< Sálmarnir 64 >
1 Ó, Drottinn, hlustaðu á neyðaróp mitt, verndaðu mig!
Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
2 því að hópur af þorpurum og bófum hafa gert samsæri gegn mér.
Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
3 Orð þeirra eru eins og rýtingur í bakið. Þeir hvæsa á mig og nísta hjarta mitt.
Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
4 Þeir senda mér kaldar kveðjur úr launsátri, vinna verk sín í skyndi, eru hvergi smeykir.
ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
5 Þeir sitja á svikráðum. Hittast á laun og leggja gildrur fyrir aðra. „Þetta sér enginn, “segja þeir.
Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
6 Þeir upphugsa ill verk og segja „Nú er allt klappað og klárt!“Hjörtu þeirra fyllast illsku og svikum.
Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
7 En Guð mun slá þá til jarðar. Eins og hendi sé veifað hittir örin þá
Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
8 Tunga þeirra verður þeim að falli. Menn hrista höfuðið yfir þeim og
Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
9 ótta slær á alla. Þeir játa mikilleik Guðs og hans voldugu verk, gefa gætur að því sem hann gerir.
Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
10 En hinir trúuðu munu fagna í Drottni, leita hjálpar hans og hrósa sigri með honum.
Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.