< תהילים 100 >
מזמור לתודה הריעו ליהוה כל הארץ׃ | 1 |
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
עבדו את יהוה בשמחה באו לפניו ברננה׃ | 2 |
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
דעו כי יהוה הוא אלהים הוא עשנו ולא אנחנו עמו וצאן מרעיתו׃ | 3 |
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
באו שעריו בתודה חצרתיו בתהלה הודו לו ברכו שמו׃ | 4 |
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
כי טוב יהוה לעולם חסדו ועד דר ודר אמונתו׃ | 5 |
Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.