< 1 Cronicas 9 >

1 Isu a nailista dagiti amin a kapuonan ti Israel. Nailista dagitoy iti Libro dagiti Ari ti Israel. No maipapan iti Juda, naipanda a kas balud idiay Babilonia gapu iti basolda.
Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao. Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli. Yuda, walipelekwa matekani Babylon kwasababu ya dhambi zao.
2 Ti immuna a nagnaed kadagiti siudadda ket dagiti sumagmamano nga Israelita, papadi, dagiti Levita, ken dagiti agserserbi iti templo.
Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.
3 Nagnaed idiay Jerusalem dagiti sumagmamano a kaputotan da Juda, Benjamin, Efraim, ken Manases.
Baadhi ya uzao wa Yuda, Benjamin, Efraimu, na Manase waliishi Yerusalemu.
4 Karaman kadagiti agnanaed ni Utai nga anak ni Ammihud nga anak ni Omri nga anak ni Bani, maysa kadagiti kaputotan ni Perez nga putot ni Juda.
Wahamiaji walijumusha Uthai mwana wa Ammihudi mwana wa Omri mwana wa Bani, moja ya uzao wa Perezi mwana wa Yuda.
5 Dagiti Silonitas ket ni Asaias nga inauna ken dagiti putotna.
Kati ya Mashilonite kulikuwa na Asaia mtoto wa kwanza na wana wake.
6 Dagiti kaputotan ni Zera ket ni Jeuel. 690 ti bilang dagiti kaputotanda.
Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.
7 Dagiti kaputotan ni Benjamin ket ni Sallu a putot ni Mesullam a putot ni Hodavia a putot ni Hassenua.
Katika uzao Benjamini walikuwa Salu mwana wa Meshulamu mwana wa hodavia mwana wa Hssenua.
8 Kasta met ni Ibnias a putot ni Jeroham; ni Ela a putot ni Uzzi a putot ni Mikri; ken ni Messulam a putot ni Sefatian a putot ni Reuel a putot ni Abniha.
Pia walikuwa Ibneia mwana wa Yerohamu; Ela mwana wa Uzzi mwana wa Mikri; na Meshullam mwana wa Shefatia mwana waReuli mwana wa Ibnija.
9 956 ti bilang dagiti kabagianda a naisurat iti listaan dagiti kapuonanda. Amin dagitoy a lallaki ket mangidadaulo kadagiti puli dagiti kapuonanda.
Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
10 Dagiti padi ket da Jedayas, Jehiyarib, ken Jakin.
Makuhani walikuwa Yedaia, Yehoiarib, na Yokini.
11 Kasta met ni Azarias a putot ni Hilkias a putot ni Mesullam a putot ni Zadok a putot ni Merayot a putot ni Ahitub, ti mangimatmaton iti balay ti Dios.
Walikuwa pia Azaria mwana wa Hilkia mwana wa Meshullamu mwana wa Zadoki mwana wa Meraioti mwana wa Ahitubi, aliyekuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.
12 Adda ni Adaias a putot ni Jehoram a putot ni Pasur a putot ni Malkias. Adda met ni Maasai a putot ni Adiel ken Jazera a putot ni Mesullam a putot ni Mesillimet a putot ni Immer.
Kulikuwa na Adaia mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkija. Pia kulikuwa na Maasai mwanawa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemiti mwana wa Imma.
13 1, 760 ti bilang dagiti kabagianda a mangidadaulo kadagiti puli dagiti kapuonanda. Tumutop unay dagitoy a lallaki iti trabaho iti balay ti Dios.
Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.
14 Kadagiti Levita, adda ni Semaias a putot ni Hassub a putot ni Azkiram a putot ni Hasabias, a kaputotan ni Merari.
Kati ya Walawii, kulikuwa na Shemaia mwana wa Hashubu mwana wa Azrikam mwana wa Hashabia, kati ya uzao wa Merari.
15 Mairaman pay da Bakbakkar, Heres, Galal, ken Mattanias nga a putot ni Mica a putot ni Zikri a putot ni Asaf.
Walikuwako pia Bakbakari, Hereshi, Galali, na Mattania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu.
16 Adda met ni Obadias a putot ni Semaias a putot ni Galal a putot ni Jeduton; ken ni Berekias a putot ni Asa a putot ni Elkana, a nagnaed kadagiti bario dagiti Nethofatitos.
Walikuwako pia Obadia mwana wa Shemaia mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyeishikatika vijiji vya Netophathites.
17 Dagiti agbanbantay iti ruangan ket da Sallum, Akkub, Talmun, Ahiman ken dagiti kaputotanda. Ni Sallum ti mangidadaulo kadakuada.
Walinzi wa lango walikuwa Shalumu, Akubi, Talimoni, Ahimani, na uzao wao. Shalumu alikuwa kiongozi wao.
18 Timmakderda idi a kas guardia iti ruangan ti ari iti daya a paset a para iti kampo dagiti kaputotan ni Levi.
Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.
19 Ni Sallum a putot ni Kore a putot ni Ebiasaf a putot ni Kora, ken dagiti kakabsatna, kadagiti puli ti amana, dagiti Koraitas ket nadutokan nga agtrabaho iti templo ken agbantay kadagiti pagserkan iti tolda. Agsipud ta dagiti kapuonanda ket nagbalin a guardia iti pagserkan ti templo ni Yahweh.
Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, ambaye kama mwana wa Kora, na ndugu zake kutoka nyumba ya baba yake, Korahite, alikuwa na mamlaka kwa kazi ya huduma, Walilinda mlango wa hema, kama mababu zao walivyolinda kambi ya Yawehi, na pia walilinda lango la kuingilia.
20 Ni Finees a putot ni Eleazar ti nangimaton idi kadakuada, ket adda idi ni Yahweh kenkuana.
Finehasi mwana wa Eleaza aliwaongoza kipindi cha nyuma, na Yahwehi alikuwa pamoja nae.
21 Ni Zakarias a putot ni Meselemias ti agbanbantay iti pagserkan ti Templo, ti “tolda ti pakiumanan.”
Zekaria mwana wa Meshelemia alikua mlinzi katika mlango wa kuingilia hekalu, “eneo la kukutania.”
22 212 ti bilang dagiti amin a napili nga agbantay ti ruangan dagiti pagserkan. Naisurat dagiti naganda iti listaan dagiti tattao kadagiti barrioda. Ni David ken ni Samuel a profeta ti nangdutok kadakuada iti mapagtalkan a saadda.
Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu.
23 Isuda ngarud ken dagiti annakda ti nagbantay kadagiti ruangan iti balay ni Yahweh, ti tabernakulo.
Kwa hivyo wao na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.
24 Nakapuesto dagiti agbanbantay iti ruangan kadagiti uppat a suli, a nakasango iti daya, laud, amianan, ken abagatan.
Walinzi wa mageti waliwekwa katika pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini.
25 Dagiti kakabsatda nga agnanaed kadagiti barrioda ket immay iti pito nga aldaw a panagsisinnukatda iti batang.
Kaka zao, walioishi kwenye vijiji vyao, walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba.
26 Ngem dagiti uppat a Levita a mangidadaulo kadagiti agbanbantay iti ruangan ket nadutokan nga agbantay kadagiti siled ken kamalig iti balay ti Dios.
Lakini viongozi wanne wa walinzi, ambao walikwa walawi, walipangiwa kulinda vyumba na vyumba vya kuhifadhi katika nyumba ya Mungu.
27 Agpatpatnagda iti puestoda iti aglawlaw ti balay ti Dios, ta pagrebbenganda a bantayan daytoy. Binigat a lukatanda daytoy.
Walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu, kwao ilikuwa ni wajibu wao kulinda. Na walifungua geti kila asubuhi.
28 Dagiti dadduma kadakuada ti akinrebbeng kadagiti alikamen ti templo; bilangenda dagiti alikamen no maisserrek ken mairuar dagitoy.
Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa; walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje.
29 Nadutokan met dagiti dadduma kadakuada a mangaywan kadagiti nasantoan a banbanag, alikamen, ken dagiti kasapulan, agraman ti kasayaatan nga arina, arak, lana, insenso ken dagiti rekado.
Baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu, kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.
30 Dadduma kadagiti annak dagiti papadi ti mangilaok kadagiti rekado.
Baadhi ya wana wa makuhani walichanganya uvumba.
31 Ni Matitias, maysa kadagiti Levita, nga inauna nga anak ni Sallum a Koraita, ti akinrebbeng a mangisagana iti tinapay a daton.
Matithia, mmoja wa walawi, ambaye alikuwa mtoto wa kwanza wa Shalumu wa Wakorahi, alikuwa na wajibu wa kuandaa mikate kwa ajili ya sadaka.
32 Dagiti dadduma kadagiti kakabsatda, a kaputotan ni Kohat, ti akinrebbeng a mangisagana kadagiti nasagradoan a tinapay iti tunggal Aldaw a Panaginana.
Baadhi ya kaka zao, uzao wa kohathite, waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.
33 Nagnaed dagiti kumakanta ken ti pamilia dagiti mangidadaulo a Levita kadagiti siled iti santuario no nawan iti trabahoda, gapu ta masapul nga aramidenda ti naidutok a trabahoda iti aldaw ken rabii.
Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.
34 Dagitoy dagiti mangidadaulo iti pamilia dagiti Levita, a nailista iti listaan dagiti kapuonanda. Nagnaedda idiay Jerusalem.
Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao. Waliishi Yerusalemu.
35 Nagnaed iti Gabaon ni Jeiel nga ama ni Gabaon, a Maaca ti nagan ti asawana.
Baba wa Gibeoni, Yeiel, ambaye mkewe aliitwa Maaka, aliishi Gibeoni.
36 Ni Abdon ti inauna nga anakna, sinaruno da Zur, Kis, Baal, Ner Nadab,
Mtoto wake wa kwanza alikuwa Abdoni, alafu wana wake Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
37 Gedor, Ahio, Zacarias, ken Miklot.
Gedori, Ahio, Zekaria, na Mikloti.
38 Ni Miklot ti ama ni Simea. Nagnaedda met iti asideg dagiti kakabsatda idiay Jerusalem.
Mikloti alikuwa baba wa Shimeamu. Pia waliishi karibu na kaka yao huko Yerusalemu.
39 Ni Ner ti ama ni Kis. Ni Kis ti ama ni Saul. Ni Saul ti ama da Jonatan, Malkisua, Abinadab, ken ni Isbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
40 Ti anak ni Jonatan ket ni Merib Baal. Ni Merib Baal ti ama ni Mica.
Mwana wa Jonathani alikuwa Merib baali. Merib baali alikuwa baba wa Mika.
41 Dagiti putot ni Mica ket da Piton, Melek, Tarea ken Ahaz.
Mwana wa Mika walikuwa pithoni, Meleki, Tahrea, na ahazi.
42 Ni Ahaz ti ama ni Jara. Ni Jara ti ama ni Alemet, Azmavet, ken ni Zimri. Ni Zimri ti ama ni Moza.
Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
43 Ni Moza ti ama ni Binea. Ni Binea ti ama ni Refaias. Ni Refaias ti ama ni Eleasa. Ni Eleasa ti ama ni Azel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. eleasa alikuwa baba wa Azeli.
44 Dagiti innem a putot ni Azel ket da Azkiram, Bokeru, Ismael, Searias, Obadias, ken Hanan. Dagitoy dagiti putot ni Azel.
Wana sita wa Azeli walikuwa Azrikamu, Bochera, Ishmaeli, shearia, Obdia, na Hanani. hawa walikuwa wana wa Azeli

< 1 Cronicas 9 >