< Jób 26 >
2 Mint gyámolítottad a tehetetlent, segítetted az erőtlennek karját!
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 Mit tanácsoltál a bölcsességtelennek s valódi tudást bőven ismertettél!
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4 Kinek adtál tudtul szavakat s kinek szelleme fakadt belőled?
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
5 Az árnyak megreszketnek alul a vizeken és lakóikon.
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6 Meztelen az alvilág ő előtte s takarója az enyészet neki. (Sheol )
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
7 Kiterjeszti az Északot az űr fölé, lebegteti a földet a semmiségen;
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8 beköti a vizet felhőibe, s nem hasad meg felleg alatta;
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9 befogja a trón felszínét, kiterítette reá fellegét.
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
10 Határt vont a vizek színén odáig, hol vége van a világosságnak a sötétség mellett.
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
11 Az ég oszlopai megrázkódnak s elámulnak dorgálásától.
Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
12 Erejével felkavarta a tengert s értelmével összezúzta, Ráhábot.
Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
13 Fuvallata által derültté válik az ég, átszúrta keze a futó kígyót.
Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
14 Lám, ezek útjainak szélei, mily csekély nesz az, a mit róla hallunk, de hatalmának dörgését ki foghatja föl!
Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”