< 1 इतिहास 1 >

1 आदम, शेत, एनोश,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 केनान, माहालालेल, यारेद,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 हनोख, मेथुसेलाह, लामेख, नोआ.
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 नोआ के पुत्र: शेम, हाम और याफेत.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 याफेत के पुत्र: गोमर, मागोग, मेदिया, यावन, तूबल, मेशेख तथा तिरास थे.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 गोमर के पुत्र: अश्केनाज, रिफात तथा तोगरमाह थे.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 यावन के पुत्र: एलिशाह, तरशीश, कित्तिम तथा दोदानिम थे.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 हाम के पुत्र: कूश, मिस्र, पूट तथा कनान हुए.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 कूश के पुत्र: सेबा, हाविलाह, सबताह, रामाह और सबतेका. रामाह के पुत्र: शीबा और देदान.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 कूश उस निमरोद का पिता था जो पृथ्वी पर पहले वीर व्यक्ति के रूप में मशहूर हुआ.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 मिस्र के पुत्र: लूदिम, अनामिम, लेहाबिम, नाफतुहि,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 पथरूस, कस्लूह और काफ़तोर (जिनसे फिलिस्तीनी राष्ट्र निकले).
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 कनान का पहला पुत्र सीदोन फिर हित्ती,
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 यबूसी, अमोरी, गिर्गाशी,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 हिव्वी, आरकी, सीनी,
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 अरवादी, ज़ेमारी और हामाथी.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 शेम के पुत्र: एलाम, अशहूर, अरफाक्साद, लूद तथा अराम थे. अराम के पुत्र: उज़, हूल, गेथर तथा मेशेख थे.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 अरफाक्साद शेलाह का पिता था, शेलाह एबर का.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 एबर के दो पुत्र हुए: एक का नाम पेलेग, क्योंकि उनके समय में पृथ्वी का बंटवारा हुआ. उनके भाई का नाम योकतान था.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 योकतान के पुत्र: अलमोदाद, शेलेफ, हासारमेबेथ, जेराह,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 हादरोम, उजाल, दिखलाह,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 ओबाल, अबीमाएल, शीबा,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 ओफीर, हाविलाह और योबाब. ये सभी योकतान के पुत्र थे.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 शेम, अरफाक्साद, शेलाह,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 एबर, पेलेग, रेउ,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 सेरुग, नाहोर, तेराह,
Serugi, Nahori, Tera,
27 अब्राम (अर्थात् अब्राहाम).
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 अब्राहाम के पुत्र थे: यित्सहाक और इशमाएल.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 उनकी वंशावली इस प्रकार है: इशमाएल का पहलौठा था: नेबाइयोथ और दूसरे पुत्र थे, केदार, अदबील, मिबसाम,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 मिशमा, दूमाह, मास्सा, हदद, तेमा,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 येतुर, नाफिश और केदेमाह. ये इशमाएल के पुत्र थे.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 केतुराह जो अब्राहाम की रखैल थी, उसके पुत्र थे: ज़िमरान, योकशान, मेदान, मिदियान, इशबक और शुआह. योकशान के पुत्र थे, शीबा और देदान.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 मिदियान के पुत्र: एफाह, एफ़र, हनोख, अविदा तथा एलदाह थे. ये सब केतुराह से पैदा हुए थे.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 अब्राहाम यित्सहाक के पिता थे. यित्सहाक के पुत्र थे: एसाव और इस्राएल.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 एसाव के पुत्र थे: एलिफाज़, रियुएल, योउश, यालम और कोराह.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 एलिफाज़ के पुत्र थे: तेमान, ओमर, ज़ेफो, गाताम, केनाज़; तिम्ना और अमालेक.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 रियुएल के पुत्र थे: नाहाथ, ज़ेराह, शम्माह और मिज्जाह.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 सेईर के पुत्र थे: लोतन, शोबल, ज़िबेओन, अनाह, दिशोन, एज़र और दिशान.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 लोतन के पुत्र: होरी और होमाम. लोतन की बहन का नाम तिम्ना था.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 शोबल के पुत्र थे: अलवान, मानाहाथ, एबल, शेफो और ओनम. ज़िबेओन के पुत्र: अइयाह और अनाह.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 अनाह का पुत्र था दिशोन. दिशोन के पुत्र: हेमदान, एशबान, इथरान और चेरन.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 एज़र के पुत्र: बिलहान, त्सावन और आकन. दिशान के पुत्र: उज़ और अरान.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 इसके पहले कि इस्राएल पर किसी राजा का शासन होता, एदोम देश पर राज्य करनेवाले राजा ये थे: बेओर का पुत्र बेला, उसके द्वारा शासित नगर का नाम था दिनहाबाह.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 बेला के मरने के बाद, उसके स्थान पर बोज़राहवासी ज़ेराह का पुत्र योबाब राजा बना.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 योबाब के मरने के बाद, उसके स्थान पर तेमानियों के देश का व्यक्ति हुशम राजा बना.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 हुशम के मरने के बाद, उसके स्थान पर बेदद का पुत्र हदद राजा बना. उसने मोआब देश में मिदियानी सेना को हरा दिया. उसके द्वारा शासित नगर का नाम था आविथ.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 हदद के मरने के बाद, उसके स्थान पर मसरेकाह का सामलाह राजा बना.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 सामलाह के मरने के बाद, फरात नदी पर बसे रेहोबोथ का निवासी शाऊल उनके स्थान पर राजा बना.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 शाऊल के मरने के बाद, उसके स्थान पर अखबोर का पुत्र बाल-हनन राजा बना.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 बाल-हनन मरने के बाद, उसके स्थान पर हदद राजा बना. उस नगर का नाम पाऊ था तथा उसकी पत्नी का नाम मेहेताबेल था. वह मातरेद की पुत्री थी और मातरेद मेत्साहब की पुत्री थी.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 तब हदद की भी मृत्यु हो गई. एदोम देश के नायकों के नाम ये है: नायक तिम्ना, अलवाह, यथेथ,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 ओहोलिबामाह, एलाह, पिनोन,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 केनाज़, तेमान, मिबज़ार,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 मगदिएल, इराम. ये सभी एदोम देश के प्रधान हुए.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 इतिहास 1 >