< תהילים 144 >
לדוד ברוך יהוה צורי-- המלמד ידי לקרב אצבעותי למלחמה | 1 |
Atukuzwe Yahwe, mwamba wangu, anifundishaye mikono yangu vita na vidole vyangu kupigana.
חסדי ומצודתי משגבי ומפלטי-לי מגני ובו חסיתי הרודד עמי תחתי | 2 |
Wewe ni uaminifu wa agano langu na ngome yangu, mnara wangu mrefu na uniokoaye, ngao yangu na yule ambaye katika yeye napata kimbilio, uyatiishaye mataifa chini yangu.
יהוה--מה-אדם ותדעהו בן-אנוש ותחשבהו | 3 |
Ee Yahwe, mtu ni kitu gani hata umtazame au mwana wa mtu hata umfikirie?
אדם להבל דמה ימיו כצל עובר | 4 |
Mtu ni kama pumzi, siku zake ni kama uvuli upitao.
יהוה הט-שמיך ותרד גע בהרים ויעשנו | 5 |
Ee Yahwe uziinamishe mbingu na ushuke chini, uiguse milima na uifanye kutoa moshi.
ברוק ברק ותפיצם שלח חציך ותהמם | 6 |
Utume umeme uwatawanye adui zangu; upige mishale yako na uwavuruge.
שלח ידיך ממרום פצני והצילני ממים רבים מיד בני נכר | 7 |
Nyosha mkono wako toka juu; uniokoe kutoka katika maji mengi, na kutoka katika mkono wa wageni.
אשר פיהם דבר-שוא וימינם ימין שקר | 8 |
vinywa vyao hunena uongo, na mkono wao wa kuume ni mkono wa uongo.
אלהים--שיר חדש אשירה לך בנבל עשור אזמרה-לך | 9 |
Nitakuimbia wimbo mpya, Mungu; kwa kinanda cha nyuzi kumi nitakuimbia sifa wewe,
הנותן תשועה למלכים הפוצה את-דוד עבדו--מחרב רעה | 10 |
uwapaye wafalme wokovu, uliye muokoa Daudi mtumishi wako dhidi ya upanga wa uovu.
פצני והצילני מיד בני-נכר אשר פיהם דבר-שוא וימינם ימין שקר | 11 |
Uniokoe na unitoe mkononi mwa wageni. Midomo yao huongea uongo, na mkono wao wa kuume ni mkono wa uongo.
אשר בנינו כנטעים-- מגדלים בנעוריהם בנותינו כזוית-- מחטבות תבנית היכל | 12 |
Wana wetu na wawe kama mimea ikuayo kwa ukumbwa timilifu katika ujana wao na binti zetu kama nguzo za pembeni, zilizonakishiwa kwa kupamba jumba la kifahari.
מזוינו מלאים-- מפיקים מזן אל-זן צאוננו מאליפות מרבבות-- בחוצותינו | 13 |
Ghala zetu na zijae akiba ya kila aina ya mazao, na kondoo wetu wazae elfu na makumi elfu mashambani mwetu.
אלופינו מסבלים אין-פרץ ואין יוצאת ואין צוחה ברחבתינו | 14 |
Kisha ng'ombe wetu watakuwa na nddama wengi. Hakuna atakayevunja kuta zetu; hakutakuwa na uhamisho wala kilio mitaani mwetu.
אשרי העם שככה לו אשרי העם שיהוה אלהיו | 15 |
Wamebarikiwa watu wenye baraka hizo; furaha ina watu ambao Mungu wao ni Yahwe.