< 1 Cronicas 22 >
1 Ket kinuna ni David, “Ditoyto ti pakaipatakderan ti balay ni Yahweh a Dios, agraman ti altar para kadagiti daton a naan-anay a mapuoran nga idatag ti Israel.”
Ndipo Daudi akasema, “Nyumba ya Bwana Mungu itakuwa mahali hapa, pia pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.”
2 Binilin ngarud ni David dagiti adipenna nga ummongenda dagiti gangannaet nga agnanaed iti daga ti Israel. Dinutokanna ida a paratikap kadagiti bato tapno maipatakder ti balay ni Yahweh.
Kwa hiyo Daudi akatoa amri wakusanyike wageni wote waliokuwa wanaishi Israeli, na kutoka miongoni mwao akaweka waashi ili kuchonga mawe kwa ajili ya kujenga nyumba ya Mungu.
3 Nangted ni David iti adu a landok tapno maaramid a lansa nga agpaay kadagiti ridaw dagiti pagserkan, ken para kadagiti bisagra. Nangted pay isuna iti adu a bronse a saan a matimbang
Daudi akatoa chuma tele ili kutengenezea misumari kwa ajili ya mafungo ya malango ya nyumba na shaba tele isiyopimika.
4 ken adu a kayo ti sedro a saan a mabilang. (Nangiyeg dagiti taga-Sidon ken taga-Tiro kenni David iti adu unay a tabla ti sedro.)
Pia akatoa magogo ya mierezi yasiyohesabika, kwa kuwa Wasidoni na Watiro walikuwa wamemletea Daudi idadi kubwa ya mierezi.
5 Kinuna ni David, “Ubing pay ken awan pay kapadasanna ti anakko a ni Solomon, ket masapul a naisangsangayan ti kinapintas ti balay a maipatakder para kenni Yahweh, tapno agbalin a nalatak ken nadayag kadagiti amin a sabali a daga. Isu nga isaganak ti pannakaipatakder daytoy.” Kasta unay ngarud ti inaramid ni David a panagsagana sakbay ti ipapatayna.
Daudi akasema, “Mwanangu Solomoni bado ni mdogo wa umri na hana uzoefu. Nyumba itakayojengwa kwa ajili ya Bwana inatakiwa iwe yenye uzuri mwingi na sifa na fahari mbele ya mataifa yote. Kwa hiyo nitaifanyia matayarisho.” Daudi akafanya matayarisho makubwa kabla ya kifo chake.
6 Pinaayabanna ngarud ni Solomon nga anakna ket binilinna a mangipatakder iti balay nga agpaay kenni Yahweh a Dios ti Israel.
Kisha akamwita Solomoni mwanawe akamwagiza kujenga nyumba kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli.
7 Kinuna ni David kenni Solomon, “Anakko, pinanggepko a siak ti mangipatakder iti balay para iti nagan ni Yahweh a Diosko.
Daudi akamwambia Solomoni: “Mwanangu, nilikuwa na jambo hili ndani ya moyo wangu kujenga nyumba kwa ajili ya Jina la Bwana Mungu wangu.
8 Ngem immay kaniak ni Yahweh a kunana, 'Nangpasayasayka iti adu a dara ken nakirangetka iti adu a gubat. Saanka a mangipatakder iti maysa a balay nga agpaay iti naganko, gapu ta nangpasayasayka iti adu a dara iti daga iti imatangko.
Lakini neno hili la Bwana likanijia, kusema: ‘Wewe umemwaga damu nyingi na kupigana vita vingi. Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya Jina langu, kwa sababu umemwaga damu nyingi juu ya nchi machoni pangu.
9 Nupay kasta, maaddaankanto iti anak a lalaki nga addaan kapia. Ikkakto isuna iti inana kadagiti amin a kabusorna iti amin a disso. Ta ti nagannanto ket Solomon, ket ipaaykonto ti kapia ken talna iti Israel kadagiti al-aldawna.
Lakini utakuwa na mwana ambaye atakuwa mtu wa amani na utulivu nami nitampa utulivu mbele ya adui zake wote pande zote. Jina lake ataitwa Solomoni, nami nitawapa Israeli amani na utulivu wakati wa utawala wake.
10 Mangipatakderto isuna iti balay nga agpaay iti naganko. Agbalinto isuna nga anakko ken siakto ti amana. Patibkerekto iti agnanayon ti trono ti pagarianna iti entero nga Israel.”'
Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu. Yeye atakuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake. Nami nitakifanya imara kiti chake cha enzi cha utawala wake katika Israeli milele.’
11 Ita, anakko, adda koma a kanayon ni Yahweh kenka ken pagballigiennaka. Ipatakdermo koma ti balay ni Yahweh a Diosmo, kas imbagana nga aramidem.
“Sasa, mwanangu, Bwana awe pamoja nawe, nawe uwe na mafanikio upate kuijenga nyumba ya Bwana Mungu wako, kama alivyosema utafanya.
12 Ni Yahweh laeng ti mangted kenka iti pannakaammo ken pannakaawat, tapno matungpalmo ti linteg ni Yahweh a Diosmo, inton isaadnaka a mangidaulo iti entero nga Israel.
Bwana na akupe hekima na ufahamu wakati atakuweka juu ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya Bwana Mungu wako.
13 Ket agballigikanto, no tungpalem a naimbag dagiti paglintegan ken bilin nga inted ni Yahweh kenni Moises maipapan iti Israel. Bumilegka ken tumuredka. Saanka nga agbuteng ken maupay.
Ndipo utakapofanikiwa, ikiwa utakuwa na bidii kutii amri na sheria Bwana alizompa Mose kwa ajili ya Israeli. Uwe hodari na ushujaa. Usiogope wala usikate tamaa.
14 Ita, kitaem, inkarigatak nga insagana para iti balay ni Yahweh ti 100, 000 a talento ti balitok, maysa a milion a talento ti pirak, adu a bronse ken landok. Nangisaganaak pay iti kayo ken bato. Masapul a nayunam pay dagitoy.
“Nimejitaabisha sana ili kupata mahitaji kwa ajili ya Hekalu la Bwana: talanta 100,000 za dhahabu, talanta 1,000,000 za fedha na kiasi kisichopimika cha shaba na chuma, pia mbao na mawe. Nawe waweza kuviongeza.
15 Adu dagiti trabahador a kaduam: dagiti paratikap iti bato, dagiti kumakabite, karpentero, ken dagiti saan a mabilang a nalalaing a kumikitikit iti aniaman a kita,
Unao wafanyakazi wengi: Wachonga mawe, waashi na maseremala, pamoja na watu walio na ustadi katika kila kazi
16 a makabael a mangtrabaho iti balitok, pirak, bronse ken landok. Isu a rugiamon ti agtrabaho, ket ni Yahweh koma ti makikaadda kenka.”
wa kufua dhahabu, fedha, shaba na chuma, mafundi wasiohesabika. Sasa basi anza kazi hii, naye Bwana awe pamoja nawe.”
17 Binilin pay ni David dagiti amin a mangidadaulo ti Israel a tulonganda ni Solomon nga anakna, a kunana,
Kisha Daudi akawaamuru viongozi wote wa Israeli wamsaidie Solomoni mwanawe.
18 “Kaduayo ni Yahweh a Diosyo ket inikkannakayo iti kappia iti amin a disso. Impaimana kaniak dagiti agnanaed iti rehion. Ti rehion ket naparmek iti sangoanan ni Yahweh ken dagiti tattaona.
Akawaambia, “Je, Bwana Mungu wenu si yuko pamoja na ninyi? Pia si amewapa raha pande zote? Kwa maana amewatia wenyeji wa nchi mkononi mwangu, nayo nchi iko chini ya Bwana na watu wake.
19 Ita, sapulenyo ni Yahweh a Diosyo iti amin a puso ken kararuayo. Agsaganakayo a mangibangon iti nasantoan a lugar ni Yahweh a Dios. Kalpasanna, mabalinyo nga iyeg ti lakasa ti tulag ni Yahweh ken dagiti banbanag a kukua ti Dios iti balay a naipatakder para iti nagan ni Yahweh.”
Sasa itoeni mioyo yenu na nafsi zenu katika kumtafuta Bwana Mungu wenu. Anzeni kujenga Maskani ya Bwana Mungu, ili mweze kulileta Sanduku la Agano la Bwana na vyombo vitakatifu vya Mungu katika Hekalu litakalojengwa kwa ajili ya Jina la Bwana.”