< भजन संहिता 120 >
1 १ यात्रा का गीत संकट के समय मैंने यहोवा को पुकारा, और उसने मेरी सुन ली।
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
2 २ हे यहोवा, झूठ बोलनेवाले मुँह से और छली जीभ से मेरी रक्षा कर।
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
3 ३ हे छली जीभ, तुझको क्या मिले? और तेरे साथ और क्या अधिक किया जाए?
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4 ४ वीर के नोकीले तीर और झाऊ के अंगारे!
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5 ५ हाय, हाय, क्योंकि मुझे मेशेक में परदेशी होकर रहना पड़ा और केदार के तम्बुओं में बसना पड़ा है!
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6 ६ बहुत समय से मुझ को मेल के बैरियों के साथ बसना पड़ा है।
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7 ७ मैं तो मेल चाहता हूँ; परन्तु मेरे बोलते ही, वे लड़ना चाहते हैं!
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.