< איוב 20 >
Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
לכן שעפי ישיבוני ובעבור חושי בי׃ | 2 |
“Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
מוסר כלמתי אשמע ורוח מבינתי יענני׃ | 3 |
Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
הזאת ידעת מני עד מני שים אדם עלי ארץ׃ | 4 |
Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
כי רננת רשעים מקרוב ושמחת חנף עדי רגע׃ | 5 |
ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
אם יעלה לשמים שיאו וראשו לעב יגיע׃ | 6 |
Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
כגללו לנצח יאבד ראיו יאמרו איו׃ | 7 |
bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
כחלום יעוף ולא ימצאוהו וידד כחזיון לילה׃ | 8 |
Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
עין שזפתו ולא תוסיף ולא עוד תשורנו מקומו׃ | 9 |
usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
בניו ירצו דלים וידיו תשבנה אונו׃ | 10 |
Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
עצמותיו מלאו עלומו ועמו על עפר תשכב׃ | 11 |
Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
אם תמתיק בפיו רעה יכחידנה תחת לשונו׃ | 12 |
Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
יחמל עליה ולא יעזבנה וימנענה בתוך חכו׃ | 13 |
japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
לחמו במעיו נהפך מרורת פתנים בקרבו׃ | 14 |
chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
חיל בלע ויקאנו מבטנו יורשנו אל׃ | 15 |
Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
ראש פתנים יינק תהרגהו לשון אפעה׃ | 16 |
Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
אל ירא בפלגות נהרי נחלי דבש וחמאה׃ | 17 |
Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
משיב יגע ולא יבלע כחיל תמורתו ולא יעלס׃ | 18 |
Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
כי רצץ עזב דלים בית גזל ולא יבנהו׃ | 19 |
Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
כי לא ידע שלו בבטנו בחמודו לא ימלט׃ | 20 |
Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
אין שריד לאכלו על כן לא יחיל טובו׃ | 21 |
Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
במלאות שפקו יצר לו כל יד עמל תבואנו׃ | 22 |
katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
יהי למלא בטנו ישלח בו חרון אפו וימטר עלימו בלחומו׃ | 23 |
Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
יברח מנשק ברזל תחלפהו קשת נחושה׃ | 24 |
Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
שלף ויצא מגוה וברק ממררתו יהלך עליו אמים׃ | 25 |
Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
כל חשך טמון לצפוניו תאכלהו אש לא נפח ירע שריד באהלו׃ | 26 |
Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
יגלו שמים עונו וארץ מתקוממה לו׃ | 27 |
Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
יגל יבול ביתו נגרות ביום אפו׃ | 28 |
Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
זה חלק אדם רשע מאלהים ונחלת אמרו מאל׃ | 29 |
Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”