< יהושע 12 >

ואלה מלכי הארץ אשר הכו בני ישראל וירשו את ארצם בעבר הירדן מזרחה השמש--מנחל ארנון עד הר חרמון וכל הערבה מזרחה 1
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
סיחון מלך האמרי היושב בחשבון--משל מערוער אשר על שפת נחל ארנון ותוך הנחל וחצי הגלעד ועד יבק הנחל גבול בני עמון 2
Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
והערבה עד ים כנרות מזרחה ועד ים הערבה ים המלח מזרחה דרך בית הישמות ומתימן--תחת אשדות הפסגה 3
Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
וגבול עוג מלך הבשן מיתר הרפאים--היושב בעשתרות ובאדרעי 4
Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
ומשל בהר חרמון ובסלכה ובכל הבשן עד גבול הגשורי והמעכתי וחצי הגלעד--גבול סיחון מלך חשבון 5
Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
משה עבד יהוה ובני ישראל הכום ויתנה משה עבד יהוה ירשה לראובני ולגדי ולחצי שבט המנשה 6
Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
ואלה מלכי הארץ אשר הכה יהושע ובני ישראל בעבר הירדן ימה מבעל גד בבקעת הלבנון ועד ההר החלק העלה שעירה ויתנה יהושע לשבטי ישראל ירשה--כמחלקתם 7
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
בהר ובשפלה ובערבה ובאשדות ובמדבר ובנגב--החתי האמרי והכנעני הפרזי החוי והיבוסי 8
nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
מלך יריחו אחד מלך העי אשר מצד בית אל אחד 9
mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
מלך ירושלם אחד מלך חברון אחד 10
mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
מלך ירמות אחד מלך לכיש אחד 11
mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
מלך עגלון אחד מלך גזר אחד 12
mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
מלך דבר אחד מלך גדר אחד 13
mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
מלך חרמה אחד מלך ערד אחד 14
mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
מלך לבנה אחד מלך עדלם אחד 15
mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
מלך מקדה אחד מלך בית אל אחד 16
mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
מלך תפוח אחד מלך חפר אחד 17
mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
מלך אפק אחד מלך לשרון אחד 18
mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
מלך מדון אחד מלך חצור אחד 19
mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
מלך שמרון מראון אחד מלך אכשף אחד 20
mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
מלך תענך אחד מלך מגדו אחד 21
mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
מלך קדש אחד מלך יקנעם לכרמל אחד 22
mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
מלך דור לנפת דור אחד מלך גוים לגלגל אחד 23
mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
מלך תרצה אחד כל מלכים שלשים ואחד 24
mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

< יהושע 12 >