< 2 Cronicas 33 >

1 Sangapulo ket dua ti tawen ni Manases idi nangrugi nga agturay; nagturay isuna iti 55 a tawen idiay Jerusalem.
Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
2 Dakes ti inaramidna iti imatang ni Yahweh, a kas kadagiti makarimon a banbanag nga inar-aramid dagiti nasion a pinapanaw ni Yahweh sakbay dagiti tattao ti Israel.
Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
3 Ta binangonna manen dagiti pagdaydayawan a tinumba ni Hezekias nga amana, ken nangaramid isuna kadagiti altar a para kenni Baal, nangaramid isuna kadagiti rebulto ni Asera, ken nagrukob isuna kadagiti amin a bituen iti tangatang ken nagdaydayaw kadagitoy.
Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
4 Nangaramid ni Manases kadagiti altar para kadagiti didiosen iti balay ni Yahweh, uray no imbilin ni Yahweh a, “Ditoy Jerusalem ti pagtalinaedan ti naganko iti agnanayon.”
Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
5 Nangaramid isuna kadagiti altar a pagdaydayawan kadagiti amin a bituen iti tangatang iti dua a paraangan ti balay ni Yahweh.
Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
6 Indatonna dagiti annakna a kas daton a maipuor idiay tanap ti Ben Hinnom; nakiuman isuna kadagiti mammadles ken mangan-anito, kadagiti mammuyon, ken kadagiti makium-uman kadagiti natay, ken kadagiti makium-uman kadagiti espiritu. Adu ti inaramidna a kinadakes iti imatang ni Yahweh, ket pinagpungtotna ti Dios.
Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
7 Inkabilna ti nakitikitan a ladawan ni Asera nga inaramidna iti balay ti Dios. Daytoy a balay ti imbaga ti Dios kenni David ken Solomon a putotna; kinunana: “Iti daytoy a balay, ken iti Jerusalem, a pinilik manipud kadagiti amin a tribu ti Israel, ti pangikabilak iti naganko iti agnanayon.
Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
8 Saankon a pulos a papanawen dagiti tattao ti Israel iti daga nga intedko kadagiti kapuonanda, no laeng ta tungpalenda a nasayaat dagiti amin nga imbilinko kadakuada, tungpalenda dagiti amin a linteg, alagaden, ken bilbilin nga intedko kadakuada babaen kenni Moises.”
Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
9 Insungsong ni Manases ti Juda ken dagiti agnanaed iti Jerusalem nga agaramid iti nadakdakes pay ngem iti inaramid dagiti nasion a dinadael ni Yahweh sakbay a dimteng dagiti tattao ti Israel sadiay.
Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
10 Nagsao ni Yahweh kenni Manases, ken kadagiti tattaona; ngem saanda a nangikaskaso.
Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
11 Isu nga inyeg ni Yahweh kadakuada dagiti papangulo ti armada ti ari ti Asiria, a nangala kenni Manases a nakakawar, kinawaranda dagiti sakana, ket inyapanda isuna idiay Babilonia.
Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
12 Idi agsagsagaba ni Manases, immasug isuna kenni Yahweh, a Diosna, ket nagpakumbaba iti kasta unay iti sangoanan ti Dios dagiti kapuonanna.
Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
13 Nagkararag isuna kenkuana; ket nagpakpakaasi isuna iti Dios, ket impangag ti Dios ti panagpakaasina ket insublina isuna idiay Jerusalem, iti kinaarina. Kalpasanna, nabigbig ni Manases a ni Yahweh ket Dios.
Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
14 Kalpasan daytoy, nangipasdek ni Manases iti akinruar a pader iti siudad ni David, iti laud a paset ti Gihon, idiay tanap, agingga iti Ruangan ti Ikan. Pinalikmutanna ti turod ti Opel iti bakud ket pinatayagna ti bakud iti kasta unay. Nangikabil isuna kadagiti natutured a papangulo kadagiti amin a nasarikedkedan a siudad ti Juda.
Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
15 Inikkatna iti balay ni Yahweh dagiti ganggannaet a didiosen, ken dagiti amin nga altar nga inaramidna iti tapaw iti bantay a nakaisaadan ti balay ni Yahweh ken idiay Jerusalem, ken imbellengna dagitoy iti ruar ti siudad.
Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
16 Tinarimaanna ti altar ni Yahweh ket nangidatag iti rabaw daytoy kadagiti daton a pakikappia ken daton a pagyaman; binilinna ti Juda nga agserbida kenni Yahweh, a Dios ti Israel.
Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
17 Uray no nangidaton latta dagiti tattao kadagiti pagdaydayawan, ngem ni laeng Yahweh a Diosda ti nangipaayanda.
Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
18 Maipapan kadagiti dadduma a pasamak maipanggep kenni Manases, ti kararagna iti Diosna, ken dagiti mensahe dagiti mammadto a nagsao kenkuana iti nagan ni Yahweh, a Dios ti Israel, adtoy, naisurat dagitoy kadagiti aramid dagiti ar-ari ti Israel.
Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
19 Karaman dagiti kararagna, ken no kasano a nagpakaasi isuna iti Dios, dagiti amin a basolna ken dagiti panagsalungasingna, ken dagiti lugar a nangibangonanna kadagiti pagdaydayawan ken nangisaadanna kadagiti rebulto ni Asera ken kadagiti nakitikitan nga imahen, a nagdaydayawanna-naisurat dagitoy iti Libro ti Cronicas dagiti profeta.
Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
20 Pimmusay ni Manases ket naitanem isuna iti nakaitaneman dagiti kapuonanna, ket intanemda isuna iti bukodna a balay. Ni Amon a putotna a lalaki ti simmukat kenkuana nga ari.
Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
21 Sangapulo ket dua ti tawen ni Amon idi nagrugi isuna nga agturay; nagturay isuna iti dua a tawen idiay Jerusalem.
Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
22 Dakes ti inaramidna iti imatang ni Yahweh, a kas iti inaramid ni Manases nga amana. Nagidaton ni Amon kadagiti amin a nakitikitan a ladawan nga inaramid ni Manases nga amana, ken nagdaydayaw isuna kadagitoy.
Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
23 Saan isuna a nagpakumbaba iti sangoanan ni Yahweh, a kas koma iti inaramid ni Manases nga amana. Ngem ketdi, ad-ada pay ti panagsukir ni Amon.
Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
24 Insikat isuna dagiti adipenna ket pinapatayda isuna iti bukodna a balay.
Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
25 Ngem pinapatay dagiti tattao iti daga dagiti amin a nangisikat kenni Ari Amon, ket insaadda ni Josias, a putotna a lalaki nga ari a kasukatna.
Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.

< 2 Cronicas 33 >