< 1 Ar-ari 21 >

1 Ket napasamak nga iti saan a nagbayag, ni Nabot a taga-Jezreel ket adda kaubasanna idiay Jezreel, nga asideg ti palasio ni Ahab, nga ari ti Samaria.
Basi ikawa baada ya hayo, Nabothi Myezreeli alikuwa na shamba la mizabibu kule Yezreeli, karibu na ikulu ya Ahabu, mfalme wa Samaria.
2 Kinasao ni Ahab ni Nabot a kunana, “Itedmo kaniak ti kaubasam, tapno aramidek a pagmulaan kadagiti natnateng, gapu ta asideg daytoy iti balayko. Kas kasukatna, ikkanka iti nasaysayaat a kaubasan, wenno, no kayatmo, itedko lattan ti bayadna.”
Ahabu akamwambia Nabothi, akisema, “Nipe shamba lako, ili nilifanye kuwa bustani ya mboga, kwa sababu iko karibu na nyumba yangu. Badala yake nitakupa shamba zuri la mizabibu, au, kama ukipenda nitakulipa thamani yake kwa fedha.”
3 Simmungbat ni Nabot kenni Ahab, “Saan koma nga ipalubos ni Yahweh nga itedko kenka ti tawid dagiti kapuonak.”
Nabothi akamjibu Ahabu, “BWANA na alizuie hilo nisije nikatoa urithi wa mababu zangu kwako.”
4 Nagawid ngarud ni Ahab iti palasiona a nasakit ti nakemna ken makapungtot gapu iti insungbat kenkuana ni Nabot a taga-Jezreel idi kinunana, “Saanko nga ited kenka ti tawid dagiti kapuonak.” Nagidda isuna iti katrena, simmango iti diding, ket saanna a kayat ti mangan iti aniaman a taraon.
Ahabu akaingia kwenye ikulu yake akiwa mchovu na mwenye hasira kwa sababu ya jibu ambalo Nabothi Myezreeli alimpa aliposema, “Sitakupa urithi wa mababu zangu.” Akalala kitandani kwake, akiwa amegeuza uso wake upande ule, na akagoma kula chakula chochote.
5 Napan kenkuana ni Jezebel nga asawana ket kinunana kenkuana, “Apay nga agliday unay ti pusom, ket saanka a mangmangan?”
Yezebeli mke wake akaiingia kwake, akamwambia “Kwa nini moyo wako una huzuni, kiasi kwamba hutaki kula?”
6 Simmungbat isuna kenkuana, “Kinasaok ni Nabot a taga-Jezreel ket kinunak kenkuana, 'Ilakom kaniak ti kaubasam, wenno no kayatmo, 'Ikkanka iti sabali a kaubasan!' Ket simmungbat kaniak, 'Saanko nga ited kenka ti kaubasak.”'
Naye akamjibu,” Niliongea na Nabothi Myezreeli nikamwambia, 'Nipe shamba lako nami nitakupa pesa, au kama inakupendeza, nitakupa shamba jingine ili liwe lako.' Naye akanijibu, 'Sitakupa shamba langu.'”
7 Simmungbat ngarud kenkuana ni Jezebel nga asawana, “Saan kadi a sika pay laeng ti mangiturturturay iti pagarian ti Israel? Bumangonka ket manganka; agragsak koma ti pusom. Alaek ti kaubasan ni Nabot a taga-Jezreel para kenka.”
Naye Yezebeli mkewe akamjibu, “Je, wewe si mtawala wa ufalme wa Israeli? Inuka ule; na moyo wako uwe na amani. Nitalichukua hilo shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli kwa ajili yako.
8 Nagsurat ngarud ni Jezebel babaen iti nagan ni Ahab, sinelioanna dagitoy babaen iti pagselio ti ari, ket impatulodna dagitoy kadagiti panglakayen ken kadagiti nababaknang a makipagtugtugaw kenkuana kadagiti panaguummong, a kaarruba ni Nabot.
Kwa hiyo Yezebeli akaandika barua kwa jina la Ahabu, akaitia muhuri wake, akazituma kwa wazee na kwa watu tajiri alioketi nao kwenye vikao, na ambao pia waliishi karibu na Nabothi.
9 Inlanadna kadagiti surat a kunana, “Mangipakdaarkayo iti panagayunar ket pagtugawenyo ni Nabot iti sangoanan dagiti tattao.
Katika ile barua aliyoandika, ilisema hivi, “Pigeni mbiu ya kufunga mkamkalishe Nabothi juu mbele ya watu.
10 Mangikabilkayo met ti dua nga ulbod a tao a kaduana ket pagsaksienyo ida maibusor kenkuana, a kunada, 'Inlunodmo ti Dios ken ti ari.”' Kalpasanna iruaryo isuna ket batoenyo isuna agingga a matay.
Pia mwaweke watu wawili wasiokuwa waaminifu pamoja naye na wale watu watoe ushahidi kinyume naye, waseme, 'Ulimlaani Mungu na mfalme.”Halafu mchukueni nje mkampige kwa mawe mpaka afe.
11 Isu a dagiti tattao iti siudadna, dagiti panglakayen ken nababaknang nga agnanaed iti siudadna, inaramidda ti imbilin ni Jezebel kadakuada, a kas nailanad iti surat nga impatulodna kadakuada.
Kwa hiyo watu wa mji wake, wazee na watu tajiri waishio kwenye huo mji, wakafanya kama Yezebeli alivyowaeleza, kama ilivyoandikwa kwenye zile baraua ambazo alikuwa amewatumia.
12 Nangipakdaarda iti panagayunar ket pinagtugawda ni Nabot iti sangoanan dagiti tattao.
Wakapiga mbiu ya kufunga wakamkalisha Nabothi juu mbele ya watu.
13 Immay dagiti dua nga ulbod a tattao ket nagtugawda iti sangoanan ni Nabot; nagsaksida maibusor kenni Nabot iti sangoanan dagiti tattao, a kunada, “Inlunod ni Nabot ti Dios ken ti ari.” Kalpasanna, inruarda isuna iti siudad ket binato-batoda isuna agingga a natay.
Na wale watu wawili wasiokuwa waaminifu wakaja wakakaa mbele ya Nabothi; nao wakatoa ushuhuda wao dhidi ya Nabothi kuwa amemlaani Mungu na mfalme.” Kisha wakamchukua nje ya mji wakampiga kwa mawe mpaka akafa.
14 Kalpasanna, nangipatulod dagiti panglakayen iti sao kenni Jezebel, a kunada, “Binatodan ni Nabot ket natayen.”
Kisha wazee wakatuma neno kwa Yezebeli, wakisema, “Nabothi ameshapigwa mawe na amekufa.”
15 Ket idi nadamag ni Jezebel a nabato ken natayen ni Nabot, kinunana kenni Ahab, “Tumakderka ket mapanmo alaem ti sanikua ni Nabot a taga-Jezreel, a saanna a kayat nga ilako kenka, gapu ta saanen a sibibibiag ni Nabot ngem ketdi natayen.”
Naye Yezebeli aliposikia kuwa Nabothi ameshapigwa mawe na alikuwa amekufa, akamwabia Ahabu, “Inuka na ukamiliki shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, ambalo alikataa kukuuzia, kwa sababu Nabothi hayuko hai, bali amekufa.”
16 Idi nangngeg ni Ahab a natayen ni Nabot, nagrubbuat isuna tapno mapan iti kaubasan ni Nabot a taga-Jezreel ket tagikuaenna daytoy.
Ahabu aliposikia kuwa Nabothi amekufa, akainuka ili aende kwenye lile shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli na kulimiliki.
17 Ket immay ti sao ni Yahweh kenni Elias a taga-Tisbi, a kunana,
Ndipo neno la BWANA likamjia Eliya Mtishibi, likisema,
18 “Tumakderka ket mapanmo saraken ni Ahab nga ari ti Israel, nga agnanaed idiay Samaria. Adda isuna iti kaubasan ni Nabot, tapno tagikuaenna daytoy.
“Inuka uende ukakutane na Ahabu mfalme wa Israeli, ambaye anaishi Samaria. Yumo kwenye shamba la Nabothi, ambako ameenda kuchukua umiliki wa shamba hilo.
19 Nasken a kasaom isuna ket ibagam a kuna ni Yahweh, ‘Pimmatayka kadi ken nangtagikuaka?' Ket ibagam kenkuana a kuna ni Yahweh, 'Iti lugar a nangdilpatan dagiti aso iti dara ni Nabot, dilpatanto met dagiti aso ti daram, wen, ti daram,’ “
Ukaongee naye umwambie kwamba BWANA anasema, 'Je, umeua na kujimilikisha?' na utamwambia kwamba BWANA anasema, 'Mahali pale ambapo mbwa wameramba damu ya Nabothi, ndipo mbwa watakaporamba damu yako, ndiyo, damu yako.'”
20 Kinuna ni Ahab kenni Elias, “Nasarakannak kadi, kabusorko?” Simmungbat ni Elias, “Nasarakanka, gapu ta inlakom ti bagim iti panagaramid iti dakes iti imatang ni Yahweh.
Ahabu akamwambia Eliya, “Je, umenipatia, adui yangu?” Eliya akamjibu, “Nimekupata wewe kwa sababu, umejiuza mwenyewe kufanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA.
21 Ibagbaga ni Yaweh daytoy kenka: 'Kitaem, mangiyegakto iti didigra kenka ket ikisapkonto amin ken pukawek kenka ti tunggal ubing a lalaki, adipen ken siwawaya a tao iti Israel.
BWANA anakwambia hivi: 'Tazama, Nitaleta janga kwako na litakuangamiza kabisa na kufutilia mbali kila mtoto mume na mtumwa na mtu huru katika Israeli.
22 Pagbalinekto ti pamiliam a kas iti pamilia ni Jeroboam nga anak ni Nabat, ken kas iti pamilia ni Baasa nga anak ni Ahijah, gapu ta pinagpungtotnak ken insungsongmo ti Israel nga agbasol.'
Nitaifanya familia yako kama familia ya Yeroboamu mwana wa Nebati, na kama familia ya Baasha mwana wa Ahiya, kwa sababu umenighadhabisha na umewasababisha Israeli kufanya dhambi.
23 Nagsao met ni Yahweh maipapan kenni Jezebel, a kunana, 'Kanento dagiti aso ni Jezebel iti asideg ti pader ti Jezreel.'
Pia BWANA ameongea kuhusu Yezebeli, amesema, “mbwa watamla Yezebeli pembeni mwa ukuta wa Yezreeli.'
24 Siasinoman a maibilang kenni Ahab a matay iti siudad-kanento dagiti aso dayta a tao. Ket siasinoman a matay iti away-kanento dagiti billit iti tangatang dayta a tao.”
Yeyote ambaye ni mtu wa familia ya Ahabu ambaye atafia mjini - mbwa watamla. Na yeyote ambaye atafia shambani - ataliwa na ndege wa angani.”
25 Awan ti kas kenni Ahab, a nangilako iti bagina iti panagaramid iti dakes iti imatang ni Yahweh, a sinugsugan ni Jezebel nga asawana nga agbasol.
Hapakuwepo na mtu kama Ahabu, ambaye alijiuza mwenyewe kufanya maovu mbele ya macho ya BWANA, ambaye mke wake Yezebeli alimchochea kufanya dhambi.
26 Nagaramid ni Ahab kadagiti makarimon nga aramid para kadagiti didiosen a dinayawna, a kas iti amin nga inaramid dagiti Amorreo, nga innikkat ni Yahweh iti sangoanan dagiti tattao ti Israel.
Ahabu alifanya matendo yachukizayo kwa ajili ya sanamu alizofanya, kama vile yale yote ambayo Waamori walifanya, BWANA akawafukuza mbele ya watu wa Israeli.
27 Idi nangngeg ni Ahab dagitoy a sasao, rinay-abna dagiti kawesna ket nagkawes iti nakersang a lupot ken nagayunar ket nagidda a sikakawes iti nakersang a lupot ket kasta unay ti panaglidayna.
Ahabu aliposikis maneno haya, Akachana mavazi yake na akavaa magunia kwenye mwili wake na akfaunga, na akalala kwenye magunia na akahuzunika sana.
28 Ket immay ti sao ni Yawheh kenni Elias a taga-Tisbi, a kunana,
Kisha neno la BWANA likamjia Eliya Mtishibi likisema,
29 “Nakitam kadi no kasano a nagpakumbaba ni Ahab iti sangoanak? Gapu ta impakumbabana ti bagina iti sangoanak, saankon nga iyeg ti umay a didigra bayat iti panagbiagna; kadagiti al-aldaw a panagbiag dagiti annakna nga iyegkonto daytoy a didigra iti pamiliana.”
“Je, unamwona jinsi Ahabu anavyojinyenyekeza mbele yangu? Kwa sababu anajinyeyenyekeza mwenyewe mbele yangu, Sitaleta lile janga katika siku zake; Ni katika siku za mwanae, nitakpolileta hilo janga katika familia yake.”

< 1 Ar-ari 21 >