< 2 Cronicas 22 >
1 Insaad dagiti agnanaed iti Jerusalem ni Ahazias a kaubingan a putot a lalaki ni Jehoram nga ari a kas kasukatna; ta dagiti lallaki nga immay a rimmaut iti kampo agraman dagiti taga-Arab a kakaduada ket pinapatayda dagiti amin nga inauna a putotna a lallaki. Isu a ni Ahazias a putot ni Jehoram nga ari ti Juda ti naisaad a kas ari.
Watu wa Yerusalemu wakamfanya Ahazia, mdogo wa wote wa wana wa Yerohamu, kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwa sababu washambuliaji wa ghafula waliokuwa wameingia kambini pamoja na Waarabu, walikuwa wamewaua wana wakubwa wote wa Yehoramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
2 Uppat a pulo ket dua ti tawen ni Ahazias idi nangrugi isuna nga agturay; nagturay isuna idiay Jerusalem iti maysa a tawen. Atalia ti nagan ti inana a putot a babai ni Omri.
Ahazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri.
3 Sinurotna met dagiti wagas ti balay ni Ahab ta ti inana ti mammagbaga kenkuana nga agaramid kadagiti dakes a banbanag.
Ahazia naye akaenenda katika njia za nyumba ya Ahabu, kwa sababu mama yake alimshawishi katika kutenda maovu.
4 Inaramid ni Ahazias ti dakes iti imatang ni Yahweh, a kas iti ar-aramiden ti balay ni Ahab, ta kalpasan ti ipapatay ti amana ket isuda dagiti mammagbaga kenkuana nga isu ti nakaigapuan ti pannakadadaelna.
Akafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana kama walivyokuwa wamefanya nyumba ya Ahabu, kwa kuwa baada ya kufa kwa baba yake nyumba ya Ahabu ndio waliokuwa washauri wake, kwa uangamivu wake.
5 Sinurotna met dagiti balakadda; nakikadua kenni Joram a putot a lalaki ni Ahab nga ari ti Israel tapno makiranget kenni Hazael nga ari ti Aram idiay Ramot Galaad. Sinugatan dagiti taga-Aram ni Joram.
Pia akafuata shauri lao alipokwenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
6 Nagsubli ni Joram idiay Jezreel tapno agpaimbag kadagiti sugatna, idi nakiranget isuna kenni Hazael nga ari ti Aram idiay Rama. Isu a simmalog ni Ahazias a putot a lalaki ni Jehoram, nga ari ti Juda idiay Jezreel tapno sarungkaranna ni Joram a putot a lalaki ni Ahab, gapu ta nasugatan ni Joram.
Hivyo akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha aliyojeruhiwa huko Ramothi alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu. Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akashuka kwenda Yezreeli kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.
7 Ita, ti pannakadadael ni Ahazias ket inyeg ti Dios babaen iti panangsarungkar ni Ahazias kenni Joram. Idi nakasangpet isuna, nakikadua kenni Joram a mangdarup kenni Jehu a putot a lalaki ni Nimsi a pinili ni Yahweh a mangdadael iti balay ni Ahab.
Mungu alikuwa ameamuru kwamba kuanguka kwa Ahazia kungetokea atakapokwenda kumwona Yoramu. Ahazia alipowasili, wakatoka pamoja na Yoramu ili kwenda kukutana na Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Bwana alikuwa amemtia mafuta kuangamiza nyumba ya Ahabu.
8 Napasamak nga, idi ipatpatungpal ni Jehu ti panangpapatayna kadagiti amin a kaputotan ni Ahab a kas iti imbilin ti Dios, nasarakanna dagiti mangidadaulo iti Juda ken dagiti putot a lallaki ti kabsat a lalaki ni Ahazias nga agserserbi kenni Ahazias. Pinapatay ida ni Jehu.
Yehu alipokuwa anatekeleza hukumu juu ya nyumba ya Ahabu, akawakuta wakuu wa Yuda na wana wa jamaa ya Ahazia waliokuwa wanamhudumia Ahazia, naye akawaua.
9 Binirok ni Jehu ni Ahazias, natiliwda isuna nga aglemlemmeng idiay Samaria, impanda isuna kenni Jehu, ket pinapatayda isuna. Ket intabonda isuna, ta kunada, “Putot isuna a lalaki ni Jehosafat, a nangipamaysa iti pusona kenni Yahweh.” Isu nga awanen iti pannakabalin ti balay ni Ahazias a mangituray iti pagarian.
Ndipo akaenda kumsaka Ahazia, nao watu wake wakamkamata alipokuwa amejificha huko Samaria. Akaletwa kwa Yehu, naye Yehu akamuua. Wakamzika kwani walisema, “Alikuwa mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Bwana kwa moyo wake wote.” Hivyo hapakuwa na mtu mwenye uwezo katika nyumba ya Ahazia aliyeweza kushika ufalme.
10 Ita, idi nakita ni Atalia nga ina ni Ahazias a natayen ti anakna, timmakder isuna ket pinatayna dagiti amin nga annak ti ari iti balay ti Juda.
Wakati Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa mwanawe amekufa, akainuka na kuiangamiza jamaa yote ya mfalme ya nyumba ya Yuda.
11 Ngem innala ni Jehosaba, a putot a babai ti ari, ni Joas, a putot a lalaki ni Ahazias, ket inyadayona isuna kadagiti annak ti ari a dandani mapapatay. Inkabilna isuna iti maysa a siled agraman ti mangay-aywan kenkuana. Isu nga inlemmeng isuna ni Jehoseba a putot a babai ni Ari Jehoram, nga asawa ni Jehoyada a padi (ta kabsat isuna a babai ni Ahazias) tapno saan a papatayen ni Atalia.
Lakini Yehosheba, binti wa Mfalme Yehoramu, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala. Kwa kuwa Yehosheba, aliyekuwa binti wa Mfalme Yehoramu, na pia alikuwa mke wa kuhani Yehoyada, alikuwa dada yake Ahazia, akamficha huyo mtoto ili Athalia asimuue.
12 Kaduada isuna nga aglemlemmeng iti balay ti Dios iti innem a tawen, bayat iti panagturay ni Atalia iti daga.
Alibaki amefichwa pamoja nao katika Hekalu la Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.