< Mele a Solomona 1 >

1 KE Mele o na mele, na Solomona no ia,
Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
2 E honi mai ia'u i na honi o kona waha; No ka mea, ua oi aku kou aloha i ka waina.
O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
3 No ke ala o kou mea poni maikai, Ua like kou inoa me ka aila ala i nininiia; No ia mea, ua aloha mai na kaikamahine ia oe.
Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
4 E ume mai ia'u, e hahai makou mamuli ou. Ua hookomo mai ke alii ia'u iloko o kona keena; E hauoli makou, a e olioli hoi ia oe; E hoomanao makou i kou aloha mamua o ka waina; Ua aloha aku ka poe pono ia oe.
Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
5 Ua eleele au, ua maikai no nae, E na kaikamahine o Ierusalema; E like me na halelewa o Kedara, E like hoi me na paku lole o Solomona.
Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
6 Mai nana mai oukou ia'u, no ka mea, ua eleele au, No ka nana ana mai o ka la ia'u. Ua huhu mai ia'u na keiki a ko'u makuwahine, Ua hoolilo mai lakou ia'u i mea kiai i na malawaina; Aka hoi, o ka'u malawaina, aole au i malama.
Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
7 E hai mai ia'u, e ka mea a ko'u uhane i aloha'i, Aila ihea oe i hanai mai. Mahea la oe i hoomaha ai i ke awakea? No ke aha la wau i lilo ai, Me ho wahine la i uhiia, Ma na poe hipa a kou mau hoanoho?
Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
8 Ina, aole oe i ike, E ka mea maikai mawaena o na wahine, E hele oe ma na kapuwai o ka poe hipa, E hanai i kau poe kao keiki, Ma kahi kokoke i na halelewa o ka poe kahuhipa.
Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
9 Ua hoohalike au ia oe, e ka'u mea i aloha'i, Me he lio wahine la iloko o na kaa o Parao.
Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
10 Ua hoonaniia kou papalina i na kaula momi, A o kou a-i i na lei maikai.
Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
11 E hana makou nou i na kaula gula, A me na kaula hoi i paukuia i ke kala.
Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
12 I ka noho pu ana o ke alii me kona poe, Ua moani aku la ko'u mea ala.
Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
13 O ka'u mea i aloha'i, he pua mura no ia na'u, E moe iho la ia mawaena o ko'u poli.
Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
14 O ka'u mea i aloha'i, he lala kupero ia na'u, No ka malawaina mai o Enegedi.
Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
15 Aia hoi, he nani kou, e ka'u mea i aloha'i, He nani kou, he mau maka manu nunu kou.
Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
16 Aia hoi, he nani kou, e ka'u mea i aloha'i, he maikai hoi; Ua omaomao no hoi ko kaua wahi moe.
Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
17 Na kaola o ko kaua hale, he laau kedera ia, A me ko kaua mau oa, he laau fira.
Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.

< Mele a Solomona 1 >