< תהילים 58 >
למנצח אל-תשחת לדוד מכתם ב האמנם--אלם צדק תדברון מישרים תשפטו בני אדם | 1 |
Je, ninyi watawala mnaongea haki? Mnahukumu kwa haki, ninyi watu?
אף-בלב עולת תפעלון בארץ--חמס ידיכם תפלסון | 2 |
Hapana, mnafanya uovu mioyoni mwenu; munaeneza vurugu nchi yote kwa mikono yenu.
זרו רשעים מרחם תעו מבטן דברי כזב | 3 |
Waovu huenenda katika upotovu hata walipokuwa tumboni; wao wanaenenda katika upotovu tangu kuzaliwa, wakiongea uongo.
חמת-למו כדמות חמת-נחש כמו-פתן חרש יאטם אזנו | 4 |
Sumu yao ni kama sumu ya nyoka; wako kama fira kiziwi azibaye masikio yake,
אשר לא-ישמע לקול מלחשים חובר חברים מחכם | 5 |
ambaye hasikilizi sauti ya waganga, haijalishi ustadi walio nao.
אלהים--הרס שנימו בפימו מלתעות כפירים נתץ יהוה | 6 |
Vunja meno yao midomoni mwao, Mungu; uyatoe meno ya mwana simba, Yahwe.
ימאסו כמו-מים יתהלכו-למו ידרך חצו כמו יתמללו | 7 |
Wayeyuke kama maporomoko ya maji; wafyatuapo mishale yao, iwe kama haina ncha.
כמו שבלול תמס יהלך נפל אשת בל-חזו שמש | 8 |
Wawe kama konokono ambaye huyeyuka na kutoweka, kama mtoto aliye zaliwa kabla ya wakati ambaye hakuona jua.
בטרם יבינו סירתכם אטד כמו-חי כמו-חרון ישערנו | 9 |
Kabla ya vyungu vyenu kupata joto la kuungua kwa miiba, yeye ataviondosha kwa upepo mkali, miiba ya kijani yote na ile inayoungua.
ישמח צדיק כי-חזה נקם פעמיו ירחץ בדם הרשע | 10 |
Mwenye haki atafurahia atakapoona kisasi cha Mungu; ataiosha miguu yake kwenye damu ya waovu,
ויאמר אדם אך-פרי לצדיק אך יש-אלהים שפטים בארץ | 11 |
hivyo watu watasema, “Hakika kuna tuzo kwa ajili ya mtu wenye haki; hakika kuna Mungu ahukumuye ulimwengu.”