< 1 Cronicas 18 >

1 Kalpasan daytoy, napasamak a rinaut ni David dagiti Filisteo ket pinarmekna ida. Sinakupna ti Gat ken dagiti bariona manipud iti panangituray dagiti Filisteo.
Baada ya haya Daudi akawashambulia Wafilisti na kuwashinda. Alichukuwa Gathi na vijiji vyake katika utawala wa Wafilisti.
2 Kalpasanna, pinarmekna ti Moab, ket nagbalin a tagabu ni David dagiti Moabita ket nagbayadda kenkuana iti buis.
Kisha akamshinda Moabu, na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na wakamlipa ushuru maalumu.
3 Kalpasanna, pinarmek ni David ni Adadezer nga ari ti Soba idiay Hamat, bayat nga agdaldaliasat ni Adadeser tapno rugianna nga iturayan ti asideg ti Karayan Eufrates.
Daudi kisha akamshinda Hadadezeri, mfalme wa Zoba huko Hamathi, wakati Hadadezeri alipo kuwa akisafiri kuimarisha utawala wake kwa Mto wa Frati.
4 Innala ni David manipud kenkuana ti sangaribu a karuahe, pitoribu a kumakabalio ken duapulo a ribu a magmagna a soldado. Pinilay ni David dagiti amin a kabalio a mangguyguyod kadagiti karuahe, ngem nangilasin iti umdas kadakuada para iti sangagasut a karuahe.
Daudi akateka magari ya farasi elfu, wanaume wa farasi elfu saba, na wanajeshi wa miguu elfu ishirini. Daudi aliwajeruhi farasi wote wagari, lakini akahifadhi baadhi kwa ajili ya magari ya farasi mia moja.
5 Idi dimteng dagiti Arameo iti Damasco tapno tulonganda ni Adadeser nga ari ti Soba, pinatay ni David ti duapulo ket dua a ribu a lallaki nga Arameo.
Waaramia wa Damasko walipo kuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Zoba, Daudi aliua wanaume elfu ishirini na mbili wa Kiaramia.
6 Kalpasanna, nangipatakder ni David iti kampo dagiti soldado idiay Aram iti Damasco, ket nagbalin a adipenna dagiti Arameo ket nagbayadda kenkuana iti buis. Pinagballigi ni Yahweh ni David iti sadinoman a papananna.
Kisha Daudi akaweka vikosi huko Aramu ya Damasko, na Waaramia wakawa watumishi wake na wakamletea ushuru maalaumu. Yahweh alimpatia Daudi ushindi popote alipoenda.
7 Innala ni David dagiti balitok a kalasag a nakasuot kadagiti adipen ni Adadeser ket impanna dagitoy idiay Jerusalem.
Daudi alichukua ngao za dhahabu zilizo kuwa kwa watumishi wa Hadadezeri na kuleta Yerusalemu.
8 Adu unay a bronse ti naala ni David manipud idiay Tibhat ken Cun, dagiti siudad ni Adadeser. Daytoy a bronse ti inaramid ni Solomon a dakkel a palanggana, dagiti adigi, ken dagiti bronse nga alikamen.
Kutoka Tibhathi na Kuni, miji ya Hadadezeri, Daudi alichukuwa shaba nyingi sana. Ilikuwa shaba hii ambayo baadae Sulemani alifanya saani ya shaba, nguzo, na vifaa vya shaba.
9 Idi nanggeg ni Toi nga ari ti Hamat a naparmek ni David dagiti amin nga armada ni Adadeser nga ari ti Soba,
Wakati Toi, mfalme wa Hamathi, alipo sikia kuwa Daudi ameshinda majeshi yote ya Hadadezeri mfalme wa Zoba,
10 imbaon ni Toi ni Hadoram a putotna a lalaki kenni David tapno kablaawan ken bendisionanna isuna, gapu ta kinaranget ken pinarmek ni David ni Adadeser, ken gapu ta ginubat ni Adadeser ni Toi. Nangitugot ni Hadoram kadagiti banbanag a naaramid iti pirak, balitok ken bronse.
Toi akamtuma Hadoramu mwanae kwa Mfalme Daudi kumsalimia na kumbariki, kwasababu Daudi amepigana na Hadadezeri na kumshinda, na kwasababu Hadadezeri alifanya vita na Toi. Hadoramu alipeleka vifaa vya fedha, dhahabu, na shaba.
11 Indaton ni Ari David dagitoy a banbanag kenni Yahweh, agraman dagiti pirak ken ti balitok nga innalana kadagiti amin a nasion: iti Edom, Moab, kadagiti amin a tattao ti Ammon, dagiti Filisteo, ken Amalek.
Mfalme Daudi alivitenga hivi vitu kwa ajili ya Yahweh, pamoja na fedha na dhahabu aliyo ibeba kutoka kwa mataifa yote: Edomu, Moabu, watu wa Amoni, Wafilisti, na Waamaleki.
12 Pinatay ni Abisai nga anak ni Sarvia ti sangapulo ket walo a ribu nga Edomita idiay tanap ti Asin.
Abishai mwana wa Zeruia akawaua Waedomi elfu kumi na nane katika Bonde la Chumvi.
13 Nangipatakder isuna iti kampo dagiti soldado idiay Edom, ket nagbalin nga adipen ni David dagiti amin nga Edomita. Pinagballigi ni Yahweh ni David iti sadinoman a papananna.
Alieka vikosi huko Edomu, na Waedomi wote wakawa watumishi wa Daudi. Yahweh alimpa Daudi ushindi pote alipoenda.
14 Inturayan ni David ti entero nga Israel, ket impatungpalna ti hustisia ken kinalinteg kadagiti amin a tattaona.
Daudi alitawala Israeli yote, na alitenda haki na utaua kwa watu wote.
15 Ni Joab nga anak ni Sarvia ti pangulo ti armada ken ni Jehosafat a putot ni Ahilud ti agilislista.
Yoabu mwana wa Zeruia walikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mtunza kumbukumbu.
16 Da Zadok a putot a lalaki ni Ahitub ken ni Abimelec a putot a lalaki ni Abiatar ket papadi, ken ni Sausa ket eskriba.
Zadoki mwana wa Ahitubi na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Shavisha alikuwa mwandishi.
17 Ni Benaias a putot ni Jahoiada ti pangulo dagiti Ceretos ken Feleteos, ken dagiti putot a lallaki ni David ti kangrunaan a mammagbaga iti ari.
Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwangalizi wa Wakerethi na Wapelethi, na wana wa Daudi walikuwa washauri wakuu wa mfalme.

< 1 Cronicas 18 >