< II Samuel 4 >
1 Idi nangngeg ni Isboset a putot ni Saul, a natayen ni Abner idiay Hebron, kimmapsut dagiti imana ken nariribukan ti entero nga Israel.
Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu kuu.
2 Ita, ti putot ni Saul ket addaan iti dua a tao a kapitan dagiti bunggoy dagiti soldado. Ti nagan ti maysa ket Baana ken ti maysa ket Recab, putot ni Rimmon a Beerorita kadagiti tattao ti Benjamin. (ta ti Beerot ket maibilang a paset iti Benjamin,
Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini,
3 ket nagtalaw dagiti Berorita a nagturong idiay Gittaim ket nagnaeddan sadiay agingga iti daytoy a tiempo).
kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.
4 Ita, ni Jonatan a putot ni Saul ket adda maysa a putotna a pilay dagiti sakana. Lima ti tawenna idi dimteng ti damag manipud iti Jezreel maipapan kada Saul ken Jonatan. Innala isuna ti mangay-aywan kenkuana tapno aglibasda. Ngem kabayatan ti panagtartarayna, natnagna ti putot ni Jonatan ket nagbalin a pilay. Mefiboset ti naganna.
(Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili. Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli. Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.)
5 Isu a nagdaliasat iti kapudpudotan ti aldaw dagiti annak ni Remmon a Beerorita, da Recab ken Baana a nagturong iti balay ni Isboset, kabayatan iti panagin-inanana iti tengnga iti aldaw.
Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa kwenye mapumziko yake ya mchana.
6 Nairedep ti babai nga agbanbantay iti ridaw bayat iti panagtataepna iti trigo, ket siuulimek a simrek da Recab ken Baana ket nalabsanda isuna.
Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Baana nduguye wakatoroka.
7 Ket kalpasan a nakastrekda iti balay, dinarupda ni Isboset ket pinatayda isuna a nakaidda iti papagna iti siledna. Ket insinada ti ulona ken innalada daytoy, nagdaldaliasatda iti dalan iti agpatpatnag a nagturong iti Araba.
Walikuwa wameingia ndani ya nyumba wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumuua, walikata kichwa chake. Wakiwa wamekichukua, walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba.
8 Inyegda ti ulo ni Isboset kenni David idiay Hebron, ket kinunada iti ari, “Kitaem, daytoy ti ulo ni Isboset a putot ni Saul, a kabusormo, a nagpanggep iti dakes iti biagmo. Ita nga aldaw, imbales ni Yahweh ti apomi nga ari maibusor kenni Saul ken kadagiti kaputotanna.”
Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, “Hiki hapa kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya leo Bwana amemlipia kisasi mfalme bwana wangu dhidi ya Sauli na mzao wake.”
9 Sinungbatan ni David da Recab ken Baana a kabsatna, a putot ni Remmon a Beerorita; kinunana kadakuada, “Iti nagan ni Yahweh nga adda iti agnanayon, nga isu ti nangiyaon iti biagko manipud iti amin a pakariribukan,
Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama Bwana aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote,
10 idi adda maysa a nangibaga kaniak, 'Kitaem, natayen ni Saul,' nga impagarupna a naimbag a damag ti idandanonna, tiniliwko isuna ket pinatayko idiay Siklag. Dayta ti gunggona nga impaayko kenkuana iti impadamagna.
yule mtu aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’ akadhani ananiletea habari njema, nilimkamata, nikamuua huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa ajili ya taarifa yake!
11 Anianto ketdin, no pinatay dagiti nadangkes a lallaki ti awan basolna a tao iti bukodna a balay iti bukodna a papag, rumbeng kadi a saanko ita a sapulen ti darana kadagiti imayo, ket pukawenkayo iti daga?”
Je, ni mara ngapi zaidi wakati watu waovu wamemuua mtu asiye na hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa nisidai damu yake mikononi mwenu na kuwaondoa duniani?”
12 Ket, nangbilin ni David kadagiti agtutubo a lallaki, ket pinatayda ida ken pinutedda dagiti ima ken saksakada sada imbitin ida iti abay ti bubon idiay Hebron. Ngem innalada ti ulo ni Isboset ket inkalida iti tanem ni Abner idiay Hebron.
Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu, na kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish-Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.