< 2 Ar-ari 13 >

1 Iti maika-duapulo ket tallo a tawen ni Joas nga anak ni Ahazias kas ari ti Juda, rinugian ni Joacaz nga anak ni Jehu nga agturay iti Israel idiay Samaria; nagturay isuna iti sangapulo ket pito a tawen.
Katika mwaka wa ishirini na tatu wa utawala wa Yoashi mwana wa Ahazia mfalme wa Yuda, Yehoahazi mwana wa Yehu alianza kutawala Israeli katika Samaria, naye akatawala miaka kumi na saba.
2 Inaramidna ti dakes iti imatang ni Yahweh ken sinurotna dagiti basol ni Jeroboam nga anak a lalaki ni Nebat, a nangisungsong kadagiti Israel nga agbasol; ket saan a tinallikudan dagitoy ni Joacaz.
Akafanya maovu machoni pa Bwana kwa kufuata dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda, na wala hakuziacha.
3 Immapuy ti pungtot ni Yahweh a maibusor iti Israel, ken namin-anona ida nga inyawat kada Hazael nga ari ti Aram, ken Ben Hadad nga anak a lalaki ni Hazael.
Kwa hiyo hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Israeli na kwa muda mrefu akawaweka chini ya utawala wa Hazaeli mfalme wa Aramu, na Ben-Hadadi mwanawe.
4 Nagpakaasi ngarud ni Joacaz kenni Yahweh, ket dinengngeg isuna ni Yahweh gapu ta nakitana ti pannakaparigat ti Israel, no kasano ti panangparparigat ti ari iti Aram kadakuada.
Ndipo Yehoahazi akamsihi Bwana rehema, naye Bwana akamsikiliza, kwa maana aliona jinsi mfalme wa Aramu alivyokuwa akiwatesa Israeli vikali.
5 Nangipaay ngarud ni Yahweh iti mangispal iti Israel, ket nakaruk-atda manipud iti panangituray kadakuada dagiti Arameo, ket nangrugi dagiti tattao ti Israel nga agnaed kadagiti pagtaengan a kas idi un-unana.
Bwana akamtoa mwokozi kwa ajili ya Israeli, nao wakaokoka kutoka kwenye mamlaka ya Aramu. Hivyo Waisraeli wakaishi katika nyumba zao wenyewe kama ilivyokuwa hapo awali.
6 Nupay kasta, saanda nga inadaywan dagiti basbasol ti balay ni Jeroboam, a nangisungsong iti Israel nga agbasol, ket nagtultuloyda kadagitoy. Nagtalinaed ti imahen ti diosa a ni Asera idiay Samaria.
Lakini hawakuziacha dhambi za nyumba ya Yeroboamu, ambazo alisababisha Israeli kuzitenda, bali wakaendelea kuzitenda. Nguzo ya Ashera pia iliendelea kusimama katika Samaria.
7 Adda laeng limapulo a mannakigubat a nakakabalio, sangapulo a karwahe ken sangapulo a ribu a saan nga agkabkabalio nga imbati dagiti Arameo kenni Joacaz, gapu ta dinadael ti ari ti Aram dagiti dadduma ken pinagbalinna ida a kasla taep iti tiempo ti panagirik.
Hapakubaki kitu chochote katika jeshi la Yehoahazi isipokuwa wapanda farasi hamsini, magari kumi ya vita na askari wa miguu elfu kumi, kwa kuwa mfalme wa Aramu alikuwa amewaangamiza hao wengine na kuwafanya kama mavumbi wakati wa kupura nafaka.
8 No maipanggep met kadagiti dadduma a banbanag maipapan kenni Joacaz, ken dagiti amin nga inaramidna ken ti panagturayna, saan kadi a naisurat dagitoy iti Libro dagiti Pakasaritaan dagiti Ari ti Israel?
Matukio mengine ya utawala wa Yehoahazi yote aliyoyafanya na mafanikio yake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
9 Pimmusay ni Joacaz, ket intabonda isuna idiay Samaria. Ni Joas nga anakna ti simmukat kenkuana nga ari.
Yehoahazi akalala pamoja na baba zake, akazikwa huko Samaria. Naye Yehoashi mwanawe akawa mfalme baada yake.
10 Iti maika-tallo ket pito a tawen ni Joas nga ari ti Juda, nangrugi met ti panagturay ni Jehoas nga anak ni Joacaz iti Israel idiay Samaria; nagturay isuna iti sangapulo ket innem a tawen.
Katika mwaka wa thelathini na saba wa utawala wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yehoashi mwana wa Yehoahazi alianza kutawala Israeli huko Samaria, naye akatawala miaka kumi na sita.
11 Inaramidna ti dakes iti imatang ni Yahweh. Saanna a tinallikudan dagiti basbasol ni Jeroboam nga anak ni Nebat, basol a nangisungsunganna iti Israel nga agbasol, ngem ketdi, sinurotna dagitoy.
Alifanya maovu machoni pa Bwana, na hakuacha dhambi yoyote kati ya zile za Yeroboamu mwana wa Nebati ambazo alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda, bali aliendelea kuzitenda.
12 No maipanggep met kadagiti dadduma a banbanag maipapan kenni Joas ken amin nga inaramidna, agraman ti kinamaingelna iti pannakigubat kenni Amazias nga ari ti Juda, saan kadi a naisurat dagitoy iti Libro dagiti Pakasaritaan dagiti Ari ti Israel?
Na kwa matukio mengine ya utawala wa Yehoashi, yote aliyoyafanya na mafanikio yake, pamoja na vita yake dhidi ya Amazia mfalme wa Yuda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
13 Pimmusay ni Jehoas ket ni Jeroboam ti nagtugaw iti tronona. Naitabon ni Joas idiay Samaria a nakaitaneman dagiti ari ti Israel.
Yehoashi akalala pamoja na baba zake, akazikwa Samaria pamoja na wafalme wa Israeli. Yeroboamu akawa mfalme baada yake.
14 Ita, nagsakit ni Eliseo iti nakaro, sakit nga idi nagangay ket isu iti nakaigappuan ti pannakatayna, isu a simmalog ni Joas nga ari ti Israel ket sinangitanna. Kinunana, “Amak, o amak, ipanawdakan dagiti karwahe ti Israel ken dagiti nakakabalio a lallaki!”
Wakati huu, Elisha alikuwa anaumwa na ugonjwa ambao baadaye ulimuua. Yehoashi mfalme wa Israeli akashuka kwenda kumwona na kumlilia. Akalia, “Baba yangu! Baba yangu! Magari ya vita ya Israeli na wapanda farasi wake!”
15 Kinuna ni Eliseo kenkuana, “Mangala ka iti bai ken kadagiti pana,” isu a nangala ni Joas iti bai ken kadagiti pana.
Elisha akasema, “Leta upinde na baadhi ya mishale,” naye mfalme akafanya hivyo.
16 Kinuna ni Eliseo iti ari ti Israel, “Ikabil mo ti imam iti bai,” ket inkabilna ti imana ditoy. Ket impatay ni Eliseo dagiti imana kadagiti ima ti ari.
Elisha akamwambia mfalme wa Israeli, “Shika upinde mikononi mwako.” Alipokwisha kuichukua, Elisha akaweka mikono yake juu ya mikono ya mfalme.
17 Kinuna ni Eliseo, “Lukatam ti tawa nga agturong iti daya,” linukatanna ngarud daytoy. Ket Kinuna ni Eliseo, “Ibiat mo ti pana!”, ket imbiatna ti pana. kinuna ni Eliseo, “Daytoy ti pana a mangipakita iti panagballigi ni Yahweh iti Aram, pana iti panagballigi maibusor kadagiti Arameo, ta rautenyonto dagiti Arameo idiay Afek inggana nga ibusenyo ida.”
Elisha akasema, “Fungua dirisha la mashariki,” naye akalifungua. Elisha akasema, “Piga mshale!” Naye akapiga mshale. Elisha akasema, “Mshale wa ushindi wa Bwana, mshale wa ushindi juu ya Aramu! Utawaangamiza Waaramu kabisa huko Afeki.”
18 Kalpasanna kinuna ni Eliseo, “Alaem dagiti pana,” innala ngarud dagitoy ni Joas. Kinunana iti ari ti Israel, “Panaem ti daga,” ket pinanana ti daga iti namitlo a daras, sa nagsardeng.
Kisha akasema, “Chukua mishale,” naye mfalme akaichukua. Elisha akamwambia, “Piga ardhi kwa hiyo mishale.” Akaipiga mara tatu, halafu akaacha.
19 Ngem nakaunget ti tao ti Dios kenkuana ket kinunana, “Naminlima wenno namin-innemmo koma a pinana ti daga. Ket rautenyonto koma ti Aram aginggana a maparmekyo daytoy, ngem ita, rautenyonto laengen ti Aram iti mamitlo a daras.”
Mtu wa Mungu akamkasirikia na akasema, “Ungepiga chini mara tano au sita, ndipo ungeishinda Aramu na kuiangamiza kabisa. Lakini sasa utaishinda mara tatu tu.”
20 Kalpasanna natay ni Eliseo ket intabonda. Ita, adda bunggoy dagiti Moabita a nangtagikua iti daga iti panangrugi ti tawen.
Elisha akafa, nao wakamzika. Vikosi vya Wamoabu vilikuwa vinashambulia nchi kwa vita kila mwaka wakati wa vuli.
21 Idi madama nga itabtabonda ti maysa a tao, adda nakitada a bunggoy dagiti Moabita, ngarud impurwakda ti bangkay iti tanem ni Eliseo. Apaman a naisagid ti bangkay ti maysa a tao iti tultulang ni Eliseo, nagbiag ti bangkay daytoy a tao ket timmakder.
Ikawa Waisraeli fulani walipokuwa wanamzika mtu, ghafula wakaona kikosi cha washambuliaji, basi wakaitupa ile maiti ya yule mtu ndani ya kaburi la Elisha. Wakati ile maiti ilipogusa mifupa ya Elisha, yule mtu akafufuka na kusimama kwa miguu yake.
22 Pinarigat ni Hazael nga ari ti Aram ti Israel iti amin nga aldaw ni Joacaz.
Hazaeli mfalme wa Aramu aliwatesa Israeli wakati wote wa utawala wa Yehoahazi.
23 Ngem naparabur ni Yahweh iti Israel, ken naasi isuna kadakuada ken maseknan para kadakuada gapu iti tulagna kada Abraham, Isaac ken Jacob. Isu a saan ida a dinadael ni Yahweh ken saanna ida a pinapanaw iti imatangna.
Lakini Bwana akawarehemu na akawahurumia, akaonyesha kujishughulisha nao kwa sababu ya Agano lake na Abrahamu, Isaki na Yakobo. Hadi leo, hajawaangamiza wala kuwafukuza mbele zake.
24 Natay ni Hazael nga ari iti Aram, ket ni Ben-Hadad a putotna ti simmukat nga Ari.
Hazaeli mfalme wa Shamu akafa, naye Ben-Hadadi mwanawe akawa mfalme baada yake.
25 Sinubli manen ni Jehoas a putot ni Joacaz dagiti siudad manipud kenni Ben-Hadad a lalaki a putot ni Hazael a naala kenni Joacaz nga amana babaen iti gubat. Rinaut isuna ni Jehoas iti mamitlo a daras, ket nasublina dagidiay a siudad ti Israel.
Kisha Yehoashi mwana wa Yehoahazi akateka tena kutoka kwa Ben-Hadadi mwana wa Hazaeli ile miji aliyokuwa ameitwaa kwa vita kutoka kwa baba yake Yehoahazi. Yehoashi alimshinda mara tatu, hivyo akaweza kuiteka tena ile miji ya Waisraeli.

< 2 Ar-ari 13 >