< איוב 11 >

ויען צפר הנעמתי ויאמר׃ 1
Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
הרב דברים לא יענה ואם איש שפתים יצדק׃ 2
“Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
בדיך מתים יחרישו ותלעג ואין מכלם׃ 3
Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
ותאמר זך לקחי ובר הייתי בעיניך׃ 4
Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
ואולם מי יתן אלוה דבר ויפתח שפתיו עמך׃ 5
Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
ויגד לך תעלמות חכמה כי כפלים לתושיה ודע כי ישה לך אלוה מעונך׃ 6
hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
החקר אלוה תמצא אם עד תכלית שדי תמצא׃ 7
Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
גבהי שמים מה תפעל עמקה משאול מה תדע׃ (Sheol h7585) 8
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
ארכה מארץ מדה ורחבה מני ים׃ 9
Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
אם יחלף ויסגיר ויקהיל ומי ישיבנו׃ 10
kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
כי הוא ידע מתי שוא וירא און ולא יתבונן׃ 11
Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
ואיש נבוב ילבב ועיר פרא אדם יולד׃ 12
Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
אם אתה הכינות לבך ופרשת אליו כפך׃ 13
Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
אם און בידך הרחיקהו ואל תשכן באהליך עולה׃ 14
ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
כי אז תשא פניך ממום והיית מצק ולא תירא׃ 15
Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
כי אתה עמל תשכח כמים עברו תזכר׃ 16
Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
ומצהרים יקום חלד תעפה כבקר תהיה׃ 17
Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
ובטחת כי יש תקוה וחפרת לבטח תשכב׃ 18
Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
ורבצת ואין מחריד וחלו פניך רבים׃ 19
Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
ועיני רשעים תכלינה ומנוס אבד מנהם ותקותם מפח נפש׃ 20
Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.

< איוב 11 >