< 1 Ar-ari 18 >

1 Isu a kalpasan ti adu nga aldaw, immay ti sao ni Yahweh kenni Elias, iti maikatlo a tawen ti tikag a kunana, “Mapanka dumatag kenni Ahab ket iyegkonto iti tudo iti daga.”
Kwa hiyo baada ya siku nyingi neno la BWANA likamjia Eliya, katika mwaka wa tatu wa ukame, likisema, “Nenda ukajionyeshe mwenyewe kwa Ahabu nami nitainyeshea ardhi mvua.”
2 Napan dimmatag ni Elias kenni Ahab; ita, nakaro unay ti panagbisin idiay Samaria.
Eliya akaenda kujionyesha mwenyewe kwa Ahabu; sasa njaa ilikuwa kali sana kule Samaria.
3 Inayaban ni Ahab ni Abdias a mayordomo ti palasio. Ita, raraemen unay ni Abdias ni Yahweh,
Ahabu akamwita Obadia, aliyekuwa mkuu wa ikulu. Obadia alimheshimu sana BWANA,
4 ta idi patpatayn ni Jezebel dagiti profeta ni Yahweh, inkuyog ni Abdias ti sangagasut a profeta ket inlemmengna ida iti dua a kueba, limapulo a profeta ti inlemmengna iti tunggal kueba ket pinakanna ida iti tinapay ken danum.
kwa kuwa wakati Yezebeli alipokuwa akiwaua manabii wa BWANA, Obadia alichukua manabii mia akawaficha katika makundi ya hamsini hamsini katika pango na akawalisha kwa mikate na maji.
5 Kinuna ni Ahab kenni Abdias, “Sursorenta ti daga, iti amin nga ubbog ken waig. Bareng makasarakta kadagiti ruot ken maispalta dagiti kabalio ken mulo, tapno saan a matay amin dagiti ayup.”
Ahabu akamwambia Obadia, “Pita katika nchi yote na katika chemichemi zote za maji na vijito. Yamkini tunaweza kupata maji na nyasi ili tuwaokoa hawa farasi na nyumbu, ili tusiwakose wanyama wote.”
6 Nagnumoanda ngarud no ania a daga ti sursuren ti tunggal maysa kadakuada tapno agbirok iti danum ket nagsinada iti turongen.
Kwa hiyo wakaigawa nchi kati yao ili wapite kati yake wakitafuta maji. Ahabu akaenda njia yake mwenyewe na Obadia naye akaenda njia yake.
7 Bayat nga adda ni Abdias iti dalan, nairana a nasabat isuna ni Elias. Nabigbig ni Abdias isuna ket nagrukob iti daga. Kinunana, “Sika kadi dayta, apok nga Elias?”
Wakati Obadia akiwa njiani, akakutana na Eliya pasipo kutegemea. Obadia akamtambua na akalala kifudifudi chini. Akamwambia, “Ndiye wewe, bwana wangu Eliya?”
8 Simmungbat ni Elias kenkuana, “Siak. Mapanmo ibaga iti apom, 'Kitaem, adda ditoy ni Elias.'”
Naye Eliya akamjibu, Ni mimi. Nenda umwambie bwana wako, 'Tazama, Eliya yuko hapa.'”
9 Simmungbat ni Abdias, “Ania ti nagbasolak ta iyawatmo ti adipenmo iti ima ni Ahab, tapno patayennak?
Obadia akamjibu. “Nimekoseaje, kwamba umtoe mtumishi wako katika mkono wa Ahabu ili aniue?
10 Iti nagan ni Yahweh a Diosmo nga adda iti agnanayon, awan ti nasion wenno pagarian a saan a nangibaonan ti apok kadagiti tattaona tapno birukendaka. Tunggal ibaga ti nasion wenno pagarian, ‘Awan ditoy ni Elias,' pagsapataen ida ni Ahab nga ikarida a saandaka a mabirukan.
Kama BWANA Mungu wako aishivyo, hakuna taifa wala ufalme ambapo bwana wangu hajatuma watu kukutafuta. Kila taifa au ufalme unaposema, “Eliya hayuko hapa,' Ahabu hufanya waape ni kweli hawajakuona.
11 Ngem ita ibagam a, “Mapanka ket ibagam iti apom nga adda ditoy ni Elias.'
Na sasa wewe unasema, 'Nenda, ukamwambie bwana wako kwamba Eliya yuko hapa.'
12 Apaman a makaadayoak kenka, ipannaka ti Espiritu ni Yahweh iti lugar a saanko nga ammo. Ket inton mapanko ibaga kenni Ahab, ket saannaka a mabirukan, patayennakto. Ngem siak nga adipenmo, dinaydayawko ni Yahweh manipud iti kinaagtutubok.
Mara tu baada ya kukuacha Roho wa BWANA atakuchukua na kukupeleka mahali ambapo sitapajua. Kisha nikienda na kumwambia Ahabu, na asipokuona, ataniua. Bado, mimi, mtumishi wako, nimekuwa nikimwabudu BWANA kutoka ujana wangu.
13 Saan kadi a naibaga kenka apok, ti inaramidko idi pinatay ni Jezebel dagiti profeta ni Yahweh, no kasano nga inlemmengko ti sangagasut a profeta ni Yahweh babaen iti panangbingayko kadakuada iti saglilimapulo iti tunggal kueba ken pinakanko ida iti tinapay ken danum?
Je, haujaambiwa, bwana wangu, nilichokifanya wakati Yezebeli alipowaua manabii wa BWANA, jinsi nilivyowaficha wale manabii mia moja wa BWANA katika makundi ya hamsini kwenye pango na kuwalisha kwa mikate na maji?
14 Ket ita ibagam, ‘Mapanka ket ibagam iti apom nga adda ditoy ni Elias,' tapno patayennak ni Ahab.”
Na sasa unasema, 'Nenda umwambie bwana wako kwamba Eliya yuko hapa,' kwa hiyo ataniua.”
15 Ket simmungbat ni Elias, “Iti nagan ni Yahweh a Mannakabalin-amin, a pagserserbiak, awan duadua a dumatagak kenni Ahab ita nga aldaw.”
Ndipo Eliya alipomjibu, “Kama vile BWANA wa majeshi aishivyo, ambaye mimi ninasimama, Kwa hakika nitajionyeshakwa Ahabu leo.”
16 Isu a napan ni Abdias tapno sarakenna ni Ahab; imbagana kenni Ahab ti imbilin ni Elias kenkuana ket napan ni Ahab tapno sabatenna ni Elias.
Kwa hiyo Obadia akaenda kukutana na Ahabu, nakumwambia kile Eliya alichokuwa amemwambia. Ndipo mfalme alipoenda kukutana na Eliya.
17 Idi nakita ni Ahab ni Elias, kinunana kenkuana, “Sika kadi dayta, sika a mangrirriribuk iti Israel?”
Ahabu alipomwona Eliya, akamwambia, “Je, ni wewe? Wewe mtabishaji wa Israeli!”
18 Simmungbat ni Elias, “Saanko a riniribuk ti Israel, ngem sika ken ti pamilia ti amam ti mangrirriribuk babaen iti panangtallikudyo kadagiti bilin ni Yahweh ken babaen iti panangsurotyo kadagiti Baal a didiosen.
Eliya akamwambia, “Mimi sijaitabisha Israeli, Lakiini wewe na familia ya baba yako ndio watabishaji kwa kuziacha amri za BWANA na kufuata sanamu za Baali.
19 Ita ngarud, mangibaonka iti mapan mangibaga ket ummungem ti entero nga Israel idiay Bantay Carmel iti sangoanak agraman dagiti uppat a gasut ket limapulo a profeta ni Baal ken ti uppat a gasut a profeta ni Asera a ti pangpangananda ket iti lamisaan ni Jezebel.”
Kwa hiyo sasa, Tuma neno na unikusanyie Israeli yote katika mlima Kameli, pamoja na manabii 450 wa Baali na wale manabii 400 wa Ashera wanaokula kwenye meza ya Yezebeli.”
20 Isu a pinaayaban amin ni Ahab dagiti tattao iti Israel ket inummongda dagiti profeta idiay Bantay Carmel.
Kwa hiyo Ahabu akatuma neno kwa watu wote wa Israeli na akawakusanya manabii wote kwenye mlima Kameli.
21 Immasideg ni Elias kadagiti amin a tattao ket kinunana, “Kasano pay kabayag ti panagduaduayo? No ni Yahweh ti Dios, surotenyo isuna. Ngem no ni Baal ti Dios, surotenyo ngarud isuna.” Ngem saan a simmungbat kenkuana dagiti tattao.
Eliya akaja karibu na watu wote akasema, “Mtaendelea kubadilisha mawazo yenu mpaka lini? Kama BWANA ni Mungu, mfuateni yeye, Lakini kama Baali ni Mungu, basi mfuateni yeye,” Lakini watu hawakumjibu neno.
22 Ket kinuna ni Elias kadagiti tattao, “Siak, siak laengen ti nabati a profeta ni Yahweh, ngem dagiti profeta ni Baal ket uppat a gasut ket lima pulo a tattao.
Kisha Eliya akawaambia wale watu, “Mimi, pekee yangu, ndiye niliyebaki kuwa nabii wa BWANA, lakini manabii wa Baali wako 450.
23 Ipaayandakami ngarud iti dua a baka. Bay-anyo a mangpilida iti maysa a baka a para kadakuada ket partienda daytoy sada iparabaw kadagiti kayo, ngem saanda a pasgedan daytoy. Kalpasanna, partiek ti sabali pay a baka ket iparabawko iti kayo, ket saanko a pasgedan daytoy.
Hebu tutoleeni ng'ombe wawili. Nao wajichagulie ng'ombe mmoja na wamchinje na kumkatakata katika vipnde, na wamweke kwenye kuni, na wasitie moto chini yake. Nami nitamwandaa yule wa pili na kumweke juu ya kuni nami sitatia moto chini yake.
24 Kalpasanna, umawagkayo iti nagan ti diosyo, ket umawagakto met iti nagan ni Yahweh, ket ti Dios a sumungbat babaen iti apuy, isuna ti Dios.” Isu a simmungbat amin dagiti tattao ket kinunada, “Nasayaat daytoy.”
Kisha mtaliita jina la mungu wenu, nami nitaliita jina la BWANA, na Mungu atakayejibu kwa moto, huyo ndiye Mungu.” Watu wote wakajibu na kusema, “Hilo ni jambo jema.”
25 Kinuna ngarud ni Elias kadagiti profeta ni Baal, “Mangpilikayo iti maysa a baka ket umunakayo a mangisagana iti daytoy, ta adukayo a tattao. Kalpasanna, umawagkayo iti nagan ti diosyo, ngem saanyo a pasgedan ti nakaiparabawan dagiti karne ti baka.”
Kwa Eliya akawaambia manabii wa Baali, “Chagueni ng'ombe mmoja kwa ajili yenu na mwe wa kwanza kumwamdaa, kwa kuwa ninyi ni wengi, Kisha liiteni jina la mungu wenu, lakini msiwashe moto.”
26 Innalada ti baka a naited kadakuada ket pinartida, ket immawagda iti nagan ni Baal manipud iti bigat agingga iti tengnga ti aldaw a kunkunada, “Baal, denggendakami.” Ngem awan ti timek, wenno siasinoman a simmungbat. Nagsalsalada iti aglawlaw ti altar nga inaramidda.
Nao wakamchukua yule ng'ombe waliokuwa wamepewa na wakamwandaa, na ndipo walipoliita jina la Baali kuanzia asubuhi hadi adhuhuri, wakisema, “Baali, tusikie.” Lakini hapakuwepo na Sauti, na wala hakuna aliyejibu. Wakachezacheza kuizunguka madhabahu waliyotengeneza.
27 Idi katengngaan ti aldaw, rinabak ida ni Elias ket kinunana, “Pigsaanyo ti umasug! Maysa isuna a dios! Nalabit nga agpanpanunot isuna, wenno agpabpabang-ar, wenno agdaldaliasat, wenno nalabit a matmaturog isuna a nasken a riingen.”
Ilipofika adhuhuri Eliya akawakejeli akisema, “Mwiteni kwa nguvu! Huyo ni mungu! labda anawaza kitu, au amepumzika, au yuko safarini, au pengine amelala sharti aamshwe.”
28 Isu nga impigpigsada ti panagasugda ket sinugsugatda dagiti bagbagida a kas iti kadawyan nga ar-aramidenda babaen kadagiti kampilan ken gayang agingga a nagayus dagiti darada kadagiti bagbagida.
Kwa hiyo wakamwita kwa nguvu, wakajikatakata kama kawaida yao ilivyokuwa, kwa upanga na nyembe, mpaka damu ikawachuruzika.
29 Limmabas ti katengngaan ti aldaw, ket umas-asugda latta agingga iti tiempo ti panagidaton iti pangrabii a daton, ngem awan ti timek wenno siasinoman a simmungbat; awan ti siasinoman a nangipangag kadagiti panagas-asugda.
Ikawa wakati wa adhuhuri ulipopita, na bado walikuwa wakiendelea kutabiri mpaka wakati wa jioni wa kutoa dhabihu, lakini hapakuwepo na sauti wala mtu wa kuwajibu; wala hapakuwepo na yeyote wa kujibu wala wa kuangalia.
30 Ket kinuna ni Elias kadagiti amin a tattao, “Umasidegkayo kaniak,” ket immasideg kenkuana dagiti tattao. Ket tinarimaanna ti narba nga altar ni Yahweh.
Kisha Eliya akawaambia watu wote, “Nisogeleeni,” na watu wote wakamsogelea. Naye akatengeneza ile madhabahu ya BWANA ambayo ilikuwa imeharibika.
31 Nangala ni Elias iti sangapulo ket dua a bato, ibagbagi ti tunggal bato dagiti sangapulo ket dua a tribu dagiti annak ni Jacob—ni Jacob ti immayan ti sao ni Yahweh a kunana, “Ti naganmonto ket Israel.”
Eliya akachukua mawe kumi na mawili, kila jiwe moja liliwakilisha kabila moja la wana wa Yakobo - ni kupitia Yakobo kwamba neno la BWANA lilikuja, likisema, “Jina lako litakuwa Israel.”
32 Babaen kadagiti batbato, nangaramid isuna iti altar iti nagan ni Yahweh, ket nangkali isuna iti kanal iti lawlaw ti altar a makalaon iti sangapulo ket lima a litro ti bukbukel.
Kwa kutumia hayo mawe aliijenga ile madhabahu kwa jina la BWANA na akachimba mfereji kuizunguka ile madhabahu kubwa kiasi cha kubeba lita kumi na tano za maji.
33 Ket inkabilna dagiti kayo a pagsungrod ken pinartina ti baka, ket imparabawna dagiti karne ti baka kadagiti kayo. Ket kinunana, “Punnoenyo dagiti uppat a karamba iti danum ket ibukbokyo iti mapuoran a daton ken iti kayo.”
Kisha akaweka kuni kwa ajili ya moto na akamkatakata yule ng'ombe katika vipande vipande na akaweka vile vipande juu ya kuni. Na akasema, “Vijazeni maji hivyo vyombo na yamwageni kwenye hiyo sadaka ya kueketezwa na juu ya hizo kuni.”
34 Ket kinunana, “Piduaenyo,” ket piniduada. Ket kinunana, “Maminsan pay,” ket inaramidda ti imbilinna nga aramidenda.
Akasema tena fanyeni hivyo mara ya pili,” nao wakafanya kwa mara ya pili. kisha akasema, “Fanyeni mara ya tatu,” nao wakafanya kwa mara ya tatu.
35 Nagayus ti danum iti likmut ti altar ket napno ti kanal.
Maji yakaizunguka ile madhabahu na kuujaza ule mfereji.
36 Idi dumteng ti oras a panagidaton iti pangrabii a daton, immasideg ni Elias ket kinunana, “O Yahweh a Dios ni Abraham, ni Isaac, ken Israel, ipakaammom ita nga aldaw a sika ti Dios iti Israel, ken siak ti adipenmo, ken inaramidko amin dagitoy a banbanag nga imbilinmo.
Ikawa wakati wa kutoa dhabihu ya jioni, nabii Eliya akasogea na akasema, “BWANA, Mungu wa Abrahamu, na wa Isaka, na wa Israeli, na ijulikane leo kwamba wewe ndiye Mungu wa Israeli, na kwamba mimi ni mtumishi wako, na kwamba nimeyafanya mambo haya yote kwa jina lako.
37 Denggennak, O Yahweh, denggennak, tapno maammoan dagitoy a tattao, a sika O Yahweh, ket Dios, ken insublim manen dagiti pusoda kenka.”
Nisikie, BWANA, nisike, ili hawa watu wajue kuwa wewe, BWANA, ndiye Mungu, na kwamba umeirudisha mioyo yao kwako tena.”
38 Ket nagtinnag ti apuy ni Yahweh ket inkisapna ti daton a mapuoran, agraman dagiti kayo, dagiti batbato, ken ti tapok ken pinagmagana dagiti danum nga adda iti kanal.
Ndipo moto wa BWANA ukashuka ukairamba ile sadaka, pamoja na zile kuni, mawe na mavumbi, na kuyaramba yale maji yaliyokuwa kwenye ule mfereji.
39 Idi nakita dagiti amin a tattao daytoy, nagpaklebda ket kinunada, “Ni Yahweh ti Dios! Ni Yahweh ti Dios!”
watu wote walipoona haya, wakalala kifudifudi chini wakasema, “BWANA, ndiye Mungu! BWANA ndiye Mungu!
40 Isu a kinuna ni Elias kadakuada, “Tiliwenyo dagiti profeta ni Baal. Saanyo nga ipalubos nga adda uray maysa a makalibas kadakuada.” Innalada ngarud ida ket inyapan ni Elias dagiti profeta ni Baal iti waig ti Kison ket pinatayna ida sadiay.
Kwa hiyo Eliya akawaambia, “Wakamateni manabii wa Baali. Msimwache hata mmoja wao atoroke.” Kwa hiyo wakawakamata, na Eliya akawaleta manabii wa Baali chini kwenye kijito cha Kishoni na akawaua huko.
41 Kinuna ni Elias kenni Ahab, “Tumakderka, manganka ken uminomka, ta mangngegko ti daranudor ti napigsa a tudo.”
Eliya akamwambia Ahabu, “Inuka, ule na kunywa, kwa kuwa kuna sauti ya mvua kubwa.”
42 Isu a napan ni Ahab tapno mangan ken uminom. Ket simmang-at ni Elias iti tuktok ti Carmel, indumogna ti rupana iti nagbaetan dagiti tumengna.
Kwa hiyo Ahabu akaenda akala na knywa. Kisha Eliya akaenda juu ya mlima Kameli, akasudu chini na akaweka uso wake katikati ya magoti.
43 Kinuna ni Elias iti adipenna, “Sumang-atka ita, tannawagam ti baybay.” Simmang-at ti adipenna ket kimmita ket kinunana, “Awan pulos ti nakitak.” Isu a kinuna ni Elias, “Mapanka manen, iti maminpito a daras.”
Akamwambia mtumishi wake, “Nenda sasa, utazame upande wa bahari.” mtumishi wake akaenda na akasema, “Hakuna kitu,” Eliya akamwambia, “Nenda tena, mpaka mara saba.”
44 Iti maikapito a daras, kinuna ti adipen, “Kitaem, adda ulep nga agpangpangato manipud iti baybay, a kas iti kabassit ti dakulap ti maysa a tao.” Insungbat ni Elias, “Sumang-atka ket ibagam kenni Ahab, 'Isaganam ti karwahem ket sumalogkan sakbay a pasardengennaka ti tudo iti panagawidmo.'”
Ile mara ya saba mtumishi wake akasema, “Tazama, kuna wingu linapanda kutoka baharini, ni dogo kama mkono wa mtu.” Eliya akamjibu, Nenda ukamwambie Ahabu, 'Andaa gari lako na ushuke kabla mvua haijakuzuia.'”
45 Ket napasamak nga iti apagbiit, nanglangeb ti tangatang nga addaan kadagiti ulep ken angin, ket nagtudo iti napigsa. Limmugan ni Ahab ket napan idiay Jezreel,
Ikatokea baada ya muda mfupi mbingu zikawa nyeusi kwa mawingu na upepo, na kulikuwa na mvua kubwa. Ahabu akapanda gari akaenda zake Yezreeli,
46 ngem adda kenni Elias ti pannakabalin ni Yahweh. Binareksanna ti kagayna ket nagtaray agingga a naun-unaanna ni Ahab a dimmanon iti pagserkan ti Jezreel.
lakini mkono wa BWANA ulikuwa juu ya Eliya. Akalikaza vazi lake kwa mshipi wake na akakimbia mbele ya Ahabu kwenye lango la Yezreeli.

< 1 Ar-ari 18 >