< 2 Ar-ari 8 >
1 Ita, nagsao ni Eliseo iti babai nga akin anak iti ubing a pinagbiagna. Kinunana kenkuana, '“Tumakderka, ket mapanka a kaduam ti bumalaymo ket agnaedka iti sabali a daga, gapu ta mangiyeg ni Yahweh iti panagbisin nga agpaut iti pito a tawen iti daytoy a daga.”
Basi, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alimfufulia mtoto wake. Akamwambia, “Inuka na uenede pamoja na nyumba yako, na uishi popote uwezapo katika nchi nyingine, kwa sababu Yahwe ameiita njaa ambayo itakuja katika hii nchi kwa miaka saba.”
2 Timmakder ngarud ti babai ket nagtulnog isuna iti sao ti tao ti Dios. Kaduana a pimmanaw ti sangkabalayanna ket napanda nagnaed iti daga ti Filistia iti pito a tawen.
Basi yule mwanamke akainuka na akatii lile neno la mtumishi wa Mungu. Akaenda na nyumba yake na kuishi kwenye nchi ya Wafilisti miaka saba.
3 Napasamak nga iti panagleppas ti pito a tawen, nagsubli ti babai manipud iti daga ti Filistia, ket napan isuna iti ari tapno agpakaasi kenkuana para iti balay ken dagana.
Ikafika kama mwishoni mwa miaka saba yule mwanamke akarudi kutoka kwenye ile nchi ya Wafilisti, na kwenda kwa mfalme kumuomba nyumba yake na kwa ajili ya nchi yake.
4 Ita, makisarsarita ti ari kenni Gehasi nga adipen ti tao ti Dios, a kunana, “Pangngaasim ta ibagam kaniak dagiti amin a naindaklan a banbanag nga inaramid ni Eliseo.”
Basi mfalme alikuwa anaongea na Gehazi yule mtumishi wa Mungu, akisema, “Tafadhali niambie yale mambo makubwa ambayo Elisha ameyafanya.”
5 Ket kabayatan nga ibagbaga ni Gehasi iti ari no kasano a pinagbiag ni Eliseo ti ubing a natay, isu met ti iyuumay ti babai nga akin anak iti pinagbiagna tapno agpakaasi iti ari para iti balay ken dagana. Kinuna ni Gehasi, “Apok nga ari, daytoy ti babai, ken daytoy ti anakna, a pinagbiag ni Eliseo.”
Basi alipokuwa akimwambia yule mfalme jinsi gani Elisha alivyomfufua yule mtoto aliyekufa, huyo mwanamke ambaye mtoto wake aliyekuwa amefufuliwa akaja kumuomba yule mfalme kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake. Gehazi akasema, “Bwana wangu, mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mtoto wake, ambaye Elisha amemfufua.”
6 Idi sinaludsod ti ari iti babai ti maipapan iti anakna, impalawagna daytoy iti ari. Isu a binilin ti ari ti maysa nga opisial para kenkuana, a kunana, “Isubliyo kenkuana ti amin a kukuana ken amin nga apit dagiti talonna sipud iti aldaw a pinanawanna ti dagana agingga ita.”
Wakati yule mfalme alipomuuliza yule mwanamke kuhusu mtoto wake, alimwelezea yule mfalme. Ndipo mfalme akamwagizia ofisa makini, akisema, “Mrudishie vyote vilivyokuwa vyake na mavuno yake yote ya kwenye mashamba tangu siku alipoondoka hadi sasa.”
7 Dimteng ni Eliseo iti Damasco nga ayan ni Ben Hadad nga ari ti Aram a masakit. Naibaga iti ari, “Immay ditoy ti tao ti Dios.”
Elisha akaja Damaskasi ambako Ben Hadadi yule mfalme wa Shamu alikuwa anaumwa. Yule mfalme aliambiwa, “Yule mtu wa Mungu amekuja hapa.”
8 Kinuna ti ari kenni Hazael, “Mangalaka iti sagut ket mapanmo sabten ti tao ti Dios, ket makiumanka kenni Yahweh babaen kenkuana, ibagam, 'Umimbagak kadi pay iti daytoy a sakit?”'
Mfalme akamwambia Hazaeli, “Chukua zawadi kwenye mkono wako na uende ukakutane na mtu wa Mungu, na ukazungumze na Yahwe kupitia yeye, ukisema, “Je nitapona huu ugonjwa wangu?”
9 Napan ngarud ni Hazael iti ayan ni Eliseo ken nangitugot iti amin a kita ti nasayaat a banag a nagtaud iti Damasco, nga inawit ti uppat a pulo a kamelio. Immay ngarud ni Hazael ket nagtakder iti sangoanan ni Eliseo ket kinunana, “Imbaonnak kenka ti anakmo a ni Ben Hadad nga ari ti Aram, a kunana, 'Umimbagak kadi pay iti daytoy a sakit?”'
Basi Hazaeli akaenda kuonana naye na kuchukua zawadi zake za kila kitu kizuri cha Damskasi, akabeba ngamia arobaini. Hivyo Hazaeli akaja na kusimama mbele ya Elisha na kusema, “Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamu amenituma kwako, kusema, “Je nitapona huu ugonjwa?”
10 Kinuna ni Eliseo kenni Hazael, “Mapanmo ibaga kenni Ben Hadad, 'Siguarado nga umimbagka,' ngem impakita ni Yahweh kaniak a matayto isuna.”
Elisha akamwambia, “Nenda, kwa Ben Hadadi, 'Utapona hakika,' lakini Yahwe amenionyesha kwamba atakufa hahkika.”
11 Kalpasanna, pinerreng ni Eliseo ni Hazael agingga a nagbain ni Hazael, ket nagsangit ti tao ti Dios.
Basi Elisha akamtumbulia macho Hazaeli hadi alipojisikia aibu, na yule mtu wa Mungu akalia machozi.
12 Sinaludsod ni Hazael, “Apay nga agsangitka, apok?” Simmungbat isuna, “Gapu ta ammok ti kinadakes nga aramidemto kadagiti tattao ti Israel. Puoramto dagiti sarikedkedda, ken papatayemto dagiti agtutubo a lallaki babaen iti kampilan, rumekemto dagiti ubbingda, ken buttiakamto dagiti babbai a masikog.”
Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
13 Simmungbat ni Hazael, “Siasino koma ti adipenmo ta maaramidna ti kastoy a dakkel a banag. Maysa laeng isuna a kas iti aso.” Simmungbat ni Eliseo, “Impakita ni Yahweh kaniak nga agbalinkanto nga ari ti Aram.”
Hazaeli akajibu, Ni nani mtumwa wako, ambaye atafanya jambo hili kubwa? Yeye ni mbwa tu.” Elisha akajibu, “Yahwe amenionyesha kwamba utakuwa mfalme juu ya Shamu.”
14 Kalpasanna, pinanawan ni Hazael ni Eliseo ket napan iti ayan ti apona, a nagkuna kenkuana, “Ania ti imbaga ni Eliseo kenka?” Simmungbat ni Hazael, “Imbagana kaniak a sigurado nga umimbagka.”
Ndipo Hazaeli akamwacha Elisha na kuja kwa bwana wake, ambaye alimwambia, “Je Elisha alikwambiaje?” Akajibu, “Ameniambia kwamba utapona bila shaka.”
15 Ket iti kabigatanna, nangala ni Hazael iti ules ket binabasana daytoy iti danum, sana inyabbongna iti rupa ni Ben Hadad isu a natay ti ari. Ket ni Hazael ti simmukat kenkuana nga ari.
Basi siku ya pili yake Hazaeli akachukua blangeti na kulichovya kwenye maji, na kulitandaza kwenye uso wa Ben Hadadi hivyo akafa. Basi Hazaeli akawa mfalme katika sehemu sehemu yake.
16 Iti maikalima a tawen a panagturay ni Joram a putot ni Ahab, iti Israel, nangrugi met a nagturay ni Jehoram a putot ni Jehosafat kas ari ti Juda. Nangrugi isuna a nagturay idi ni Jehosafat ti ari ti Juda.
Katika mwaka wa kumi na tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Yehoramu akaanza kutawala. Alikuwa mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. Alianza wakati Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda.
17 Agtawen ni Jehoram iti tallo pulo ket dua idi nangrugi isuna nga agturay, ket nagturay isuna iti walo a tawen idiay Jerusalem.
Yoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na mbili alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka minane katika Yerusalemu.
18 Sinurot ni Jehoram dagiti wagas a panagbiag ti ari ti Israel, a kas iti ar-aramiden ti balay ni Ahab; ta asawana ti anak a babai ni Ahab, ket inaramidna dagiti dakes iti imatang ni Yahweh.
Yoramu akatembea kwenye njia ya huyo mfalme wa Israeli, kama walivyokuwa wakifanya kwenye nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mke wake, na alifanya uovu usoni kwa Yahwe.
19 Nupay kasta, gapu kenni David nga adipenna, saan a kayat ni Yahweh a dadaelen ti Juda, agsipud ta imbaga ni Yahweh kenkuana a kankanayonna nga ikkan isuna kadagiti kaputotan.
Walakini, kwa sababu ya mtumishi wake Daudi, Yahwe hakutaka kuiharibu Yuda, tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao.
20 Kadagiti al-aldaw ni Jehoram, bimmusor ti Edom manipud iti panangtengngel ti Juda, nangisaadda ti ari a mangituray kadakuada.
Katika siku za Yoramu, Edomu akaasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, na wakamfanya mfalme juu yao wenyewe.
21 Kalpasanna, nagdaliasat ni Jehoram a kaduana dagiti komandante ken dagiti amin a karwahena. Napasamak a nagrubbuat isuna iti rabii ket rinaut ken pinarmekda dagiti Edomita, a nanglikmot kenkuana ken dagiti komandante dagiti karwahe. Ket naglibas dagiti armada ni Jehoram ket nagawidda kadagiti pagtaenganda.
Basi Yehoramu akaenda na maamri jeshi na magari ya farasi yote. Ilitokea kwamba akaamka usiku na kushambulia na kuwazunguka Waedomu, waliokuwa wamemzunguka na wale maamri jeshi wa magari ya farasi. Ndipo wanajeshi wa Yehoramu wakakimbilia wajumbani kwao.
22 Isu a manipud idin, bumusbusuren ti Edom manipud iti panagturay ti Juda agingga kadagitoy nga aldaw. Bimmusor met ti Libna iti dayta met laeng a tiempo.
Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
23 No maipanggep kadagiti dadduma pay a banbanag maipapan kenni Jehoram, ken kadagiti amin nga inaramidna, saan kadi a naisurat dagitoy iti Libro dagiti Pakasaritaan dagiti Ari ti Juda?
Kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoramu, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
24 Pimmusay ni Jehoram, ket naitanem a naitipon kadagiti ammana iti siudad ni David. Ket ni Ahazias nga anakna ti simmukat kenkuana nga ari.
Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na baba zake, na akalala pamoja na baba zake katika mji wa Daudi. Ndipo Ahazi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
25 Iti maika- sangapulo ket dua a tawen ni Joram nga anak ni Ahab, nga ari ti Israel, nangrugi a nagturay kas ari ti Juda ni Ahazias nga anak ni Jehoram.
Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yohoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
26 Agtawen idi iti duapulo ket dua ni Ahazias idi nangrugi isuna a nagturay; nagturay isuna iti makatawen idiay Jerusalem. Ti inana ket ni Atalia nga anak ni Omri nga ari ti Israel.
Ahazi alikuwa ana umri wa miaka ishirini na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Athalia; alikuwa mtoto wa Omri, mfalme wa Israeli.
27 Simmurot ni Ahazias iti wagas a panagbiag ti pamilia ni Ahab; inaramidna ti dakes iti imatang ni Yahweh, a kas iti ar-aramiden ti balay ni Ahab, ta ni Ahazias ket manugang iti pamilia ni Ahab.
Ahazia alitembelea katika nyumba ya Ahabu; alifanya yale yaliyo maovu katika uso wa Yahwe, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa kuwa Ahazia alikuwa mkwe kwenye nyumba ya Aabu.
28 Kimmuyog ni Ahasias kenni Joram nga anak ni Ahab tapno gubatenda ni Hazael nga ari ti Aram, idiay Ramot Galaad. Dinunor dagiti Arameo ni Joram.
Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu, katika Ramath Geleadi. Washami wakamjeruhi Yoramu.
29 Nagsubli ni Ari Joram idiay Jezreel tapno mapaimbag dagiti sugatna nga impaay kenkuana dagiti Arameo idiay Rama, idi nakiranget isuna kenni Hazael nga ari ti Aram. Simmalog ngarud idiay Jezreel ni Ahazias nga anak ni Jehoram nga ari ti Juda tapno kitaenna ni Joram nga anak ni Ahab, gapu ta nadunor ni Joram.
Mfalme Yoramu akarudi ili auguzwe huko Yezreeli kwenye yale majeraha ambayo Washami walimpatia huko Rama. Wakati alipopigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Hivyo Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme Yuda, akashuka kwa Yezreeli kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.