< I Samuel 26 >

1 Napan dagiti taga-Sif kenni Saul idiay Gabaa ket kinunada, “Saan aya nga aglemlemmeng ni David iti katurturodan ti Hakila nga asideg iti let-ang?”
Hao Wazifu wakamwendea Sauli huko Gibea na kusema, “Je, Daudi hakujificha katika kilima cha Hakila, kinachotazamana na Yeshimoni?”
2 Isu a nagrubwat ni Saul ket simmalog a nagturong iti let-ang ti Sif, a kaduana dagiti tallo ribu a napili a tattao ti Israel a mangbirok kenni David idiay let-ang ti Sif.
Hivyo Sauli akashuka kwenda katika Jangwa la Zifu, akiwa na watu wake 3,000 wa Israeli waliochaguliwa, kumsaka Daudi huko.
3 Nagkampo ni Saul iti turod ti Hakila nga asideg iti let-ang iti igid ti kalsada. Ngem nagtalinaed ni David idiay let-ang, ket nakitana a sinurot si Saul isuna idiay let-ang.
Sauli akapiga kambi yake kando ya barabara juu ya kilima cha Hakila kinachotazamana na Yeshimoni, lakini Daudi alikuwa anaishi huko jangwani. Alipoona kuwa Sauli amemfuata huko,
4 Isu a nangibaon ni David iti mapan agsiim ket naammoanna a pudno a dimteng ni Saul.
Daudi akatuma wapelelezi na akapata habari kwa hakika kwamba Sauli alikuwa amewasili.
5 Nagrubwat ni David ket napan isuna iti lugar a nagkampoan ni Saul; nakitana ti disso a nagiddaan ni Saul, ken ni Abner nga anak ni Ner a pangulo ti armadana; Nakaidda ni Saul iti kampona, ken dagiti tattao a nagkampo iti aglawlawna ket nakaturogda amin.
Ndipo Daudi akaondoka, akaenda hadi mahali Sauli alikuwa amepiga kambi. Akaona mahali Sauli na Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi, walipokuwa wamelala. Sauli alikuwa amelala ndani ya kambi, jeshi likiwa limemzunguka.
6 Ket kinuna ni David kenni Ahimelec a Heteo, ken ni Abisai nga anak ni Zuraias, a kabsat ni Joab, “Siasino ti kumuyog kaniak a sumalog idiay kampo ni Saul?” Kinuna ni Abisai, “Kumuyogak kenka a sumalog.”
Basi Daudi akamuuliza Ahimeleki Mhiti, na Abishai mwana wa Seruya, nduguye Yoabu, akisema, “Ni nani atakayeshuka pamoja nami kambini kwa Sauli?” Abishai akajibu, “Nitakwenda pamoja nawe.”
7 Napan ngarud ni David ken ni Abisai iti ayan ti armada iti dayta a rabii. Ket adda sadiay ni Saul a matmaturog iti uneg ti kampo, ket naitugkel iti daga iti abay ti uloanna ti gayangna. Nakaidda ni Abner ken dagiti soldadona iti aglawlawna.
Hivyo Daudi na Abishai wakaenda kwenye jeshi wakati wa usiku, tazama Sauli, alikuwa amelala ndani ya kambi na mkuki wake umekitwa ardhini karibu na kichwa chake. Abneri na askari walikuwa wamelala kumzunguka Sauli.
8 Ket kinuna ni Abisai kenni David, “Ita nga aldaw ket inyawat ti Dios kadagiti imam ti kabusormo. Ita, palubosannak a manggayang kenkuana iti maminpinsan agingga a sumalpot ti gayang iti daga. Saanen a masapul paminduaek ti mangduyok kenkuana.”
Abishai akamwambia Daudi, “Leo Mungu amemtia adui yako mikononi mwako. Sasa niruhusu nimchome mpaka ardhini kwa pigo moja la mkuki wangu; sitamchoma mara mbili.”
9 Kinuna ni David kenni Abisai, “Saanmo a patayen isuna; ta awan ti siasinoman a mangdangran iti pinulotan ni Yahweh a saan a makabasol.”
Lakini Daudi akamwambia Abishai, “Usimwangamize! Ni nani awezaye kutia mkono juu ya mpakwa mafuta wa Bwana na asiwe na hatia?”
10 Kinuna ni David, “Iti nagan ni Yahweh nga adda iti agnanayon, papatayento isuna ni Yahweh, wenno dumtengto ti aldaw nga ipapatayna, wenno makigubatto isuna ket matay.
Daudi akasema, “Hakika kama vile Bwana aishivyo, Bwana mwenyewe atampiga; au wakati wake utafika, naye atakufa, au atakwenda vitani na kuangamia.
11 Saan koma nga ipalubos ni Yahweh a dangrak ti pinulotanna; ngem ita, kiddawek kenka, alaenta ti gayang nga adda iti uloananna ken ti pagkargaanna iti danum, ket pumanawtan.”
Lakini Mungu na apishie mbali nisije nikainua mkono juu ya mpakwa mafuta wa Bwana. Sasa chukua huo mkuki na hilo gudulia la maji vilivyo karibu na kichwa chake, tuondoke.”
12 Innala ngarud ni David ti gayang ken ti pagkargaan iti danum nga adda iti uloanan ni Saul ket pimmanawdan. Awan ti siasinoman a nakakita kadakuada wenno makaammo iti maipapan iti daytoy, awan ti uray maysa a nakariing, ta nakaturogda amin, gapu ta pinaturog ida ni Yahweh iti nasimbeng.
Hivyo Daudi akachukua huo mkuki na hilo gudulia la maji vilivyokuwa karibu na kichwa cha Sauli, nao wakaondoka. Hakuna yeyote aliyeona au kufahamu habari hii, wala hakuna hata mmoja aliyeamka usingizini. Wote walikuwa wamelala, kwa sababu Bwana alikuwa amewatia kwenye usingizi mzito.
13 Kalpasanna, simmang-at ni David iti bangir a paset ket timmakder iti tuktok ti bantay; adayo unay ti nagbaetanda.
Kisha Daudi akavuka upande mwingine na kusimama juu ya kilima mahali palipokuwa na nafasi pana kati yao.
14 Pinukkawan ni David dagiti tattao ni Abner nga anak ni Ner; kinunana, “Abner, sungbatannak!” Ket simmungbat ni Abner a kunana, “Siasinoka koma ngay a mangpukpukkaw iti ari?”
Daudi akalipigia kelele jeshi na Abneri mwana wa Neri, akisema, “Je, Abneri, hutanijibu?” Abneri akajibu, “Nani wewe umwitaye mfalme?”
15 Kinuna ni David kenni Abner, “Saan kadi a maingelka a lalaki? Siasino pay kadi ti kas kenka iti Israel? Apay ngay ngarud a saanmo a nabantayan ti apom nga ari? Ta adda simrek a mangpatay koma iti ari nga apom.
Daudi akasema, “Wewe si ni mtu shujaa? Ni nani aliye kama wewe katika Israeli? Kwa nini basi hukumlinda mfalme bwana wako? Mtu mmoja alikuja kumwangamiza mfalme, bwana wako.
16 Saan a nasayaat daytoy nga inaramidmo. Iti nagan ni Yahweh nga adda iti agnanayon, maiparbeng laeng a matayka gapu ta saanmo a binantayan ti apom; ti pinulotan ni Yahweh. Ket ita, kitaem no sadino ti ayan ti gayang ti ari, ken ti pagkargaanna iti danum nga adda iti uloananna.”
Ulichokifanya si kizuri. Kwa hakika kama aishivyo Bwana, wewe na watu wako mnastahili kufa, kwa sababu hamkumlinda bwana wenu, mpakwa mafuta wa Bwana. Tazameni hapo mlipo. Uko wapi mkuki wa mfalme na gudulia la maji ambavyo vilikuwa karibu na kichwa chake?”
17 Nabigbig ni Saul ti timek ni David ket kinunana, “Timekmo kadi dayta, anakko a David?” Kinuna ni David, “Timekko daytoy, apok nga ari.”
Sauli akatambua sauti ya Daudi, na kusema, “Je, hiyo ni sauti yako, Daudi mwanangu?” Daudi akajibu, “Naam, hiyo ndiyo, bwana wangu mfalme.”
18 Kinunana, “Apay nga an-anupen ti apok ti adipenna? Ania ti naaramidko? Ania ti dakes nga inaramidko?
Pia akaongeza, “Kwa nini bwana wangu anamfuatia mtumishi wake? Nimefanya nini, nalo kosa langu ni lipi nililolifanya niwe na hatia?
19 Ita ngarud, agpakaasiak kenka, denggen koma ti apok nga ari dagiti sasao ti adipenna. No ni Yahweh ti nangtignay kenka a bumusor kaniak, awatenna koma ti maysa a daton; ngem no dagiti tattao, mailunodda koma iti imatang ni Yahweh, ta pinapanawdak ita tapno saanak a maaddaan iti tawid kenni Yahweh; kinunada kaniak, 'Mapanka agdayaw kadagiti didiosen.'
Sasa mfalme bwana wangu na asikilize maneno ya mtumishi wake. Kama Bwana amekuchochea dhidi yangu, basi yeye na aipokee sadaka yangu. Lakini hata hivyo, kama ni wanadamu waliofanya hivyo, walaaniwe mbele za Bwana! Wao sasa wamenifukuza kutoka sehemu yangu katika urithi wa Bwana wangu wakisema, ‘Nenda ukatumikie miungu mingine.’
20 Ita ngarud, saanmo nga ipalubos nga agtedted ti darak iti daga nga adayo iti imatang ni Yahweh; ta immay ti ari ti Israel a mangsapul iti maysa a timel, kas iti pananganup ti maysa a tao iti atap a billit iti kabanbantayan.”
Basi usiache damu yangu imwagike kwenye ardhi mbali na uso wa Bwana. Mfalme wa Israeli ametoka kutafuta kiroboto, kama vile mtu awindavyo kware katika milima.”
21 Ket kinuna ni Saul, “Nagbasolak. Agsublika David, anakko; ta saankan a pulos a dangran, gapu ta napateg ti biagko iti imatangmo ita nga aldaw. Naamirisko a nakaaramidak iti minamaag ken nagbiddutak.”
Ndipo Sauli akasema, “Nimetenda dhambi. Rudi, Daudi mwanangu. Kwa kuwa uliyahesabu maisha yangu kuwa ya thamani leo, sitajaribu kukudhuru tena. Hakika nimetenda kama mpumbavu na nimekosa sana.”
22 Simmungbat ni David ket kinunana, “Kitaem, adtoy ti gayangmo, apo ari! Ibaonmo ti maysa kadagiti agtutubo a lalaki nga umay mangala iti daytoy ket isublina kenka.
Daudi akajibu, “Mkuki wa mfalme uko hapa. Mmoja wa vijana wako na avuke kuuchukua.
23 Subadan koma ni Yahweh ti tunggal tao iti kinalintegna ken kinapudnona; gapu ta inyawatnaka ni Yahweh kadagiti imak ita nga aldaw, ngem saanko a dangran ti pinulotanna.
Bwana humlipa kila mtu kwa ajili ya haki yake na uaminifu wake. Bwana alikutia katika mikono yangu leo, lakini sikuinua mkono wangu juu ya mpakwa mafuta wa Bwana.
24 Ket kas panangilalak iti biagmo ita nga aldaw, ad-adda koma a napatpateg ti biagko iti imatang ni Yahweh, ket ispalennak koma iti amin a riribuk,”
Kwa hakika kama vile maisha yako yalivyokuwa ya thamani kwangu leo, vivyo hivyo maisha yangu na yawe na thamani kwa Bwana na kuniokoa kutoka taabu zote.”
25 Ket kinuna ni Saul kenni David, “Mabendisionanka koma, anakko a David, tapno mabalinmo nga aramiden dagiti naindaklan a banbanag, ket awan duadua nga agballigika.” Pimmanaw ngarud ni David, ket nagsubli ni Saul iti lugarna.
Ndipo Sauli akamwambia Daudi, “Mwanangu Daudi na ubarikiwe; utafanya mambo makubwa na hakika utashinda.” Basi Daudi akaenda zake, naye Sauli akarudi nyumbani.

< I Samuel 26 >