< איוב 30 >
ועתה שחקו עלי-- צעירים ממני לימים אשר-מאסתי אבותם-- לשית עם-כלבי צאני | 1 |
Sasa vijana wananidhihaki - vijana ambao baba zao wasingeweza hata kuwahudumia mbwa wa kundi langu.
גם-כח ידיהם למה לי עלימו אבד כלח | 2 |
Kwa kweli, nguvu za mikono ya baba zao, zingenisaidia nini - watu ambao hawakuwa na nguvu wakati wa kukua kwao?
בחסר ובכפן גלמוד הערקים ציה--אמש שואה ומשאה | 3 |
Walidhoofishwa na umasikini na njaa; walisaga nchi kavu mafichoni.
הקטפים מלוח עלי-שיח ושרש רתמים לחמם | 4 |
Walichuma mche chumvi na majani ya vichaka; mizizi ya mti wa ufagio ilikuwa ndiyo chakula chao.
מן-גו יגרשו יריעו עלימו כגנב | 5 |
Waliondolewa miongoni mwa watu waliopiga kelele nyuma yao kama ambavyo mtu angempigia kelele mwizi.
בערוץ נחלים לשכן חרי עפר וכפים | 6 |
Hivyo walipaswa kuishi katika mabonde ya mto, katika mashimo ya ardhi na miamba.
בין-שיחים ינהקו תחת חרול יספחו | 7 |
Walilia kwa uchungu porini kama punda; chini ya vichaka walikutana.
בני-נבל גם-בני בלי-שם-- נכאו מן-הארץ | 8 |
Walikuwa uzao wa wapumbavu, hakika, wa watu wasiofaa; waliondolewa duniani kama waarifu.
ועתה נגינתם הייתי ואהי להם למלה | 9 |
Lakini sasa, nimekua sababu ya wimbo wa dhihaka kwa wana wao; hakika, nimekuwa mzaa kwao.
תעבוני רחקו מני ומפני לא-חשכו רק | 10 |
Wananichukia na kusimama mbali nami; hawaachi kunitemea usoni.
כי-יתרו (יתרי) פתח ויענני ורסן מפני שלחו | 11 |
Kwa maana Mungu ameondoa kamba katika upinde wangu na amenipiga, na hivyo watu hawa wanashindwa kujizuia mbele yangu.
על-ימין פרחח יקומו רגלי שלחו ויסלו עלי ארחות אידם | 12 |
Kundi la vijana wabaya wanashambulia nguvu zangu; wananiondolea mbali na kukusanya kinyume changu rundo la kuhusuru.
נתסו נתיבתי להותי יעילו לא עזר למו | 13 |
Wanaharibu maisha yangu; wanapeleka mbele maangamizi yangu, watu wasio na wakuwazuia.
כפרץ רחב יאתיו תחת שאה התגלגלו | 14 |
Wanakuja kinyume changu kama jeshi katika tundu pana katika ukuta wa mji; katikati ya maangamizi wanajizungusha juu yangu.
ההפך עלי בלהות תרדף כרוח נדבתי וכעב עברה ישעתי | 15 |
Hofu zimeniandama; heshima yangu imeondolewa mbali nami kama kwa upepo; mafanikio yangu yameondolewa kama wingu.
ועתה--עלי תשתפך נפשי יאחזוני ימי-עני | 16 |
Sasa uhai wangu umeondolewa ndani yangu; siku nyingi za maumivu zimenipita.
לילה--עצמי נקר מעלי וערקי לא ישכבון | 17 |
Mifupa inauma ndani yangu wakati wa usiku; maumivu yanayonisaga hayaishi.
ברב-כח יתחפש לבושי כפי כתנתי יאזרני | 18 |
Nguvu kuu ya Mungu imeshika mavazi yangu; yananizunguka kama kala ya vazi langu.
הרני לחמר ואתמשל כעפר ואפר | 19 |
Amenitupa matopeni; nimekuwa kama vumbi na majivu.
אשוע אליך ולא תענני עמדתי ותתבנן בי | 20 |
Nakulilia wewe, Mungu, lakini haunijibu; ninasimama, nawe unaniangalia tu.
תהפך לאכזר לי בעצם ידך תשטמני | 21 |
Umegeuka na kuwa mkali kwangu; kwa nguvu za mkono wako umenitesa.
תשאני אל-רוח תרכיבני ותמגגני תשוה (תשיה) | 22 |
Unaniinua katika upepo na kuufanya unikokote; unanirusha huku na kule katika dhoruba.
כי-ידעתי מות תשיבני ובית מועד לכל-חי | 23 |
Kwa maana najua ya kwamba utanipeleka mautini, nyumba ya hatima kwa viumbe vyote.
אך לא-בעי ישלח-יד אם-בפידו להן שוע | 24 |
Lakini, je hakuna ainuaye mkono wake kuomba msaada aangukapo? Je hakuna aombaye msaada akiwa tabuni?
אם-לא בכיתי לקשה-יום עגמה נפשי לאביון | 25 |
Je sikulia kwa ajili yake aliyekuwa tabuni? Je sijahuzunika kwa ajili ya mwitaji?
כי טוב קויתי ויבא רע ואיחלה לאור ויבא אפל | 26 |
Nilipotazamia mema, ndipo yalipokuja mabaya; niliposubiri nuru, giza lilikuja badala yake.
מעי רתחו ולא-דמו קדמני ימי-עני | 27 |
Moyo wangu umetaabika na hautulii; siku za mateso zimenipata.
קדר הלכתי בלא חמה קמתי בקהל אשוע | 28 |
Nimekuwa na ngozi nyeusi lakini si kwa sababu ya jua; nasimama katika kusanyiko na kulilia msaada.
אח הייתי לתנים ורע לבנות יענה | 29 |
Nimekuwa ndugu kwa mbwea, mshirika wa mbuni.
עורי שחר מעלי ועצמי-חרה מני-חרב | 30 |
Ngozi yangu imekuwa nyeusi na inapukutika; mifupa yangu imeunguzwa na joto.
ויהי לאבל כנרי ועגבי לקול בכים | 31 |
Kwa hiyo kinubi changu kimefunguliwa kwa nyimbo za maombolezo, zomari yangu kwa kuimba kwao waombolezao.