< תהילים 121 >
שיר למעלות אשא עיני אל ההרים מאין יבא עזרי׃ | 1 |
Wimbo wa kwenda juu. Nayainua macho yangu nitazame vilima, msaada wangu utatoka wapi?
עזרי מעם יהוה עשה שמים וארץ׃ | 2 |
Msaada wangu hutoka kwa Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
אל יתן למוט רגלך אל ינום שמרך׃ | 3 |
Hatauacha mguu wako uteleze, yeye akulindaye hatasinzia,
הנה לא ינום ולא יישן שומר ישראל׃ | 4 |
hakika, yeye alindaye Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi.
יהוה שמרך יהוה צלך על יד ימינך׃ | 5 |
Bwana anakulinda, Bwana ni uvuli wako mkono wako wa kuume,
יומם השמש לא יככה וירח בלילה׃ | 6 |
jua halitakudhuru mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
יהוה ישמרך מכל רע ישמר את נפשך׃ | 7 |
Bwana atakukinga na madhara yote, atayalinda maisha yako,
יהוה ישמר צאתך ובואך מעתה ועד עולם׃ | 8 |
Bwana atakulinda unapoingia na unapotoka, tangu sasa na hata milele.