< 4 Mózes 29 >
1 A hetedik hónapban, a hónap elsején szent gyülekezés legyen nálatok; semmi szolgai munkát ne végezzetek, a harsonariadás napja legyen az nektek.
Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
2 És készítsetek égőáldozatot kellemes illatul az Örökkévalónak: egy fiatal tulkot, egy kost, hét egyéves juhot, épeket.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
3 És ételáldozatuk gyanánt lánglisztet, elegyítve olajjal, három tizedet a tulokhoz, két tizedet a koshoz;
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
4 és egy tizedet egy juhhoz, a hét juhhoz.
na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
5 És egy kecskebakot vétekáldozatnak, hogy engesztelést szerezzen értetek.
Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
6 Az újhold égőáldozatán és annak ételáldozatán kívül, meg az állandó égőáldozaton és ételáldozatán kívül, és italáldozatukat rendeletük szerint, kellemes illatul, tűzáldozat az Örökkévalónak.
Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
7 És tizedikén ennek a hetedik hónapnak szent gyülekezés legyen nálatok, sanyargassátok magatokat, semmi munkát ne végezzetek.
Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
8 Mutassatok be égőáldozat gyanánt az Örökkévalónak kellemes illatul: egy fiatal tulkot, egy kost, hét egyéves juhot, épek legyenek nálatok.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
9 És ételáldozatuk gyanánt lánglisztet, olajjal elegyítve, három tizedet egy tulokhoz, két tizedet egy koshoz;
Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
10 egy-egy tizedet egy juhhoz, a hét juhhoz.
na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
11 Egy kecskebakot vétekáldozatnak; az engesztelés vétekáldozatán kívül és az állandó égőáldozaton és ételáldozatán, meg italáldozataikon kívül.
Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
12 És tizenötödik napján a hetedik hónapnak, szent gyülekezés legyen nálatok, semmi szolgai munkát ne végezzetek, üljetek ünnepet az Örökkévalónak hét napig.
Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
13 És mutassatok be égőáldozatot kellemes illatú tűzáldozat gyanánt az Örökkévalónak: tizenhárom fiatal tulkot, két kost, tizennégy egyéves juhot, épek legyenek.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
14 És ételáldozatuk gyanánt lánglisztet, elegyítve olajjal, három tizedet egy tulokhoz, a tizenhárom tulokhoz, két tizedet egy koshoz, a két koshoz;
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
15 és egy tizedet egy juhhoz, a tizennégy juhhoz.
na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
16 Egy kecskebakot vétekáldozatnak az állandó égőáldozaton, ételáldozatán és italáldozatán kívül.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
17 A második napon pedig tizenkét fiatal tulkot, két kost, tizennégy egyéves juhot, épeket;
Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
18 meg ételáldozatukat és italáldozataikat a tulkokhoz, a kosokhoz és a juhokhoz számukhoz képest, a rendelet szerint.
Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
19 És egy kecskebakot vétekáldozatnak, az állandó égőáldozaton és annak ételáldozatán, meg italáldozataikon kívül.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
20 A harmadik napon pedig tizenegy tulkot, két kost, tizennégy egyéves juhot, épeket;
Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
21 meg ételáldozatukat és italáldozataikat a tulkokhoz, a kosokhoz és a juhokhoz, számukhoz képest, a rendelet szerint.
Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
22 És egy kecskebakot vétekáldozatnak, az állandó égőáldozaton, ételáldozatán és italáldozatán kívül.
Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
23 A negyedik napon pedig tíz tulkot, két kost, tizennégy egyéves juhot, épeket;
Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
24 meg ételáldozatukat és italáldozataikat a tulkokhoz, a kosokhoz és juhokhoz, számukhoz képest, a rendelet szerint.
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
25 És egy kecskebakot vétekáldozatnak, az állandó égőáldozaton, annak ételáldozatán és italáldozatán kívül.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
26 Az ötödik napon pedig kilenc tulkot, két kost, tizennégy egyéves juhot, épeket;
Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
27 meg ételáldozatukat és italáldozataikat a tulkokhoz, a kosokhoz és a juhokhoz, számukhoz képest, a rendelet szerint.
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
28 És egy bakot vétekáldozatnak, az állandó égőáldozaton, ételáldozatán és italáldozatán kívül.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
29 A hatodik napon pedig nyolc tulkot, két kost; tizennégy egyéves juhot, épeket;
Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
30 meg ételáldozatukat és italáldozataikat a tulkokhoz, a kosokhoz és a juhokhoz, számukhoz képest, a rendelet szerint.
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
31 És egy bakot vétekáldozatnak, az állandó égőáldozaton, annak ételáldozatán és italáldozatain kívül.
Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
32 A hetedik napon pedig hét tulkot, két kost, tizennégy egyéves juhot, épeket;
Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
33 meg ételáldozatukat és italáldozataikat a tulkokhoz, a kosokhoz és a juhokhoz, számukhoz képest, a rendelet szerint.
Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
34 És egy bakot vétekáldozatnak az állandó égőáldozaton, annak ételáldozatán és italáldozatán kívül.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
35 A nyolcadik napon pedig záró ünnep legyen nálatok, semmi szolgai munkát ne végezzetek.
Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
36 És mutassatok be égőáldozatul kellemes illatú tűzáldozatot az Örökkévalónak: egy tulkot, egy kost, hét egyéves juhot, épeket;
Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
37 meg ételáldozatukat és italáldozataikat a tulkokhoz, a kosokhoz és a juhokhoz, számukhoz képest, a rendelet szerint.
Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
38 És egy bakot vétekáldozatnak, az állandó égőáldozaton, annak ételáldozatán és italáldozatain kívül.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
39 Ezeket készítsétek el az Örökkévalónak ünnepeiteken; fogadalmaitokon, önkéntes adományaitokon kívül, égőáldozataitok, ételáldozataitok, italáldozataitok és békeáldozataitok szerint.
Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
40 És elmondta Mózes Izrael fiainak mind aszerint, amint parancsolta az Örökkévaló Mózesnek.
Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.