< I Samuel 1 >

1 Adda maysa a lalaki iti Rama Zofim, iti katurturodan a pagilian ti Efraim; ti naganna ket Elkana a putot ni Jehoram, ni Jehoram ket putot ni Eliu, ni Eliu ket putot ni Tuho, ni Tuho ket putot ni Zup, ni Elkana ket maysa nga Efraimita.
Palikuwa na mtu mmoja wa Rama Msufi, wa nchi ya milima milima ya Efraimu; jina lake aliitwa Elikana mwana Yerohamu mwana Elihu mwana wa Tohu mwana wa Sufu, Mwefraimu.
2 Addaan isuna iti dua nga asawa, Ana ti nagan ti umuna, ken Fenina ti nagan ti maikadua. Adda annak ni Fenina, ngem awan ti anak ni Ana.
Mtu huyo alioa wanawake wawili, jina la mke wa kwanza aliitwa Hana, na yule wa pili aliitwa Penina, Penina alizaa watoto, lakini Hana hakuzaa.
3 Tinawen a mapan daytoy a lalaki idiay Silo a siudadna tapno agdayaw ken agidaton kenni Yahweh a mannakabalin amin. Adda sadiay dagiti dua a lallaki a putot ni Eli, da Ofni ken Finees, a papadi ni Yahweh.
Kila mwaka, mtu huyu aliondoka mjini kwake kwenda kuabudu na kutoa dhabihu kwa BWANA wa majeshi huko Shilo. Wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, makuhani wa BWANA, walikuwepo huko Shilo.
4 No kasta a dumteng ti aldaw iti tunggal tawen a panagidaton ni Elkana, kankanayon nga it-itedna kenni Fenina nga asawana ken kadagiti amin nga annakna a lallaki ken babbai dagiti paset ti karne.
Kila mwaka zamu ya Elikana ya kutoa dhabihu ilipofika, alikuwa daima akimpa sehemu ya nyama Penina mkewe, watoto wake wote wa kiume na wakike
5 Ngem kenni Ana, kankanayon a mamidua ti kaadu ti it-itedna, ta ay-ayatenna ni Ana, uray no sinerraan ni Yahweh ti aanakanna.
Lakini kwa mgawo wa Hana daima alimpa mara mbili zaidi, kwa sababu alimpenda Hana, ingawa BWANA alikuwa amelifunga tumbo lake.
6 Nakaro ti panangumsi kenkuana ti kasalisalna tapno pagpulkokenna isuna, gapu ta inserra ni Yahweh ti aanakanna.
Hasimu wake alimchokoza sana ili kumkasilisha, kwa sababu BWANA alikuwa amelifunga tumbo lake. 8
7 Isu nga iti tinawen, no kasta a mapan isuna iti balay ni Yahweh a kaduana ti pamiliana, kankanayon a karkariten isuna ni Fenina. Masansan ngarud nga agsangit isuna ken saan a mangmangan.
Hivyo kila mwaka, alipokuwa akienda katika nyumba ya BWANA pamoja na familia yake, hasimu wake alizidi kumchokoza, Hatimaye alikuwa mtu wa kulia kila wakati na hakula kitu chochote.
8 Kankanayon nga ibagbaga kenkuana ni Elkana nga asawana, “Ana, apay nga agsangitka? Apay a saanka a mangan? Apay nga agliddaang ti pusom? Saan kadi a nasaysayaatak kenka ngem kadagiti sangapulo nga annak?
Elikana mmewe kila wakati alimuuliza, “Hana, kwa nini unalia? Kwa nini huli chakula? Kwa nini una huzuni moyoni mwako? Mimi sibora kwako kuliko wana kumi?
9 Iti maysa kadagitoy a padaya, timmakder ni Ana kalpasan ti pannangan ken panag-iinomda idiay Silo. Ita, nakatugaw ni Eli a padi iti tugawna iti igid ti pagserkan ti balay ni Yahweh.
Wakati fulani, walipokuwa wamemaliza kula na kunywa huko Shilo, Hana alinyanyuka. Wakati huo Eli, kuhani alikuwa amekaa juu ya kiti chake mlangoni kuelekea nyumba ya BWANA.
10 Mariribukan unay ni Ana; nagkararag isuna kenni Yahweh ken nagsangit iti nasaem.
Hana alijawa na uchungu sana; akamwomba BWANA na akalia mno.
11 Nagsapata isuna ket kinunana, “Yahweh a mannakabalin amin, no makitam la koma ti panagrigat ti adipenmo ken lagipennak, ken saanmo a lipaten ti adipenmo, ngem ipaayam ketdi koma ti adipenmo iti anak a lalaki, ngarud, itedkonto isuna kenni Yahweh iti unos ti panagbiagna, ket awanto ti kartib a mangsagid iti ulona.
Aliweka nadhili na kusema, “BWANA wa majeshi, kama utalitazama teso la mjakazi wako na kunikumbuka, na usipomsahau mjakazi wako, na kumpatia mjakazi wako mtoto wa kiume, ndipo nitamtoa huyo mtoto kwa BWANA siku zote za maisha yake, na wembe hautapita juu ya kichwa chake kamwe”.
12 Bayat nga agkarkararag isuna iti sangoanan ni Yahweh, sipsiputan ni Eli ti ngiwatna.
Hana kiendelea kuomba mbele za BWANA, Eli alikitazama kinywa chake.
13 Naimpusoan ti panagkararag ni Ana. Agkutkuti dagiti bibigna, ngem saan a mangngeg ti timekna. Impagarup ngarud ni Eli a nabartek isuna.
Hana aliongea moyoni mwake. Midomo yake ilitikisika, lakini sauti yake haikusikika. Hivyo Eli alimdhania kuwa amelewa.
14 Kinuna ni Eli kenkuana, “Kasano pay kapaut ti panagbarbartekmo? Isardengmon ti panagin-inommo.”
Eli akamwambia, “Utakuwa mlevi mpaka lini? Weka mbali divai yako.”
15 Simmungbat ni Ana, “Saan, apok, maysaak a babai a naladingit unay ti espirituna. Saanak nga imminom iti arak wenno naingel a mainom, ngem ibagbagak iti sangoanan ni Yahweh dagiti nakaro a panagladingitko.”
Hana akajibu, “Sivyo bwana wangu, mimi ni mwanamke mwenye roho ya huzuni. Sijanywa divai wala kinywaji chochote cha kulevya, bali nimekuwa nikiimimina nafsi yangu mbele za BWANA.”
16 “Saanmo nga ibilang nga awan babainna a babai ti adipenmo; iyeb-ebkasko iti napalalo a pannakaibabain ken pannakarkaritko.”
Usimchukulie mjakazi wako kama mwanamke duni; nimekuwa nikiongea kutokana na maumivu na masikitiko yangu.” 18
17 Ket simmungbat ni Eli, kinunana, “Mapanka a sitatalna; patgan koma ti Dios ti Israel ti kiniddawmo kenkuana.”
Kisha Eli alimjibu na kusema, “Nenda kwa amani; na Mungu wa Israeli akupatie kile ulichomuomba.”
18 Kinuna ni Ana, “Nasayaat koma ti panangipapanmo iti adipenmo.” Ket pimmanaw ti babai ket nangan; saanen a naliday ti rupana.
Hana akasema, “Na mjakazi wako apate kibali machoni pako.” Ndipo huyo mwanamke alienda zake na kula chakula na hakuhuzunika tena.
19 Nasapada a bimmangon iti bigat ket nagdayawda kenni Yahweh, ket kalpasanna, nagsublida manen iti balayda idiay Rama. Kinaidda ni Elkana ni Ana nga asawana, ket nalagip isuna ni Yahweh.
Waliamka asubuhi na mapema wakaenda wakamtukuza BWANA, na baadaye walirudi nyumbani kwao Rama. Elikana alilala na mke wake Hana, na BWANA akamkumbuka.
20 Idi dimteng ti tiempo, nagsikog ni Ana ket nagpasngay iti maysa a lalaki. Pinanagananna iti Samuel, kunana “Gapu ta dinawatko isuna kenni Yahweh.”
Baada ya muda fulani, Hana alibeba mimba na akazaa mtoto wa kiume. Akamwita jina lake Samweli, akasema, “Kwa sababu huyu nilimuomba kutoka kwa BWANA.”
21 Iti naminsan pay, simmang-at ni Elkana ken ti amin a pamiliana, tapno mangidatag iti tinawen a daton ken tapno tungpalenna ti sapatana.
Mara nyingine, Elikana na nyumba yake, walipanda kwenda kumtolea BWANA dhabihu ya Mwaka na kuondoa nadhiri yake.
22 Ngem saan a napan ni Ana; kinunana iti asawana, “Saanak a mapan agingga a mapusot ti ubing, ket iyegkonto isuna, tapno agparang isuna iti sangoanan ni Yahweh ken agnaed sadiay iti agnanayon.”
Lakini Hana hakwenda huko; alikuwa amekwisha mwambia mmewe, “Sitaenda huko hadi mtoto aache kunyonya; ndipo nitamleta, ili ahudhurie mbele za BWANA na akae huko daima.”
23 Kinuna ni Elkana nga asawana kenkuana, “Aramidem ti ammon a nasayaat kenka. Urayem agingga a mapusotmo isuna; patalgedan koma ngarud ni Yahweh ti saona.” Nagbati ngarud ti babai ken inaywananna ti anakna agingga a naipusotna isuna.
Mme wake Hana, Elikana, akamwambia, “Fanya yale yakupendezayo. Ngojea hadi utakapokuwa umemwachisha kunyonya; BWANA aweze peke yake kuthibitisha neno lake.” Hivyo yule mwanamke alibaki akimnyonyesha mtoto wake mpaka pale alipomwachisha ziwa.
24 Idi naipusot ni Ana ti anakna, inkuyogna isuna, nangitugot pay iti maysa a kalakian a baka a tallo ti tawenna, maysa nga efa a taraon, ken maysa a pagkargaan a lalat a naglaon iti arak, ket impanna isuna iti balay ni Yahweh idiay Silo. Ita, ubing pay ti anakna.
Alipokuwa amemwachisha kunyonya, alimbeba, akimchukua pamoja ng'ombe dume wa miaka mitatu, unga kama kilo thelathini na chupa ya mvinyo, akampeleka katika nyumba ya BWANA huko Shilo. Na mtoto huyo alikuwa bado mdogo.
25 Pinartida ti kalakian a baka, ket impanda ti ubing kenni Eli.
Walimchinja yule ng'ombe, na wakamkabidhi mtoto kwa Eli.
26 Kinuna ni Ana, “O, apok! Agingga a sibibiagka, apok, siak ti babai a nagtakder idi iti abaymo nga agkarkararag kenni Yahweh.
Akasema, “Ee bwana wangu! Kama uishivyo, bwana wangu, Mimi ndiye yule mwanamke niliyesimama hapa karibu nawe nikimwomba BWANA.
27 Ta daytoy nga ubing ket inkararagko ket inted ni Yahweh ti dinawatko kenkuana.
Niliomba kwa ajili ya mtoto huyu na BWANA akawa amenijibu ombi la dua yangu nililomwomba.
28 Intedkon isuna kenni Yahweh; agingga a sibibiag isuna ket agpaayto kenni Yahweh.” Ket sadiay, nagdayaw kenni Yahweh ni Elkana ken ti pamiliana.
Nami nimemtoa kwa BWANA; kwa maisha yake yote, nimempa BWANA.” Ndipo Elikana na familia yake wakamtukuza BWANA huko Shilo.

< I Samuel 1 >