< תהילים 67 >
למנצח בנגינת מזמור שיר אלהים יחננו ויברכנו יאר פניו אתנו סלה׃ | 1 |
Mungu atuhurumie sisi na kutubariki na kufanya nuru ya uso wake ituangazie (Selah)
לדעת בארץ דרכך בכל גוים ישועתך׃ | 2 |
ili kwamba njia zako zijulikane nchi yote, wokovu wako kati ya mataifa yote.
יודוך עמים אלהים יודוך עמים כלם׃ | 3 |
Watu wakusifu wewe, Mungu; watu wote wakusifu wewe.
ישמחו וירננו לאמים כי תשפט עמים מישור ולאמים בארץ תנחם סלה׃ | 4 |
Oh, mataifa wafurahi na na kuimba kwa furaha, maana utawahukumu watu kwa haki na kuwaongoza mataifa walioko duniani.
יודוך עמים אלהים יודוך עמים כלם׃ | 5 |
Watu wakushukuru wewe, Mungu; watu wote wakusifu wewe.
ארץ נתנה יבולה יברכנו אלהים אלהינו׃ | 6 |
Nchi imetoa mavuno yake na Mungu, Mungu wetu, ametubariki.
יברכנו אלהים וייראו אתו כל אפסי ארץ׃ | 7 |
Mungu ametubariki sisi, na miisho yote ya dunia itamuheshimu yeye.