< I Samuel 2 >
1 Nagkararag ni Ana a kunana, “Agragragsak ti pusok gapu kenni Yahweh. Napabilegak gapu kenni Yahweh. Agpasindayag ti ngiwatko kadagiti kabusorko, gapu ta agrag-oak iti panangisalakanmo.
Kisha Hana akaomba na kusema: “Moyo wangu wamshangilia Bwana, katika Bwana pembe yangu imeinuliwa juu. Kinywa changu chajisifu juu ya adui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
2 Awan ti uray maysa a nasantoan a kas kenni Yahweh, ta awan iti sabali pay malaksid kenka; awan dakkel a bato a kas iti Diostayo.
“Hakuna yeyote aliye mtakatifu kama Bwana, hakuna mwingine zaidi yako; hakuna Mwamba kama Mungu wetu.
3 Saankayon nga agpasindayag unay; awan koman ti kinapalangguad a rumuar iti ngiwatyo. Ta ni Yahweh ket Dios ti pannakaammo; babaen kenkuana matimbang dagiti tignay.
“Msiendelee kusema kwa kiburi hivyo wala msiache vinywa vyenu kunena kwa kiburi, kwa kuwa Bwana ndiye Mungu ajuaye, na kwa yeye matendo hupimwa.
4 Matukkol dagiti bai dagiti nabileg a lallaki, ngem dagiti maitibkul, pumigsada a kasla barikes.
“Pinde za mashujaa zimevunjika, lakini wale wanaojikwaa wamevikwa nguvu.
5 Dagiti aglaplapusanan idi iti taraon, manggeddan tapno adda kanenda; saanen a mabisinan dagiti mabisbisinan. Uray ti maysa a lupes ket aganak iti pito, ngem ti babai nga addaan iti adu nga annak ket agkapsut.
Wale waliokuwa na chakula tele wamejikodisha wenyewe ili kupata chakula, lakini wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Mwanamke yule aliyekuwa tasa amezaa watoto saba, lakini yule ambaye alikuwa na wana wengi amedhoofika.
6 Mangpapatay ni Yahweh ken mangmangted iti biag. Isuna ti mangipababa idiay sheol ken isuna ti mangpagpagungar. (Sheol )
“Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol )
7 Ni Yahweh ti mangpapapanglaw ken mangpabaknang. Mangipababa isuna, ngem mangitan-ok met isuna.
Bwana humfanya mtu maskini naye hutajirisha, hushusha na hukweza.
8 Bangbangonenna dagiti napanglaw manipud iti tapok. A-aonenna dagiti agkasapulan manipud iti gabsuon ti dapo tapno makipagtugawda kadagiti prinsipe ken tawidenda ti tugaw ti kinatan-ok. Ta dagiti adigi ti daga ket ni Yahweh ti nangisaad ket insaadna ti lubong kadagitoy.
Humwinua maskini kutoka mavumbini na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu; huwaketisha pamoja na wakuu na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha heshima. “Kwa kuwa misingi ya dunia ni ya Bwana; juu yake ameuweka ulimwengu.
9 Bantayannanto dagiti saka dagiti napudno a tattaona, ngem mapaulimekto iti kasipngetan dagiti nadangkes, ta awanto ti agballigi babaen iti bukodna a pigsa.
Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake, lakini waovu watanyamazishwa kwenye giza. “Si kwa nguvu mtu hushinda;
10 Dagiti mangsupsuppiat kenni Yahweh ket marumekto; gurruodannanto ida manipud langit. Ukomento ni Yahweh dagiti pagpatinggaan ti daga, ikkannanto iti pigsa ti arina ken itag-aynanto ti tangguyob ti pinulotanna.”
wale wampingao Bwana wataharibiwa kabisa. Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni; Bwana ataihukumu miisho ya dunia. “Atampa nguvu mfalme wake, na kuitukuza pembe ya mpakwa mafuta wake.”
11 Kalpasanna, nagawid ni Elkana iti balayna idiay Rama. Nagserbi ti ubing kenni Yahweh iti imatang ni Eli a padi.
Kisha Elikana akaenda nyumbani Rama, lakini mtoto akahudumu mbele za Bwana chini ya kuhani Eli.
12 Ita, dagiti putot ni Eli ket awan serserbida a lallaki. Saanda nga am-ammo ni Yahweh.
Wana wa Eli walikuwa watu wabaya kabisa, hawakumheshimu Bwana.
13 Ti kaugalian dagiti papadi kadagiti tattao no kasta nga agidatag iti daton ti siasinoman a tao, umay ti adipen ti padi a siiiggem iti tallo ti pangtudokna a tinidor, bayat a mailamlambong ti karne.
Basi ilikuwa desturi ya makuhani pamoja na watu kwamba kila mara yeyote anapotoa dhabihu na huku nyama ikiwa inachemshwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na uma wenye meno matatu mkononi mwake.
14 Itudokna daytoy kadagiti linaon ti silyasi, wenno dakkel a kaldero, wenno banga. Amin a matudok ti tinidor ket alaen ti padi para iti bagbagina. Inaramidda daytoy iti Silo, kadagiti amin nga Israelita nga umay sadiay.
Angeutumbukiza huo uma kwenye sufuria au birika au sufuria kubwa au chungu, naye kuhani angalijichukulia mwenyewe chochote ambacho uma ungekileta. Hivi ndivyo walivyowatendea Waisraeli wote waliokuja Shilo.
15 Ngem ketdi, sakbay a puoranda dagiti taba, umay ti adipen ti padi, ket ibagana iti tao nga agidatdaton, “Mangtedka iti maituno a karne para iti padi; ta saan isuna nga umawat iti nalambong a karne manipud kenka, no di laeng dagiti saan a naluto a karne.”
Lakini hata kabla mafuta ya mnyama hayajachomwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na kusema kwa mtu ambaye alikuwa akitoa dhabihu, “Mpe kuhani nyama akaoke, kwani hatapokea nyama iliyochemshwa kutoka kwako, ila iliyo mbichi tu.”
16 No kunaen ti lalaki kenkuana, “Masapul a puoranda nga umuna ti taba, ket kalpasanna alaenyo ti kayatyo nga alaen.” Ibaga ngarud ti adipen ti padi, “Saan, itedmo kaniak itan; ta no saan, pilitek nga alaen.”
Kama mtu akimwambia, “Mafuta ya mnyama na yachomwe kwanza, ndipo uchukue chochote unachotaka,” mtumishi angalijibu, “Hapana, nipe sasa, kama huwezi nitaichukua kwa nguvu.”
17 Nadagsen unay ti basol dagitoy nga agtutubo iti sangoanan ni Yahweh, ta saanda a rinaem ti daton para kenni Yahweh.
Hii Dhambi ya hawa vijana ilikuwa kubwa sana machoni pa Bwana, kwa kuwa waliitendea dhabihu ya Bwana kwa dharau.
18 Ngem nagserbi ni Samuel kenni Yahweh kas maysa nga ubing a nakawesan iti lino nga efod.
Lakini Samweli alikuwa akihudumu mbele za Bwana, kijana akivaa kisibau cha kitani.
19 Iyar-aramidan isuna ti inana iti bassit a kagay ket tinawen nga ip-ipanna daytoy kenkuana, no sumang-at isuna a kaduana ti asawana a mangisagot iti tinawen a daton.
Kila mwaka mama yake alimshonea joho dogo na kumchukulia wakati alipokwea pamoja na mumewe kutoa dhabihu ya mwaka.
20 Benbendisionan ni Eli da Elkana ken ti asawana a kunana, “Ikkannaka koma ni Yahweh iti ad-adu pay nga annak babaen iti daytoy a babai gapu iti kiniddawna kenni Yahweh.” Kalpasanna, agsublida iti bukodda a pagtaengan.
Eli alikuwa akiwabariki Elikana na mkewe, akisema, “Bwana na akupe watoto kwa mwanamke huyu ili kuchukua nafasi ya yule aliyekuwa amemwomba na akamtoa kwa Bwana.” Kisha wakawa wanakwenda nyumbani.
21 Tinulongan manen ni Yahweh ni Ana, ket nagsikog manen isuna. Naganak pay isuna iti tallo a lallaki ken dua a babbai. Kabayatanna, dimmakkel ti ubing a ni Samuel iti sangoanan ni Yahweh.
Bwana akawa mwenye neema kwa Hana, naye akapata mimba akazaa wana watatu na binti wawili. Wakati huo, kijana Samweli akaendelea kukua mbele za Bwana.
22 Ita, lakay unayen ni Eli; nangngegna amin nga ar-aramiden dagiti annakna a lallaki iti entero nga Israel, ken ti panakikakaiddada kadagiti babbai nga agserserbi iti pagserkan ti tabernakulo.
Basi Eli, ambaye alikuwa mzee sana, alisikia kuhusu kila kitu ambacho wanawe walikuwa wakiwafanyia Israeli wote na jinsi walivyokutana kimwili na wanawake waliohudumu kwenye ingilio la Hema la Kukutania.
23 Kinunana kadakuada, “Apay nga ar-aramidenyo dagiti kakasta a banbanag? Ta nangngegko manipud kadagitoy a tattao dagiti dakes nga aramidyo.”
Hivyo akawaambia, “Kwa nini mmefanya mambo kama haya? Nimesikia kutoka kwa watu wote juu ya haya matendo yenu maovu.
24 Saan, annakko; ta daytoy ket saan a nasayaat a damag a mangngegko. Pinagsukiryo dagiti tattao ni Yahweh.
Sivyo, wanangu, hii si habari nzuri ambayo ninasikia ikienea miongoni mwa watu wa Bwana.
25 “No makabasol iti sabali ti maysa a tao, ukomento isuna ti Dios; ngem no makabasol ti tao kenni Yahweh, siasino ti agsao para kenkuana?” Ngem saanda a dimngeg iti timek ti amada, gapu ta inkeddengen ni Yahweh a papatayen ida.
Kama mtu akifanya dhambi dhidi ya mtu mwenzake, mtu mwingine aweza kumwombea kwa Mungu, lakini kama mtu akimfanyia Mungu dhambi, ni nani atakayemwombea?” Hata hivyo wanawe hawakusikia maonyo ya baba yao, kwa sababu Bwana alitaka kuwaua.
26 Dimmakkel ti ubing a ni Samuel, ken ad-adda a makaay-ayo kenni Yahweh ken kasta met kadagiti tattao.
Naye kijana Samweli akaendelea kukua katika kimo, akimpendeza Bwana na wanadamu.
27 Ita, immay kenni Eli ti maysa a tao ti Dios ket kinunana kenkuana, “Kuna ni Yahweh, 'Saan kadi nga imparangko ti bagik iti balay ti kapuonam, idi addada iti Egipto a maad-adipen iti balay ni Faraon?
Basi mtu wa Mungu akaja kwa Eli na kumwambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Je, sikujifunua waziwazi kwa nyumba ya baba yako wakati walikuwa huko Misri chini ya Farao?
28 Pinilik isuna manipud kadagiti amin a tribu ti Israel nga agbalin a padik, a sumang-at iti altarko, ken mangpuor iti insenso, a mangikawes iti efod iti sangoanak. Intedko iti balay ti kapuonam dagiti amin a maipuor a sagsagut dagiti tattao ti Israel.
Nilimchagua baba yako kati ya makabila yote ya Israeli kuwa kuhani wangu, kukwea kwenye madhabahu yangu, kufukiza uvumba na kuvaa kisibau mbele yangu. Pia niliwapa nyumba ya baba yako sadaka zote zilizotolewa kwa moto na Waisraeli.
29 Apay ngarud a saanyo a rinaem dagiti daton ken sagsagut nga imbilinko a kasapulan iti lugar a pagnanaedak? Apay nga ad-adda a raraemem dagiti annakmo ngem siak, babaen iti panagpalukmegyo iti bagbagiyo babaen kadagiti kasasayaatan iti tunggal daton dagiti tattaok nga Israel?'
Kwa nini unadharau dhabihu zangu na sadaka zile nilizoziamuru kwa ajili ya makao yangu? Kwa nini unawaheshimu wanao kuliko mimi kwa kujinenepesha wenyewe kwa kula sehemu zilizo bora za kila sadaka zinazotolewa na watu wangu wa Israeli?’
30 Ta kuna ni Yahweh a Dios ti Israel, 'Inkarik a ti balaymo, ken ti balay ti kapuonam, nasken nga agserbida kaniak iti agnanayon.' Ngem ita, kuna ni Yahweh, ‘Saankon nga aramiden daytoy, ta raemek dagiti agraem kaniak, ngem dagiti saan a mangraem kaniak ket mabainanto.
“Kwa hiyo, Bwana, Mungu wa Israeli asema: ‘Niliahidi kuwa nyumba yako na nyumba ya baba yako wangehudumu mbele zangu milele.’ Lakini sasa Bwana anasema: ‘Jambo hili na liwe mbali nami! Wale wanaoniheshimu nitawaheshimu, wale wanaonidharau mimi watadharauliwa.
31 Dumngegka, umayen dagiti aldaw a pukawek ti pigsam ken ti pigsa ti balay ni amam, tapno awanton ti lakay iti balaymo.
Wakati unakuja nitakapozipunguza nguvu zenu na nguvu ya nyumba ya baba yenu, ili pasiwepo mtu katika mbari yenu atakayeishi kuuona uzee
32 Makitamto ti pannakariribuk iti lugar a pagnanaedak. Uray maitedto ti kinaimbag iti Israel, awanton a pulos ti siasinoman a lakay iti balaymo.
nanyi mtaona huzuni katika makao yangu. Ingawa Israeli watafanyiwa mema, katika mbari yenu kamwe hapatakuwepo mtu atakayeishi hadi kuwa mzee.
33 Siasinoman kadakayo a saanko a papanawen iti altarko, pagbulsekekto dagiti matayo, ken paladingitekto ti biagmo. Amin dagiti lallaki a maiyanak iti pamiliam ket matayto.
Kila mmoja wenu ambaye sitamkatilia mbali kutoka madhabahuni pangu atabakizwa tu kupofusha macho yenu kwa machozi na kuihuzunisha mioyo yenu, nao wazao wenu wote watakufa watakapokuwa wamefikia umri wa kustawi.
34 Daytoyto ti pagilasinam nga umayto kadagiti dua a putotmo, ni Ofni ken ni Finees: Mataydanto a dua iti maymaysa nga aldaw.
“‘Kile kitakachotokea kwa wanao wawili, Hofni na Finehasi, kitakuwa ishara kwako. Wote wawili watakufa katika siku moja.
35 Mangisaadakto iti napudno a padi para kaniak, a mangaramidto no ania ti adda iti pusok ken kararuak. Mangipasdekakto iti natalged a balay para kenkuana; ket agnanayon nga agserbinto isuna iti pinilik nga ari.
Mimi mwenyewe nitajiinulia kuhani mwaminifu, ambaye atafanya sawasawa na kile kilichoko moyoni mwangu na akilini mwangu. Nitaifanya nyumba yake kuwa imara, naye atahudumu mbele ya mpakwa mafuta wangu daima.
36 Tunggal maysa a mabati iti balaymo ket mapanto agruknoy iti dayta a tao, a dumawat iti pidaso ti pirak ken tinapay, ket kunananto, “Pangngaasim ta isaadnak iti maysa kadagiti saad ti padi tapno makapanganak iti maysa a pidaso a tinapay."”'
Kisha kila mmoja aliyeachwa katika mbari yenu atakuja na kusujudu mbele yake kwa ajili ya kipande cha fedha na ganda la mkate akisema, “Niteue katika baadhi ya ofisi ya ukuhani ili niweze kupata chakula.”’”