isuna iti maikatlo a kangangatoan a mangituray iti pagarian.
Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme.
30 Iti dayta a rabii napapatay ni Belsazar nga ari ti Babilonia,
Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa,
31 ket inawat ni Dario a taga-Medes ti pagarian idi agtawen isuna iti innem a pulo ket dua.
na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.

< Daniel 5 >