< Ioba 17 >

1 U A paupauaho au, ua hookiia kuu mau la, Ua makaukau na halelua no'u.
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 Aole anei he poe olelo hoino me au? A ke kau nei kuu maka ma ko lakou hoonaukiuki ana?
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 E waiho iho ano, e hana mai ia'u i malu me oe; Owai ka mea e pai i na lima me au.
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 No ka mea, ua hoohuna oe i ka naauao mai ko lakou naau aku; Nolaila, aole oe e hookiekie ia lakou.
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 O ka mea e kumakaia i kona mau hoalauna no ka waiwai pio, E hoopauia na maka o kaua poe keiki.
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 Ua hooku mai oia ia'u i mea e olelo nane ia e na kanaka; A ua lilo au i mea hoopailua imua o lakou.
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 Ua ponalonalo kuu maka no ka uwe ana, A o kuu helehelena a pau ua like ia me ke aka.
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 E kahaha ka poe pono i keia, A e hooku e la mea hala ole i ka aia.
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 E hoomau no ka mea pono i kona aoao, A o ka mea lima maemae, e hoomahuahua aku ia i ka ikaika.
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 Aka, o oukou a pau, e hoi mai no, No ka mea, aole e loaa ia'u iwaena o oukou ka mea naauao.
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 Ua hala kuu mau la, ua okiia'ku kuu mau noonoo, O na manaolana o kuu naau.
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 Ua hoololi lakou i ka po i ao, O ka malamalama, ua pokole ia no ka pouli.
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 Ina e kakali aku au, O ka luakupapau ko'u hale: Ua hohola aku au i kuu wahi moe ma ka pouli. (Sheol h7585)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
14 Ua kapa aku au i ka palaho, O oe ko'u makuakane, A i ka ilo, O oe ko'u makuwahine, a me ko'u kaikuwahine.
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 Auhea hoi kuu manaolana? A o ko'u manaolana, owai la ka mea e ike aku ia?
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 E iho lakou i ua kaola o ka po, I ka wa e maha pu ana i ka lepo. (Sheol h7585)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)

< Ioba 17 >