< 2 Cronicas 11 >
1 Idi nakasangpet ni Rehoboam idiay Jerusalem, inummongna ti balay ni Juda ken Benjamin, 180, 000 a napili a lallaki a soldado, a makigubat iti Israel, tapno maisubli manen ti pagarian kenni Rehoboam.
Ikawa Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akakusanya nyumba ya Yuda na ya Benyamini, wanaume wapiganaji 180,000, kufanya vita dhidi ya nyumba ya Israeli na kuurudisha tena ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Solomoni.
2 Ngem immay ti sao ni Yahweh kenni Semaias, a tao ti Dios, a kunana,
Lakini neno hili la Bwana likamjia Shemaya mtu wa Mungu:
3 “Agsaoka kenni Rehoboam, a putot a lalaki ni Solomon, nga ari ti Juda, ken kadagiti amin a tattao ti Israel idiay Juda ken Benjamin; a kunam,
“Mwambie Rehoboamu mwana wa Solomoni mfalme wa Yuda, na Israeli wote walioko Yuda na Benyamini,
4 'Kastoy ti kuna ni Yahweh: Rumbeng a saanyo a rauten wenno gubaten dagiti kakabsatyo. Rumbeng nga agsubli ti tunggal lalaki iti balayna, ta pagayatak ti napasamak.”' Impangagda ngarud dagiti sasao ni Yahweh ket imbabawida ti panangrautda kenni Jeroboam.
‘Hili ndilo asemalo Bwana: Msipande kupigana dhidi ya ndugu zenu. Nendeni nyumbani, kila mmoja wenu, kwa kuwa hili nimelitenda mimi.’” Kwa hiyo wakalitii neno la Bwana na wakaacha kwenda kupigana dhidi ya Yeroboamu.
5 Nagnaed ni Rehoboam idiay Jerusalem ket nangibangon kadagiti siudad idiay Juda a pangsalaknib.
Rehoboamu akaishi Yerusalemu akajenga miji yenye ngome katika Yuda:
6 Binangonna ti Betlehem, Etam, Tekoa,
Akajenga Bethlehemu, Etamu, Tekoa,
7 Bet-zur, Soco, Adullam,
Beth-Suri, Soko, Adulamu,
Adoraimu, Lakishi, Azeka,
10 Zora, Aijalon ken Hebron. Dagitoy dagiti nasarikedkedan a siudad idiay Juda ken Benjamin.
Sora, Aiyaloni na Hebroni. Hii ndiyo iliyokuwa miji iliyojengewa ngome katika Yuda na Benyamini.
11 Pinalagdana dagiti sarikedked ket nangisaad isuna kadagiti mangidaulo kadagitoy, nga addaan kadagiti abasto a taraon, lana, ken arak.
Akaimarisha ulinzi wake na kuweka majemadari ndani yake, pamoja na ghala za mahitaji ya vyakula, mafuta ya zeituni na divai.
12 Nangikabil isuna kadagiti kalasag ken gayang iti tunggal siudad ken pinatibkerna dagiti siudad. Kukuana ti Juda ken Benjamin.
Akaweka ngao na mikuki katika miji na kuifanya iwe imara sana. Kwa hiyo Yuda na Benyamini zikawa zake.
13 Napan kenkuana dagiti padi ken Levita nga adda iti entero nga Israel manipud kadagiti beddengda.
Makuhani na Walawi kutoka sehemu zote za Israeli wakawa upande wake.
14 Ta pinanawan dagiti Levita dagiti pagpastoranda ken sanikuada tapno mapanda idiay Juda ken Jerusalem; ta pinagtalaw ida ni Jeroboam ken dagiti putotna a lallaki, tapno saandan a maaramid dagiti pagrebbenganda a kas padi ni Yahweh.
Pia Walawi wakaacha maeneo yao ya malisho na mali zao, wakaja Yuda na Yerusalemu kwa sababu Yeroboamu na wanawe walikuwa wamewakataa wasiwe makuhani wa Bwana.
15 Nangdutok ni Jeroboam kadagiti bukodna a padi nga agserbi kadagiti disso a pagdaydayawan ken kadagiti didiosen a sinan-urbon a baka ken sinan-kalding nga inaramidna.
Naye akawa amechagua makuhani wake mwenyewe kwa ajili ya mahali pa juu pa kuabudia sanamu za mbuzi na za ndama ambazo alikuwa ametengeneza.
16 Simmurot kadakuada dagiti tattao a nagtaud iti amin a tribu ti Israel, dagiti nangipapuso a mangsapul kenni Yahweh a Dios ti Israel; napanda idiay Jerusalem tapno mangidatagda kenni Yahweh a Dios dagiti kapuonanda.
Wale waliotoka katika kila kabila la Israeli ambao walielekeza mioyo yao kumtafuta Bwana, Mungu wa Israeli, wakawafuata Walawi huko Yerusalemu kumtolea Bwana dhabihu, Mungu wa baba zao.
17 Isu a pinatibkerda ti pagarian ti Juda, ken pinabilegda ni Rehoboam a putot ni Solomon, bayat iti tallo a tawen—ta nagbiagda iti wagas da David ken Solomon iti tallo a tawen.
Wakaimarisha ufalme wa Yuda na kumuunga mkono Rehoboamu mwana wa Solomoni miaka mitatu, wakienenda katika njia za Daudi na Solomoni katika wakati huu.
18 Inasawa ni Rehoboam ni Mahalat nga anak a babai da Abigail ken Jerimot a putot a lalaki ni David, ni Abigail ti putot a babai ni Eliab, a putot a lalaki ni Jesse.
Rehoboamu alimwoa Mahalati ambaye alikuwa binti Yeremothi mwana wa Daudi, mamaye alikuwa Abihaili binti Eliabu mwana wa Yese.
19 Nangipasngay ni Mahalat iti annak a lallaki: Da Jeus, Semarias ken Zaham.
Mahalati alimzalia Rehoboamu wana: Yeushi, Shemaria na Zahamu.
20 Kalpasan ni Mahalat, inasawa ni Rehoboam ni Maaca a putot a babai ni Absalom; impasngayna da Abias, Attai, Ziza ken Selomit.
Kisha akamwoa Maaka binti Absalomu, ambaye alimzalia: Abiya, Atai, Ziza na Shelomithi.
21 Ad-adda nga inayat ni Rehoboam ni Maaca a putot a babai ni Absalom ngem kadagiti dadduma nga assawana ken kadagiti kamalalana (nangasawa isuna iti sangapulo ket walo ken innem a pulo ti kamalalana, ken duapulo ket walo ti putotna a lallaki ken innem a pulo a babbai).
Rehoboamu akampenda Maaka binti Absalomu zaidi kuliko wakeze wengine na masuria wake. Kwa jumla alikuwa na wake kumi na wanane na masuria sitini, wana ishirini na wanane na binti sitini.
22 Dinutokan ni Rehoboam ni Abias nga anak ni Maaca a kas panguloen, a mangidaulo kadagiti kakabsatna; gandatna nga isuna ti isaadna nga ari.
Rehoboamu akamweka Abiya mwana wa Maaka, kuwa mkuu wa wana wa mfalme miongoni mwa ndugu zake ili amfanye mfalme.
23 Nagturay a sisisirib ni Rehoboam; inwarasna dagiti amin a putotna a lallaki iti entero a daga ti Juda ken Benjamin iti tunggal nasarikedkedan a siudad. Inikkanna pay ida iti nabuslon a taraon ken imbirokanna ida iti adu nga assawa.
Akatenda kwa busara, akiwasambaza baadhi ya wanawe katika wilaya zote za Yuda na Benyamini, pamoja na miji yote yenye ngome. Akawapa mahitaji tele na kuwaoza wake wengi.