< Ioba 41 >

1 E HOOPAA anei oe i ka leviatana me ka makau? A e kaomi i kona alelo me ke aho?
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
2 E hiki anei ia oe ke hookomo i ke kaula kaluha i kona ihu? A me ka makau e hoolou i kona iwia?
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
3 E hoomahuahua anei ia i ka nonoi ana ia oe? E olelo anei ia i na mea hooluolu ia oe?
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
4 A hoopaa anei ia i ka berita me oe? E lawe anei oe ia ia i kauwa mau loa?
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
5 E paani pu anei oe me ia me he manu la? E hoopaa anei oe ia ia no kou poe wahine opio?
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
6 E hana anei na makamaka ia ia i mea ahaaina? E mahele anei lakou ia ia iwaena o ka poe kuai?
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
7 E hiki anei ia oe ke hoopiha i kona ili i na mea oi? I kona poo hoi i na o-ia?
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
8 E kau oe i kou lima maluna ona, E hoomanao i ke kaua, a e hooki iho.
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
9 Aia hoi, o ka manao e paa aku ia ia ua make hewa: Aole anei e hina ilalo ka mea e nana aku ana ia ia?
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
10 Aohe mea aa e hoala ia ia: A owai la hoi ka mea e hiki ke ka imua o'u?
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
11 Owai ka i hana mua mai na'u, a e uku aku au? O na mea a pau malalo o ka lani, no'u ia.
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
12 Aole au e huna i kona mau lala, Aole hoi i ka ikaika a me ka nani o kana mea kaua.
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
13 Owai ka mea e wehe ae i ke alo o kona kapa? Owai ka mea e komo iloko o kona mau a palua?
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
14 Owai ka mea e wehe ae i na pani o kona maka? O kona mau niho a puni he mea weliweli ia.
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
15 O kona haaheo, o kona mau palekaua paa no ia, I hoopiliia i ka mea kapili paa.
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
16 Ua pili kekahi i kekahi, Aole e komo ka makani iwaena o lakou.
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
17 Ua pili pu kekahi me kekahi, Ua hui pu ia lakou, aole e hiki ke hookaawaleia'e.
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
18 Ma kona kiha ana alohi mai la ka malamalama, O kona mau maka ua like me na lihilihi o ke kakahiaka.
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
19 Mailoko mai o kona waha hele aku na lapalapa, A lele aku na huna ahi.
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
20 Mailoko mai o kona mau pukaihu puka aku ka mahu, E like me ko ka ipuhao wela, a me ka ipuhao lapalapa.
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
21 Hoa aku kona hanu i na lanahu, A mai kona waha puka aku ka lapalapa.
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
22 Maloko o kona a-i ke noho la ka ikaika, A lelele ka weliweli imua ona.
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
23 O na wahi lewalewa o kona io ua pilipaaia, Ua paa ia ia, aole e hoonaueia.
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
24 O kona naau ua paa, me he pohaku la, A ua paakiki e like me ka pohaku lalo o ka wili.
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 I kona ea ana iluna, makau ka poe ikaika; No ka weliweli pihoihoi lakou.
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
26 O ke kau ana o ka pahikaua ia ia aole ia e paa: O ka pahi o, o ka ihe, a me ka pololu.
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
27 Ua manao no ia i ka hao he like ia me ka mauu maloo, A i ke keleawe me he laau popopo la.
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
28 Aole e hiki i ka pua pana ke hooauhee ia ia: O na pohaku o ka maa, ua like ia me ka opala.
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
29 Ua manaoia ka newa e like me ka opala; Ua akaaka no ia i ka naue ana o ka ihe.
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
30 Malalo ona na apana ipu lepo: Hohola aku ia i ka mea oi maluna o ka lepo.
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
31 Hoopohapoha no ia i ka hohonu, me he ipuhao la: Hana no ia i ke kai me he ipu mea hamo la.
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
32 Waiho no ia i ala malamalama mahope ona; Ua manaoia ka hohonu, he poohina.
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
33 Aohe mea like maluna o ka honua, Ka mea i hanaia me ka makau ole.
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
34 Nana mai no ia i na mea kiekie a pau; Oia ke alii maluna o ka poe haaheo a pau.
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”

< Ioba 41 >