< 2 Ar-ari 19 >

1 Napasamak daytoy nga idi nangngeg ni Ari Hezekias ti padamagda, rinay-abna ti pagan-anayna, nagkawes isuna iti nakersang a lupot, ket simrek iti balay ni Yahweh.
Ikawa kuhusu kwamba wakati Mfalme Hezekia aliposikia taazrifa zao, akararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia, na kwenda kwenye nyumba ya Yahwe.
2 Imbaonna a nakakawes iti nakersang a lupot da Eliakim a mangimatmaton iti palasio, ni Sebna nga eskriba ken dagiti panglakayen dagiti papadi kenni Isaias a propeta, nga anak ni Amos.
Akamtuma Elkana, ambaye alikua msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna yule mwandishi, na wazee wa makuhani, wote walikuwa wamefunikwa na nguo za magunia, kwenda kwa Isaya mwana wa Amozi, yule nabii.
3 Kinunada kenkuana, “Kuna ni Hezekias, 'Daytoy nga aldaw ket aldaw ti pannakaparparigat, pannakatubngar ken pannakaibabain, ta dimtengen ti tiempo ti pannakaiyanak dagiti ubbing, ngem awanen ti pigsa tapno maiyanakda.
Wakamwambia, “Hezekia wakisema, 'siku hii ni siku ya mateso, shutuma, na fedheha, kwa kuwa wakati umewadia watoto kuzaliwa, lakini hakuna nguvu ili wazaliwe.
4 Mabalin a denggen ni Yahweh a Diosmo dagiti amin a sasao ti panguloen a komandante, nga imbaon ti ari ti Asiria nga apona tapno ibabainna ti sibibiag a Dios, ken tapno tubngarennanto dagiti sasao a nangngeg ni Yahweh a Diosmo. Ita, itag-aymo ti kararagmo para kadagiti nabati nga adda agingga ita.”'
Inaweza kuwa Yahwe Mungu wako atasikia maneno yote ya amiri jeshi mkuu, ambaye mfalme wa Ashuru bwana wake amemtuma kumkaidi Mungu aliye hai, naye atayakemea yale maneno ambayo Yahwe Mungu wako aliyasikia. Sasa inua maombi yako juu kwa ajili ya mabaki yaliyo bakia hapo.”'
5 Isu a napan dagiti adipen ni Ari Hezekias kenni Isaias,
Hivyo watumishi wa mfalme Hezekia wakaja kwa Isaya,
6 ket kinuna ni Isaias kadakuada, “Ibagayo iti amoyo: 'kuna ni Yahweh, “Saanka nga agbuteng kadagiti sasao a nangngegam, a nangibabainan kaniak dagiti adipen ti ari ti Asiria.
na Isaya akawaambia, “Mwambieni bwana wenu: 'Yahwe asema hivi, “Usiyaogope maneno ambayo uliyoyasikia, pamoja na kwamba watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana.
7 Kitaem, mangikabilak iti espiritu kenkuana, ket mangngegna ti maysa a damag ket agsubli iti bukodna a daga. Tinnagek isuna babaen iti kampilan iti bukodna a daga."”'
Tazama, nitaweka roho ndani yake, na yamkini atasikia taarifa na kurudi kwenye nchi yake mwenyewe. Nitamfanya aanguke kwa upanga katika nchi yake mwenyewe."”'
8 Ket nagsubli ti panguloen a komandante ket naduktalanna a makigubgubat ti ari ti Asiria a maibusor iti Libna, ta nangngegna a pimmanaw ti ari manipud idiay Lakis.
Kisha amiri jeshi mkuu akarudi na kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana dhidi ya Libna, kwa kuwa alisikia kwamba mfalme alikuwa ameenda kutoka Lakishi.
9 Kalpasanna, nangngeg ni Senakerib a nagsagana ni Tirhaka nga ari ti Etiopia ken Egipto a manggubat a maibusor kenkuana, isu a nangibaon manen isuna kadagiti mensahero nga addaan iti mensahe kenni Hezekias:
Kisha Senakeribu akasikia kwamba Tirhaka mfalme wa Kushi na Misri alihamasisha kupigana dhidi yake, hivyo akatuma wajumbe tena kwa Hezekia pamoja na ujumbe:
10 “Ibagayo kenni Hezekias nga ari ti Juda, 'Saanmo nga ipalubos nga allilawennaka ti Diosmo a pagtaltalkam iti panangibagbagana, “Saanto a maiyawat ti Jerusalem iti ari ti Asiria.”
“Mwambieni Hezekia mfalme wa Yuda, 'Asikudanganye Mungu wako unayemwamini, kusema, “Yerusalemu haitawekwa kwenye mikono ya mikono ya mfalme wa Ashuru.”
11 Kitaem, nangngegmo ti inaramid dagiti ar-ari ti Asiria kadagiti amin a daga babaen iti panangdadaelda amin kadagitoy. Maispalnakanto ngata met?
Tazama, umesikia kwamba wafalme wa Ashuru wamemaliza nchi zote kwa kuziharibu kabisa. Kwa hiyo je utaokoka?
12 Naispal kadi ida dagiti dios dagiti nasion, dagiti nasion a dinadael dagiti ammak: ti Gosan, Haran, Resef, ken dagiti tattao ti Eden idiay Telassar?
Je wale miungu wa mataifa wamewaokoa, mataifa ambao baba zangu waliyaharibu: Gozani, Harani, Resefu, na watu wa Edeni katika Telasari?
13 Sadino ti ayan dagiti ari ti Hamat, ti ari ti Arpad, ti Ari dagiti siudad ti Sefravaim, Hena ken Ivva?'”
Je yuko wapi mfalme wa Hamathi, mfalme Arpadi, mfalme wa miji ya Sefarvaimu, wa Hena, na Iva?”'
14 Naawat ni Hezekias daytoy a surat manipud kadagiti mensahero ket binasana daytoy. Kalpasanna, simmang-at isuna idiay balay ni Yahweh ket inyukradna daytoy iti sangoananna.
Hezekia akapokea hii barua kutoka wale wajumbe na kuisoma. Kisha akapanda hata kwenye nyumba ya Yahwe na kuukunjua mbele yake.
15 Ket nagkararag ni Hezekias iti sangoanan ni Yahweh ket kinunana, '“Yahweh a Mannakabalin-amin, Dios ti Israel, sika a nakatugaw iti ngatoen dagiti kerubim, sika laeng ti Dios kadagiti amin a pagarian ditoy daga. Pinarsuam ti langit ken ti daga.
Kisha Hezekia akaomba mbele ya Yahwe na kusema, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, uketiye juu ya makerubi, wewe ni Mungu wa pekee juu ya tawala zote za dunia. Uliyeziumba mbingu na nchi.
16 Ipangagmo Yahweh, ket dumngegka. Luktam dagita matam Yahweh ket kumitaka ken denggem dagiti sao ni Senakerib nga impatulodna tapno laisenna ti sibibiag a Dios.
Tega sikio lako, Yahwe, na usikie. Fungua macho yako, Yahwe, na tazama, na sikia maneno ya Senakeribu, ambayo ameyatuma kumdhihaki Mungu aliye hai.
17 Pudno Yahweh, a dinadael dagiti ar-ari ti Asiria dagiti nasion ken dagiti dagada.
Ni kweli, Yahwe, wafalme wa Ashuru ameyaharibu mataifa na nchi zao.
18 Impuorda dagiti diosda, ta saan dagitoy a dios, aramid laeng dagitoy dagiti ima dagiti tattao, kayo ken bato laeng dagitoy. Isu a dinadael ida dagiti Asiriano.
Wameiweka miungu yao kwenye moto, kwa kuwa hawakuwa miungu lakini ilikuwa kazi ya mikono ya watu, ilikuwa miti na mawe. Hivyo Waashuru wamewaharibu.
19 Ita ngarud, Yahweh a Diosmi, isalaknnakami, agpakaasiak kenka, manipud iti kinabilegna, tapno maammoan dagiti amin a pagarian ditoy daga a sika ni Yahweh nga agmaymaysa a Dios.”
Basi sasa, Yahwe Mungu wetu, tuokoe, nakusihi, kutoka kwenye nguvu zake, ili kwamba mamlaka zote za dunia zipate kujua yakwamba wewe, Yahwe, ndiye Mungu wa pekee.”
20 Ket nangipatulod iti mensahe ni Isaias nga anak ni Amos kenni Hezekias a kunana, “Ibagbaga ni Yahweh a Dios ti Israel, 'Gapu ta nagkararagka kaniak maipapan kenni Senakerib nga ari ti Asiria, nangngegka.
Kisha Isaya mwana wa Amozi akatuma ujumbe kwa Hezekia, akisema, “Yahwe, Mungu wa Israeli asema, 'Kwasababu umeomba kwangu kuhusiana na Senakeribu mfalme wa Ashuru, nimekusikia.
21 Daytoy ti sao ni Yahweh maipapan kenkuana: “Lalaisennaka ti birhen nga anak a babai ti Sion ken katawaannaka nga umsien. Iwingiwingna ti ulona kenka ti anak a babai ti Jerusalem.
Hili ndilo neno ambalo Yahwe ameliongea kuhusu yeye: “Bikira binti Sayuni amekudharau na kukucheka kwa dharau. Binti wa Yerusalemu akatikisa kichwa juu yako.
22 Siasino ti kinarit ken linaismo? Ket siasino ti binugkawam ken kinitam nga addaan iti kinatangsit? Maibusor iti Nasantoan iti Israel!
Je ni nani uliyemchokoza na kumtukana? Dhidi ya nani umeinua sauti yako na kuinua macho yako katika majivuno? Juu ya Mtakatifu wa Israeli!
23 Babaen kadagiti mensaherom, kinaritmo ti Apo, ket kinunam, 'Babaen kadagiti adu a karwahek, nakasang-atak kadagiti tapaw dagiti banbantay, inggana kadagiti kangangatoan a banbantay iti Libano. Pukanekto dagiti nangangato a sedro ken dagiti kasasayaatan a kaykayo ti saleng sadiay. Ket serkekto dagiti kaaadaywan a paset daytoy, iti nabunga unay a paset ti kabakiran.
Kupitia wajumbe wako wamemdharau Bwana, na kusema, 'Pamoja na wingi wa magari yangu ya farasi nimeenda juu ya vilele ya milima, hata juu ya kilele cha Lebanoni. Nitaikata mierezi mirefu na kuchagua miti ya mivinje huko. Nitaingia sehemu za makazi yake yaliyo mbali, msitu wake uzaao sana.
24 Nagkaliak kadagiti bubon ket umminumak kadagiti ganggannaet a danum. Pinamagaak amin dagiti karayan ti Egipto kadagiti dapanko.'
Nimechimba visima na kunywa maji mageni. Nimekausha mito yote ya Misri chini ya soli ya miguu yangu.'
25 Saanmo kadi a nanggeg no kasano nga inkeddengko idi pay laeng, ket inaramidko daytoy idi pay punganay? Ita, tungtungpalekon. Adtoyka a mamagbalin kadagiti natalged a siudad a gabsuon dagiti dadadel.
Je hukusikia jinsi nilivyoagiza tangu zamani, na kuyafanya tangu siku za zamani? Sasa ninalileta kupita. Uko hapa kupunguza miji isiyoingilika kwenye rundo la maangamizi.
26 Dagiti awanan pigsa nga agnanaed kadagitoy ket nawarawara ken nabainan. Kaslada kadagiti mulmula iti talon, berde a ruot, ti ruot a nagtubo iti bubongan wenno iti talon, nakset sakbay a dimmakkel.
Makazi yao, ya nguvu kidogo, imevunjwa vunjwa na aibu. Wamekuwa mimea katika shamba, majani ya kijani, majani juu kwenye dari au kwenye shamba, lililochomwa kabla halijakua.
27 Ngem ammok no agtugtugawka, no rumrummuarka, no umun-unegka ken no makapungpungtotka kaniak.
Lakini najua kuketi kwako chini, na kutoka kwako, kuingia kwako dhidi yangu.
28 Gapu iti panagpungpungtotmo kaniak, ken gapu ta nangngegko ti kinatangsitmo, taldengak ta agongmo, ken busalak ta ngiwatmo; isublika iti dalan a naggapuam.”
Kwasababu kiburi chako kimeyafikia masikio yangu, Nitaweka kulabu yangu kwenye pua yako, na hatamu yangu kwenye mdomo wako; nitakurudisha nyuma kwa njia ile ile uliyoijia.”
29 Daytoyto ti pagilasinam; Ita a tawen, kanem dagiti agtubtubo laeng, ket iti maikadua a tawen, kanem ti agtubo manipud iti dayta. Ngem iti maikatlo a tawen, masapul nga agmulaka ket apitem, agmulaka kadagiti ubas ket kanem dagiti bungada.
Hii ndiyo itakuwa ishara kwako: Mwaka huu mtakula vitu viotavyo porini, na katika mwaka wa pili vile vikuavyo katika huo. Lakini katika mwaka wa tatu ni lazima mpande na kuvuna, kupanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.
30 Agramut manen ket agbunga dagiti nabati a nakalasat iti balay ti Juda.
Mabaki ya nyumba ya Yuda ambayo yataokoka yatachukua tena mizizi na kuzaa matunda.
31 Ta manipud iti Jerusalem, ti nabati ket rummuarto, umayto dagiti nakalasat manipud iti Bantay Sion. Ti regta ni Yahweh a Mannakabalin-amin ti mangaramid iti daytoy.
Kwa kuwa mabaki yatatoka Yerusalemu, kutoka Mlima Sayuni wenye kuokoka utakuja. Wivu wa Yahwe wa majeshi utafanya hivyo.
32 Ngarud kinuna ni Yahweh daytoy maipapan iti ari ti Asiria: “Saanto isuna a makastrek iti daytoy a siudad wenno mangibiat ti pana sadiay. Saanto nga makaumay isuna a sikakalasag a makaasideg iti siudad wenno mangbangon ti panglakub iti aglawlawna.
Kwa hiyo Yahwe asema hivi kuhusu mfalme wa Ashuru: “Hatakuja kwenye huu mji wala kupiga mshale hapa. Wala hatakuja mbele yake na ngao au kujenga boma dhidi yake.
33 Ti dalan a nagnaanna nga immay ket isunto met laeng ti dalan a pagsublianna; saanto a sumrek iti daytoy a siudad. Daytoy ti pakaammo ni Yahweh.”
Njia ile ile aliyoijia ndiyo njia atakayoondokea; hatoingia mji huu - hivi ndivyo asemavyo Yahwe.”
34 Ta salaknibak ken ispalekto daytoy a siudad, para iti bukodko a dayaw ken gapu iti adipenko a ni David.'”
Kwa maana nitaulinda huu mji na kuuokoa, kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”'
35 Napasamak daytoy iti rabbii a rimmuar ti maysa nga anghel ni Yahweh, ket rinautna ti kampo dagiti Siriano, pinapatayna ti 185, 000 a soldado. Idi nakariing dagiti tattao iti agsapa, agkaraiwara dagiti bangkay.
Ikawa kuhusu usiku huo ambao malaika wa Yahwe alitoka na kuvamia kambi ya Waashuru, akawaua maaskari 185, 000. Kisha watu wakaamka asubuhi na mapema, miili ya watu waliokuwa wamekufa ilikuwa imelala kila mahali.
36 Isu a pimmanaw ni Senakerib nga ari ti Asiria iti Israel ket nagawid ken nagnaed idiay Nineve.
Hivyo Senakeribu mfalme wa Ashuru akaondoka Israeli na kwenda nyumbani na kuishi katika Ninawi.
37 Iti saan a nagbayag, kabayatan iti panagdaydayawna iti balay ni Nisrok a diosna, pinapatay isuna dagiti annakna a da Adramelek ken Sarezer babaen iti kampilan. Ket naglibasda a napan idiay daga ti Ararat. Ni Esarhadon nga anakna ti nagbalin nga ari a simmukat kenkuana.
Baadaye, alipokuwa akiabudu kwenye nyumba ya Nisroki mungu wake, watoto wake Adramaleki na Shareza wakamuua kwa upanga. Kisha wakakimbilia kwenye nchi ya Ararati. Kisha Esarhodani mwanaye akawa mfalme katika mahali pake.

< 2 Ar-ari 19 >