< דברי הימים א 11 >
ויקבצו כל ישראל אל דויד חברונה לאמר הנה עצמך ובשרך אנחנו | 1 |
Kisha Waisraeli wote walikuja Hebroni kwa Daudi na kusema, “Angalia, sisi ni nyama na mifupa yako.
גם תמול גם שלשום גם בהיות שאול מלך--אתה המוציא והמביא את ישראל ויאמר יהוה אלהיך לך אתה תרעה את עמי את ישראל ואתה תהיה נגיד על עמי ישראל | 2 |
Katika wakati uliopita, Sauli alipoo kuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliye ongoza jeshi la Israeli. Yahweh Mungu wako alisema kwako, 'utawachunga watu wangu wa Isaraeli, na utakuwa mtawala wa watu wangu wa Israeli”'.
ויבאו כל זקני ישראל אל המלך חברונה ויכרת להם דויד ברית בחברון לפני יהוה וימשחו את דויד למלך על ישראל כדבר יהוה ביד שמואל | 3 |
Kwaiyo wazee wote wa Israeli wakamjia mfalme huko Hebroni, na Daudi akafanya agano nao mbele ya Yahweh. Wakampaka mafuta Daudi kuwa mfalme wa Israeli. Kwa namna hii, neno la Yahweh lilo nenwa na Samweli likawa kweli.
וילך דויד וכל ישראל ירושלם היא יבוס ושם היבוסי ישבי הארץ | 4 |
Daudi na Israeli yote wakaenda Yerusalemu (yani, Yebusi). Sasa Wayebusi, wakazi wa nchi, walikuwa pale.
ויאמרו ישבי יבוס לדויד לא תבוא הנה וילכד דויד את מצדת ציון היא עיר דויד | 5 |
Wakazi wa yebusi wakamwabia Daudi, “Hautakuja humu.” Lakini Daudi alichukuwa ngome ya Sayuni, mji wa Daudi.
ויאמר דויד--כל מכה יבוסי בראשונה יהיה לראש ולשר ויעל בראשונה יואב בן צרויה ויהי לראש | 6 |
Daudi alisema, “Yeyote atakaye washambulia Wayebusi wa kwanza atakuwa mkuu wa jeshi” kwaiyo Yoabu mwana wa Zeruia akashambulia wa kwanza, hivyo akafanywa mkuu wa jeshi.
וישב דויד במצד על כן קראו לו עיר דויד | 7 |
Daudi akaanza kuishi katika hiyo ngome. Kwaiyo wakaiita mji wa Daudi.
ויבן העיר מסביב מן המלוא ועד הסביב ויואב יחיה את שאר העיר | 8 |
Akaimarisha mji kutoka Milo na hadi mpaka ukuta unao zunguka. Yoabu akaimairisha mji wote uliyo baki.
וילך דויד הלוך וגדול ויהוה צבאות עמו | 9 |
Daudi akawa mkuu na mkuu kwa sababu Yahweh wa Majeshi alikuwa naye.
ואלה ראשי הגברים אשר לדויד המתחזקים עמו במלכותו עם כל ישראל להמליכו--כדבר יהוה על ישראל | 10 |
Hawa walikuwa viongozi Daudi aliyo kuwa nao, waliyo jionyesha imara katika ufalme wake, pamoja na Israeli, kumfanya mfalme, kutii neno la Yahweh kuhusu Israeli.
ואלה מספר הגברים אשר לדויד ישבעם בן חכמוני ראש השלושים (השלישים)--הוא עורר את חניתו על שלש מאות חלל בפעם אחת | 11 |
Hii ni orodha ya wanajeshi shupavu wa Daudi. Yashobeami, mwana wa Mhakimoni, alikuwa mkuu wa kikosi cha thelathini. Aliwaua wanaume mia tatu na mkuki wake katika sehemu moja.
ואחריו אלעזר בן דודו האחוחי הוא בשלושה הגברים | 12 |
Baada ya yeye alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mahohi, aliyekuwa mmoja wa wanaume watatu hodari.
הוא היה עם דויד בפס דמים והפלשתים נאספו שם למלחמה ותהי חלקת השדה מלאה שעורים והעם נסו מפני פלשתים | 13 |
Alikuwa na Daudi huko Pasidamimu, na pale Wafilisti wakakusanyika pamoja kwa mapambano, ambapo palikuwa na uwanja wa ngano na jeshi liliwakimbia Wafilisti.
ויתיצבו בתוך החלקה ויצילוה ויכו את פלשתים ויושע יהוה תשועה גדולה | 14 |
Walisimama katikati ya uwanja. Wakautetea na kuwakata Wafilisti na Yahweh akawaokoa na ushindi mkubwa.
וירדו שלושה מן השלושים ראש על הצר אל דויד--אל מערת עדלם ומחנה פלשתים חנה בעמק רפאים | 15 |
Kisha watatu wa viongozi thelathini wakashuka chini kwenye mwamba wa Daudi, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti walieka kambi katika bonde la Refaim.
ודויד אז במצודה ונציב פלשתים אז בבית לחם | 16 |
Kwa wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu.
ויתאו דויד ויאמר מי ישקני מים מבור בית לחם אשר בשער | 17 |
Daudi alikuwa na kiu ya maji na akasema, “Laiti mtu akanipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho Bethilehemu, kisima kilicho pembeni mwa lango!”
ויבקעו השלשה במחנה פלשתים וישאבו מים מבור בית לחם אשר בשער וישאו ויבאו אל דויד ולא אבה דויד לשתותם וינסך אתם ליהוה | 18 |
Hawa wanaume hodari watatu wakatoboa kupita jeshi la Wafilisti na kuchota maji kwenye kisima cha Bethilehemu, kisima pembeni mwa lango. Wakachukuwa maji na kumletea Daudi, lakini alikataa kunywa. Badala yake, akamwaga chini kwa Yahweh.
ויאמר חלילה לי מאלהי מעשות זאת הדם האנשים האלה אשתה בנפשותם כי בנפשותם הביאום ולא אבה לשתותם אלה עשו שלשת הגבורים | 19 |
Kisha akasema, “Yahweh, iwe mbali na mimi, kwamba ni yanywe haya maji. Je ninywe damu ya wanaume walio hatarisha maisha yao?” Kwa sababu wameeka maisha ya hatarini, akakataa kunywa. Haya ni mambo wanaume hodari watatu walio fanya.
ואבשי אחי יואב הוא היה ראש השלושה והוא עורר את חניתו על שלש מאות חלל ולא (ולו) שם בשלושה | 20 |
Abishai kaka wa Yoabu, alikuwa kiongozi wa watatu. Alitumia mkuki wake dhidi ya watu mia tatu na kuwaua. Ametajwa pamoja na wale watatu.
מן השלושה בשנים נכבד ויהי להם לשר ועד השלושה לא בא | 21 |
Kati ya wale watatu, yeye alipewa heshima mara mbili na akawa kiongozi wao. Japo hakuwa mmoja wa miongoni mwao.
בניה בן יהוידע בן איש חיל רב פעלים מן קבצאל הוא הכה את שני אריאל מואב והוא ירד והכה את הארי בתוך הבור ביום השלג | 22 |
Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwanaume mwenye nguvu aliye fanya mambo makuu. Aliua wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka chini ya shimo na kumuua simba wakati theluji ikianguka.
והוא הכה את האיש המצרי איש מדה חמש באמה וביד המצרי חנית כמנור ארגים וירד אליו בשבט ויגזל את החנית מיד המצרי ויהרגהו בחניתו | 23 |
Alimua hadi Mmisri, mwanaume mwenye mita mbili na theluthi moja. Mmisri alikuwa na mkuki kama gongo la mshonaji, lakini alimfuata chini na fimbo tu. Akakamata mkuki katika mkono wa Mmisri na kumuua na mkuki wake.
אלה עשה בניהו בן יהוידע ולו שם בשלושה הגברים | 24 |
Benaia mwana wa Yehoiada alifanya haya matukio, na akatajwa miongoni mwa wale wanaume hodari watatu.
מן השלושים הנו נכבד הוא ואל השלשה לא בא וישימהו דויד על משמעתו | 25 |
Alisifika zaidi ya wale wanajeshi thelathini kwa ujumla, lakini hakuwa pewa hadhi ya wale wanajeshi watatu hodari. Daudi alimueka kiongozi wa walinzi wake.
וגבורי החילים עשהאל אחי יואב אלחנן בן דודו מבית לחם | 26 |
Wanaume hodari walikuwa Asaheli kaka wa Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethilehemu,
שמות ההרורי חלץ הפלוני | 27 |
Shamothi Mherori, Helezi Mpeloni,
עירא בן עקש התקועי אביעזר הענתותי | 28 |
Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abi Eza Manathothi,
סבכי החשתי עילי האחוחי | 29 |
Sibekai Mhushathite, Ilai Mahohite,
מהרי הנטפתי חלד בן בענה הנטופתי | 30 |
Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathite,
איתי בן ריבי מגבעת בני בנימן בניה הפרעתני | 31 |
Itai mwana wa Ribai wa Gibea uzao wa Benjamini, Benaia Mpirathoni,
חורי מנחלי געש אביאל הערבתי | 32 |
Hurai wa mabonde ya Gaashi, Abieli Marbathi,
עזמות הבחרומי אליחבא השעלבני | 33 |
Azmavethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
בני השם הגזוני יונתן בן שגה ההררי | 34 |
Mwana wa Hashemu Mgizoni, Yonathani mwana wa Shagee Mhararite,
אחיאם בן שכר ההררי אליפל בן אור | 35 |
Ahiamu mwana wa Sacari Mhararite, Elifali mwana wa Uri,
Hefa Mmekarathi, Ahija Mpeloni,
חצרו הכרמלי נערי בן אזבי | 37 |
Hezro Mcarmeli, Maarai mwana wa Ezibai,
יואל אחי נתן מבחר בן הגרי | 38 |
Yoeli kaka wa Nathani, Mibhari mwana wa Hagiri,
צלק העמוני נחרי הברתי נשא כלי יואב בן צרויה | 39 |
Zeleki Mamoni, Naharai Mberothi ( mbeba ngao ya Yoabu mwana wa Zeruia),
Ira Mithire, Garebu Mithire,
אוריה החתי זבד בן אחלי | 41 |
Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Ahlai,
עדינא בן שיזא הראובני ראש לראובני--ועליו שלשים | 42 |
Adina mwana wa Shiza Mreubeni ( kiongozi wa Wareubeni) na thelathini pamoja nae,
חנן בן מעכה ויושפט המתני | 43 |
Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithini,
עזיא העשתרתי שמע ויעואל (ויעיאל) בני חותם הערערי | 44 |
Uzia Mashiterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Waaroeri,
ידיעאל בן שמרי ויחא אחיו התיצי | 45 |
Jediaeli mwana wa Shimri, Joha ( kaka yake Mtize),
אליאל המחוים ויריבי ויושויה בני אלנעם ויתמה המואבי | 46 |
Elieli Mmahavi, Yeribai na Yoshavia mwana wa Elnaamu, Ithima Mmoabi,
אליאל ועובד ויעשיאל המצביה | 47 |
Elieli, Obedi, na Yaasieli Wamezobai.