< Ioba 16 >

1 A LAILA olelo mai la o Ioba, i mai la,
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 He nui na mea like a'u i lohe ai: He poe hooluolu hoopilikia oukou a pau.
“Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
3 He hope anei no na huaolelo makani? Heaha ka mea hoala mai nei ia oe, i olelo mai ai oe?
Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
4 E hiki no ia'u ke olelo aku e like me ka oukou; Ina paha ua noho oukou ma ko'u wahi. E hiki no ia'u ke hookui i ka olelo ku e ia oukou; A e hooluliluli aku i ko'u poo ia oukou.
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
5 Aka, e hookupaa no au ia oukou me kuu waha, A o ka hooluolu ana o kuu lehelehe, e hoopaa aku no ia.
Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
6 Ina e olelo aku au, aole e oluolu kuu eha; Ina e noho malie hoi au, pehea ia e haalele ai ia'u?
Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
7 Aka, ano ua hooluhi mai ia ia'u; Ua luku mai oe i ko'u ohana a pau.
Lakini sasa, Mungu,
8 Ua hoopaa mai oe ia'u, i mea hoike; O kuu wiwi, ke ku mai no ia ia'u, A e hoike mai imua o kuu maka.
wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
9 Ke haehae mai nei kona huhu, a ua inaina mai ia ia'u; Ke nau mai nei ia ia'u me kona mau niho; O kuu enemi, ke hookala nei ia i kona mau maka maluna o'u.
Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
10 Ua hamama lakou maluna o'u me ko lakou waha; Ua papai lakou ia'u ma ka papalina me ka hoino: Ua hoakoakoaia lakou ma kahi hookahi e ku e ia'u.
Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
11 Ua hoolilo ke Akua ia'u i ka poe hewa, A ua haawi ia'u iloko o ka lima o ka poe aia.
Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
12 I noho maluhia la no wan, aka, ua ulupa mai nei ia ia'u; Ua lalau mai ia ma kuu a-i, a ulupa mai no ia ia'u, Ua hooku mai ia'u i hoailona nona.
Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
13 Ua hoopuni kona poe panapua ia'u, Ua wahi mai ia i na puupaa o'u, aole e hookuu ae; Ua ninini iho ia i kuu au ma ka honua.
Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
14 Ua wawahi roai ia ia'u, me ka wahi ana mahope o ka wahi ana, Ua lele mai ia maluna o'u me he mea ikaika la.
yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
15 Ua humuhumu au i ke kapa ino maluna o kuu ili, Ua hoohaumia au i kuu pepeiaohao iloko o ka lepo.
nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
16 Ua ulaula kuu maka i ka uwe ana, A maluna o ko'u mau lihilihi maka ke aka o ka make.
Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
17 Aole no ka mea pono ole iloko o ko'u lima; A o ka'u pule, ua maemae hoi ia.
ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 E ka honua, mai uhi oe i ko'u koko, Aole hoi e haawi i wahi no kuu uwe ana.
Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
19 Ano hoi, aia ma ka lani kuu mea ike maka, A o kuu mea hoike ma na wahi kiekie.
Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
20 O kuu poe hoino, o ko'u mau makamaka no ia: Ke hu aku nei kuu maka i ke Akua.
Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
21 Ina he mea e uwao me ke Akua no ke kanaka, E like me ke kanaka no kona hoalauna!
Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
22 A hala he hapa na makahiki, Alaila e hele aku au i ke ala aole au e hoi hou mai.
Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.

< Ioba 16 >