< 1 Ar-ari 22 >

1 Tallo a tawen ti naglabas nga awan ti gubat iti nagbaetan ti Aram ken Israel.
Miaka mitatu ilipita bila kuwepo na vita kati ya Washami na Wisraeli.
2 Ket napasamak nga iti maikatlo a tawen, napan ni Jehosafat nga ari ti Juda iti ari ti Israel.
Ikawa katika mwaka wa tatu, Yehoshafati mfalme wa Israeli akashuka kwa mfalme wa Isreli.
3 Ita, kinuna ti ari ti Israel kadagiti adipenna, “Ammoyo kadi a ti Ramot Galaad ket kukuatayo, ngem awan ti ar-aramidentayo tapno maalatayo daytoy manipud iti ima ti ari ti Aram?”
Mfalme wa Israeli alikuwa amewaambia watumishi wake, “Je, mnajua kuwa Ramothi Gileadi ni yetu, ila hatufanyi chochote kuitwaa kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Shamu?”
4 Isu a kinunana kenni Jehosafat, “Kaduaannak kadi a maki-gubat idiay Ramot Galaad?” Simmungbat ni Jehosafat iti ari ti Israel, “Agserbiak kenka, agbalin dagiti tattaok a tattaom, ken dagiti kabaliok a kabaliom.”
Kwa hiyo akamwambia Yehoshafati, “Je, utakwenda na mimi katika vita huko Ramothi Gileadi?” Yehoshafati akamjibu mfalme wa Israeli, “Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, na farasi wangu ni kama farasi wako.”
5 Kinuna ni Jehosafat iti ari ti Israel, “Pangaasim ta kiddawem ti panangidalan manipud iti sao ni Yahweh no ania ti rumbeng nga aramidem nga umuna.”
Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli, “Tafadhali tafuta mwongozo kutoka neno la BWANA juu ya kile unachopaswa kufanya kwanza.”
6 Ket inummong ti ari ti Israel dagiti amin a profeta, nga uppat a gasut a lallaki, ket kinunana kadakuada, “Mapanak kadi makigubat idiay Ramot Galaad, wenno saan?” Kinunada, “Rautem, ta iyawatto ti Apo daytoy iti ari.”
Ndipo mfalme wa Israeli akawakusanya manabii pamoja, walikuwa wanaume elfu nne, akawaambia, “Je, niende Ramothi Gileadi kupigana, au nisiende?” Nao wakamwambia, “Ivamie, kwa kuwa Bwana ataitoa katika mkono wa mfalme.”
7 Ngem kinuna ni Jehosafat, “Awan kadin ditoy ti sabali pay a profeta ni Yahweh a mabalintayo a pagkiddawan iti balakad?”
Lakini Yehoshafati akasema, “Je, hapa hayupo nabii mwingine wa BWANA ambaye tunaweza kupata ushauri?”
8 Kinuna ti ari ti Israel kenni Jehosafat, “Adda pay maysa a tao a mabalintayo a pagkiddawan iti balakad manipud kenni Yahweh a tumulong, ni Micaias nga anak ni Imla, ngem kagurak isuna ta saan a mangipadpadto iti aniaman a nasayaat a banag maipanggep kaniak, pasig a kinarigat laeng.” Ngem kinuna ni Jehosafat, “Saan koma nga ibaga ti ari dayta.”
Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Bado kuna mtu mmoja ambaye tunaweza kupata ushauri toka kwa BWANA ili kusaidia, Makaya mwana wa Imla, lakini namchukia kwa sababu huwa hanitabirii mazuri yanayonihusu, ila hunitabiria matatizo tu.” Lakini Yehoshafat akasema, “mfalme na asiseme hivyo,”
9 Ket nangayab ti ari ti Israel iti opisial ket binilinna, “Iyegyo a dagus ni Micaias nga anak ni Imla.”
Kisha mfalme wa Israeli akmwita akida na akamwamuru, “Kamlete Makaya mwana wa Imla, sasa hivi.”
10 Ita, nakatugaw ni Ahab nga ari ti Israel ken ni Jehosafat nga ari ti Juda kadagiti tronoda, nakakawesda kadagiti kawes ti ari, iti nawaya a lugar iti pagserekan iti ruangan ti Samaria, ket nangipadto amin dagiti profeta, iti sangoananda.
Wakati huo Ahabu mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wameketi kila mmoja kwenye kiti cha enzi, wamevaa mavazi yao, katika eneo la wazi kwenye lango la kuingilia Samaria, na manabii walikuwa wakiwatabiria.
11 Nangaramid ni Zedekia nga anak ni Kenaana kadagiti landok a sinan sara ket kinunana, “Kastoy ti imbaga ni Yahweh: 'Babaen kadagitoy ket sangdoenyonto dagiti taga-Aram agingga a maibusda.”
Sedekia mwana wa Kenaana akajitengenezea pembe za chuma akasema, “BWANA asema hivi: 'Kwa hili utawasukuma Washami mpaka watakapoisha.'”
12 Kasta met laeng ti impadto dagiti amin a profeta, a kunada, “Darupenyo ti Ramot Galaad ket agballigikayo, ta iyawat ni Yahweh daytoy iti ari.”
Na manabii wengine wote wakasema hivyo, wakisema, “Ishambulie Ramothi Gileadi na ushinde, kwa kuwa BWANA ameiweka kwenye mkono wa mfalme.”
13 Nagsao kenkuana ti mensahero a napan nangayab kenni Micaias, a kunana, “Ita dumngegka, pasig a nasayaat a banbanag dagiti sasao nga imbaga dagiti profeta ti ari. Pangngaasim ta kasta met koma ti sawem ket nasayaat a banbanag ti ibagam.”
Yule mjumbe aliyeenda kumwita Makaya akamwambia, akisema, “Tazama sasa, maneno ya manabii kwa kinywa kimoja wanatabiri mambo mema kwa mfalme. Tafadhali maneno yako yawe kama yao ukaseme mambo mazuri.”
14 Simmungbat ni Micaias, “Iti nagan ni Yahweh nga adda iti agnanayon, ti ibaga ni Yahweh kaniak ti sawek.”
Makaya akajibu, “Kama BWANA aishivyo, kile BWANA atakachosema kwangu ndicho nitakachosema.'”
15 Idi napan isuna iti ayan ti ari, kinuna ti ari kenkuana, “Micaias, mapankami kadi makigubat idiay Ramot Galaad, wenno saan?” Simmungbat ni Micaias, “Rautem ket parmekem. Iyawatto ni Yaweh daytoy iti ima ti ari.”
Naye alipokuja kwa mfalme, mfalme akamwambia, “Makaya, je twende Ramothi Gileadi kupigana, au tusiende?” Makaya akamjibu, “Ivamie na ushinde. BWANA ataitoa kwenye mkono wa mfalme.”
16 Ket kinuna ti ari kenkuana, “Namin-ano a daras nga imbagak kenka nga ikarim nga ibagam laeng kaniak ti kinapudno iti nagan ni Yahweh?”
Kisha mfalme akamwambia. “Je, nikutake mara ngapi ili kuniapia ukweli kwa jna la BWANA?”
17 Isu a kinuna ni Micaias, “Nakitak ti entero nga Israel a nawarawara kadagiti banbantay, kasla da la karnero nga awan iti mangipaspastor, ket kinuna ni Yahweh, 'Awan ti mangipaspastor kadagitoy. Agsubli koma ti tunggal tao iti balayna a sitatalged.”’
Makaya akasema, “Ninaiona Israeli yote imesambaa kwenye milima, kama kondoo wasiokuwa na mchungaji, na BWANA amesema, 'Hawa hawana mchungaji. Kila mtu na arudi nyumbani kwake kwa amani.'”
18 Isu a kinuna ti ari ti Israel kenni Jehosafat, “Saan kadi nga imbagak kenka a saan isuna nga agipadto iti nasayaat maipanggep kaniak, ngem didigra laeng?”
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Je sikukwambia kuwa huwa hanitabirii mambo mema yanayonihusu, ila majanga tu?”
19 Ket kinuna ni Micaias, “Denggem ngarud ti sao ni Yahweh: Nakitak ni Yahweh a nakatugaw iti tronona, ken dagiti amin a buybuyot ti langit ket agtaktakder iti makannawan ken iti makannigidna.
Kisha Makaya akasema, “Kwa hiyo sikiliza neno la BWANA: Nimemwona BWANA akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi, na majeshi yote ya mbinguni yalikuwa yamesimama karibu yake upande wake wa kulia na upande wake wa kushoto.
20 Kinuna ni Yahweh, 'Siasino ti mangallilaw kenni Ahab, tapno mapan isuna ken maparmek idiay Ramot Galaad?' Ket nagduduma ti insungbat ti tunggal maysa.
BWANA akasema, 'Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili kwamba apande akafie Ramothi Gileadi? Na mtu mmoja akajibu kwa njia hii, na mwingine akajbu kwa njia ile.
21 Ket adda maysa nga espiritu a nagpasango, nagtakder iti sangoanan ni Yahweh, ket kinunana, 'Siak ti mangallilaw kenkuana.' Kinuna ni Yahweh kenkuana, 'Kasano?'
Ndipo pepo moja akajitokeza, akasimama mbele ya BWANA, akasema, 'Mimi nitamdanganya.' BWANA akmwuliza, 'Kwa jinsi gani?'
22 Simmungbat ti espiritu, 'Mapanak ken agbalinak nga agul-ulbod nga espiritu iti ngiwat dagiti amin a profetana.' Simmungbat ni Yahweh, 'Allilawem isuna, ket agballigikanto. Mapanka ket aramiden ti imbagam.'
Yule pepo akamjibu, 'Nitakwenda na kuwa roho idanganyayo katika vinywa vya manabii wake,' BWANA akamjibu, 'utaweza kumdanganya, na utafanikiwa. Nenda sasa ukafanye hivyo.'
23 Ita kitaem, nangikabil ni Yahweh iti agul-ulbod nga espiritu iti ngiwat dagiti amin a profetam, ket nangituyang ni Yahweh ti didigra para kenka.”
Tazama sasa, BWANA ameweka roho idangayo kwenye vinywa vya hawa manabii wako, na BWANA ametangaza janga kwako.”
24 Kalpasanna immasideg ni Zedekaia nga anak ni Kenaana, tinungpana ni Micaias, ket kinunana, “Kasano a rimmuar kaniak ti Espiritu ni Yahweh tapno makitungtong kenka?”
Kisha Sedekia mwana wa Kenaana, akaja, akamzabua Makaya shavuni, akasema, “Je, yule roho wa Bwana alitokaje kwangu ili asema na wewe?”
25 Kinuna ni Micaias, “Kitaem, maammoamto dayta, iti dayta nga aldaw, inton agtarayka nga aglemmeng iti akin uneg a siled.
Makaya akasema, “Tazama, “utatambua hilo katika siku hiyo, utakapokimbilia katika chumba cha ndani kujificha.”
26 Kinuna ti ari ti Israel iti adipena, “Tiliwem ni Micaias ket iyapanmo kenni Amon, a gobernador ti siudad, kenni Joas, nga anakko.
Mfalme wa Israeli akamwambia mtumishi wake, “Mkamate Makaya umpeleke kwa Amoni, liwali wa mji, na kwa mwanangu, Yoashi.
27 Ibagam kenkuana, 'Kuna ti ari, Ibaludyo daytoy a tao ket bassit a tinapay ti ipakanyo ken ikkanyo ti laeng ti bassit a danum, agingga a makasangpetak a sitatalged.”’
Mwambie, 'mfalme anasema mweke huyo gerezani na awe anampa mkate kidogo na maji kidogo, mpaka nitakaporudi salama.'”
28 Ket kinuna ni Micaias, “No makasublika a sitatalged, saan ngarud a nagsao ni Yahweh kaniak.” Ket kinunana pay, “Denggenyo daytoy, dakayo amin a tattao.”
Naye Makaya akasema, “Kama utarudi salama basi BWANA hajasema kupitia kinywa changu.” Na akaongeza, “Sikilizeni hili, ninyi watu.”
29 Napan ngarud ni Ahab nga ari ti Israel, ken ni Jehosafat nga ari ti Juda idiay Ramot Galaad.
Ahabu, mfalme wa Israeli, na Yehoshafati mfalme wa Yuda, wamepanda Ramothi Gileadi.
30 Kinuna ti ari ti Israel kenni Jehosafat, “Manglimlimoak ket mapanak iti paggugubatan, ngem ikawesmo dagiti pagan-anaymo a kas ari.” Isu a nanglimlimo ngarud ti ari ti Israel ket napan iti paggugubatan.
Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Nitajibadilisha mwenyewe niende vitani, lakini wewe uvae vazi lako la kifalme.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadilisha na akaenda vitani.
31 Ita, binilin ti ari ti Aram dagiti tallo pulo ket dua a kapitan ti karwahena, a kunana, “Saanyo a darupen uray siasinoman kadagiti soldado. Ketdi, darupenyo laeng ti ari ti Israel.”
Naye mfalme wa Shamu alikuwa amewaamuru majemedari thelathini na mbili wa magari yake, akisema, “Msimwamgamize askari wa muhimu au ambaye si wa muhimu, badala yake mshambulieni mfalme wa Israeli tu.”
32 Ket idi nakita dagiti kapitan dagiti karwahe ni Jehosafat kinunada, “Sigurado a dayta ti ari ti Israel.” Dinarupda isuna, ket nagriaw ni Jehosafat.
Ikawa wakati majemedari wa magari walipomwona Yehoshafati wakasema, “Hakika huyu ndiye mfalme wa Israeli.” Wakageuka ili kumshambulia, kwahiyo Yehoshafati akapiga kelele.
33 Ket idi nakita dagiti mangidadaulo kadagiti karwahe a saan nga isu ti ari ti Israel, saandan nga intuloy iti panangkamatda kenkuana.
Ikawa majemedari wa magari walipoona kuwa yeye hakuwa mfalme wa Israeli, wakamwacha.
34 Ngem adda maysa a lalaki a nangipasaksak lattan iti panana ket natamaan ti ari ti Israel iti nagsaipan ti kabalna. Ket kinuna ni Ahab iti mangiturturong iti karwahena, “Agsublita ken ipanawnak ditoy paggugubatan, ta nasugatanak iti nakaro.”
Lakini mtu mmoja akavuta upinde wake kwa kubahatisha na akampiga mfalme wa Israeli katikati ya mwunganiko wa mavazi yake ya chuma. Ahabu akamawambia dereva wa gari lake, “geuza unirudishe kutoka vitani, kwa kuwa nimeumizwa sana.”
35 Kimarkaro ti gubat iti dayta nga aldaw, ket sisasadag ti ari iti karwahena a nakasango kadagiti taga-Aram. Natay isuna iti karabianna. Nagsayasay ti darana manipud iti sugatna iti datar iti karwahe.
Vita ikawa mbaya sana siku hiyo na mfalme akalazwazwa garini mwake akiwakabili Washami. Akafa jioni hiyo. Damu ilimwagika kutoka kwenye jeraha lake ndani ya gari.
36 Ket idi lumlumneken ti init, impukkaw dagiti armada, a kunada, “Agsubli ti tunggal maysa iti siudadna, ken tunggal maysa iti rehionna!”
Ikawa wakati wa kuzama jua, kilio kikatawala kwa jeshi lote, wakisema, “Kila mtu arudi kwenye mji wake; na kila mtu arudi kwenye mkoa wake!”
37 Natay ngarud ni Ahab ket impanda idiay Samaria, ket impunponda isuna idiay Samaria.
Kwa hiyo mfalme Ahabu akafa na akaletwa Samaria, wakamzika huko Samaria.
38 Binugwanda ti karwahe iti pagdigosan idiay Samaria, ket dinilpatan dagiti aso ti darana (ditoy ti pagdigdigusan dagiti balangkantis), kas iti sao nga imbaga ni Yahweh.
Wakaliosha lile gari kwenye birika la Samaria, na mbwa wakaramba damu yake (hapa ni mahali ambapo makahaba waliogea), kama vile neno la BWANA lilivyokuwa limesema.
39 Maipapan kadagiti dadduma a banbanag maipanggep kenni Ahab, amin nga inaramidna, ti impatakderna a marfil a balay, ken amin a siudad nga imbangonna saan kadi a naisurat dagitoy iti Libro dagiti Pakasaritaan dagiti Ar-ari ti Israel?
Kwa mambo mengine yanayohusisana na Ahabu, yote ambayo alifanya, ile nyumba ya pembe aliyojenga, na miji yote aliyojenga, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafalme wa Israeli?
40 Pimmusay ngarud ni Ahab, ket ni Ahazias nga anakna a lalaki ti nagbalin nga ari a simmukat kenkuana.
Kwa hiyo Ahabu akalala pamoja na mababu zake, na Ahaziya mwanae akawa mfalme mahali pake.
41 Ket nangrugi a nagturay idiay Juda ni Jehosafat nga anak ni Asa idi maikapat a tawen a panagturay ni Ahab nga ari ti Israel.
Kisha Yehoshafati mwana wa Asa alianza kutawala juu ya Yuda katika mwaka wa nne wa Ahabu mfalme wa Israeli.
42 Tallopulo ket lima ti tawen ni Jehosafat idi nagturay isuna, ket nagturay isuna iti duapulo ket lima a tawen idiay Jerusalem. Ti nagan ti inana ket Azuba, nga anak a babai ni Silhi.
Yehoshafati alikuwa na umri wa miaka thelathini na tano alipoanza kutawala, na akatawala Yerusalemu kwa miaka ishirini na mitano. Mama yake alikuwa Azuba, binti wa Shilhi.
43 Nagbiag isuna iti wagas ni Asa nga amana; saanna a tinallikudan dagitoy; inaramidna no ania ti nasayaat iti imatang ni Yahweh. Nupay kasta, saan pay a naikkat dagiti disso a pagdaydayawan. Agidatdaton ken agpupuor latta iti insenso dagiti tattao kadagiti disso a pagdaydayawan.
Akatembea katika njia za Asa, baba yake, hakuziacha; akafanya yaliyokuwa mema mbele ya macho ya BWANA. Lakini bado mahali pa juu palikuwa hapajabomolewa. Watu walikuwa bado wanaendelea kutoa dhabihu na kufukiza uvumba mahali pa juu.
44 Nakipagkapia ni Jehosafat iti ari ti Israel.
Yehoshafati akafanya amani na mfalme wa Israeli.
45 Maipapan kadagiti dadduma a banbanag maipangep kenni Jehosafat, ken ti kinabileg nga impakitana ken no kasano a nangabak isuna iti gubat, saan kadi a naisurat dagitoy iti Libro dagiti Pakasaritaan dagiti Ar-ari ti Juda?
Kwa mambo mengine kuhusiana na Yehoshafati, na nguvu zake alizoonyesha, na jinsi alivyopigana vita, je, hayajaandikwa katika kitabu cha matukio cha wafalme wa Israeli?
46 Pinapanawna manipud iti daga dagiti nabatbati a balangkantis a natda kadagiti al-aldaw ti amana a ni Asa.
Aliwaondoa kutoka katka nchi wale makahaba wa kipagani waliokuwa wamebaki katika siku za baba yake Asa.
47 Awan ti ari idiay Edom, ngem nagturay ti pannakabagi ti ari sadiay.
Hapakuwepo mfalme katika Edomu isipokuwa kaimu mtawala.
48 Nangaramid ni Jehosafat kadagiti barko a paglayag a mapan idiay Ofir gapu iti balitok, ngem saanda a nakadanon gapu ta nadadael dagiti barko idiay Ezion Geber.
Yehoshafati alijenga merikebu: ziende Tarshishi na Ofri kuleta dhahabu, lakini hazikusafiri kwa sababu zile merikebu zilivunjika kule Esioni Geberi. Kisha
49 Ket kinuna ni Ahazias nga anak ni Ahab kenni Jehosafat, “Ipalubosmo koma a makilayag dagiti adipenko kadagiti adipenmo kadagiti barko.” Ngem saan nga immannugot ni Jehosafat.
Ahazia mwana wa Ahabu akamwambia Yehoshafati, “Naomba watumishi wangu waende pamoja na watumishi wako merikebuni. “Lakini Yehoshafati hakuruhusu hilo.
50 Pimmusay ni Jehosafat ket naitabon a kaduada iti siudad ni David, a kapuonanna; ni Jehoram nga anakna ti nagbalin nga ari a simmukat kenkuana.
Yehoshafati akalala na mababu zake na akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi, babu yake; Yoramu mwanawe akawa mfalme mahali pake.
51 Nagturay ni Ahazias nga anak ni Ahab iti Israel idiay Samaria idi maikasangapulo ket pito a tawen a panagturay ni Jehoshafat nga ari ti Juda, ket nagturay isuna iti dua a tawen iti Israel.
Ahazia mwana Ahabu alianza kutawala juu ya Israeli ya Samaria katika mwaka wa kumi na saba wa mfalme Yehoshafati mfalme wa Yuda, na akatawala kwa mika miwili juu ya Israeli.
52 Dakes ti inaramidna iti imatang ni Yahweh ken nagbiag iti wagas ti amana, ken iti wagas ti inana, ken iti wagas ni Jeroboam nga anak ni Nabat, ket iti kasta insungsongna ti Israel nga agbasol.
Naye akafanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA akatembea katika njia za baba yake, katika njia za mama yake na katika njia za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo kwazo aliifanya Israeli kufanya dhambi.
53 Nagserbi isuna kenni Baal ken dinayawna isuna, isu a pinagpungtotna ni Yahweh, a Dios ti Israel, a kas iti inaramid ti amana.
Alimtumikia Baali na kumwabudu na kwa hiyo akamghadhabisha BWANA, Mungu wa Israeli, katika hasira, kama vile baba yake alivyofanya.

< 1 Ar-ari 22 >