< Kinohi 36 >
1 EIA ka mooolelo no Esau, oia o Edoma.
Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).
2 Lawe ae la o Esau i kana mau wahine no na kaikamahine o Kanaana: o Ada, ke kaikamahine a Elona ka Heta, a me Aholibama ke kaikamahine a Ana, ke kaikamahine a Zibeona ka Hivi;
Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,
3 A o Basemata ke kaikamahine a Isemaela, a o ke kaikuwahine o Nebaiota.
pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.
4 Na Ada mai i hanau o Elipaza na Esau; a na Basemata i hanau o Reuela;
Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,
5 Na Aholibama i hanau o Ieusa, o Iaalama, a o Kora: o lakou na keikikane a Esau, i hanau nana ma ka aina o Kanaana.
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
6 Lalau aku la o Esau i kana mau wahine, me kana mau keikikane, a me kana mau kaikamahine, a me na kanaka a pau o kona hale, i na holoholona liilii, a me na holoholona nui, a me kona waiwai a pau i loaa ia ia ma ka aina o Kanaana; a hele aku la ma ka aina e, mai ka maka aku o kona kaikaina o Iakoba.
Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.
7 Aole i hiki ia laua ke noho pu, no ka nui loa o ko laua waiwai; aole i pono i ka aina, kahi a laua i noho malihini ai ke malama ia laua, no na holoholona a laua.
Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.
8 A noho aku la o Esau ma mauna Seira: a o Esau, oia no o Edoma.
Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
9 Eia na hanauna o Esau, o ke kupuna no ka Edoma, ma mauna Seira.
Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.
10 Eia na inoa o na keikikane a Esau, o Elipaza, ke keiki a Ada, a ka wahine na Esau; o Reuela ke keiki a Basemata a ka wahine na Esau.
Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.
11 O na keikikane a Elipaza, o Temana, o Omara, o Zepo, o Gatama, a o Kenaza.
Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.
12 A o Timena ka haiawahine na Elipaza na ke keiki a Esau; a nana mai i hanau o Amaleka na Elipaza: o lakou na keikikane a Ada, a ka wahine na Esau.
Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.
13 Eia na keikikane a Reuela; o Nahata, o Zera, o Sama, a o Miza: o lakou na keikikane a Basemata a ka wahine a Esau.
Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.
14 Eia na keikikane a Aholibama, a ke kaikamahine a Ana, ke kaikamahine a Zibeona, ka wahine a Esau: a nana i hanau mai o Ieusa, o Iaalama, a o Kora na Esau.
Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni: Yeushi, Yalamu na Kora.
15 O lakou nei na makualii o na moopuna a Esau: o na keikikane a Elipaza a ka makahiapo na Esau, o Temana he makualii, o Omara he makualii, o Zepo he makualii, o Kenaza he makualii,
Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,
16 O Kora he makualii, o Gatama he makualii, a o Amaleka he makualii: o lakou na makualii na Elipaza ma ka aina o Edoma: o lakou hoi na keikikane a Ada.
Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.
17 Eia na keikikane a Reuela a ke keikikane a Esau; o Nahata he makualii, o Zera he makualii, o Sama, he makualii, a o Miza he makualii: o lakou na makualii na Reuela, ma ka aina o Edoma: o lakou na moopuna a Basemata, a ka wahine a Esau.
Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.
18 Eia na keikikane a Aholibama, a ka wahine na Esau; o Ieusa he makualii, o Iaalama he makualii, a o Kora he makualii: o lakou na makualii na Aholibama, ke kaikamahine a Ana, a ka wahine a Esau.
Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.
19 O lakou na keikikane a Esau, oia o Edoma; o lakou hoi na makualii o lakou.
Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
20 Eia na keikikane a Seira ka Hori, i noho ma ia aina; o Lotara, o Sobala, o Zibeona, o Ana,
Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
21 O Disona, o Ezera, a o Disana: o lakou na makualii o ka Hori, o na keikikane a Seira, ma ka aina o Edoma.
Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
22 O na keiki a Lotana, o Hori a o Hemama; a o Timena ke kaikuwahine o Lotana.
Wana wa Lotani walikuwa: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.
23 Eia na keikikane a Sobala: Alevana, o Manahata, o Ebala, o Sepo, a o Onama.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
24 Eia na keikikane a Zibeona, o Aia, laua o Ana: oia no ua Ana la i loaa ia ia na hoki ma ka waonahele, ia ia i hanai ai i na miula o kona makuakane o Zibeona.
Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.
25 Eia na keiki a Ana; o Disona, a o Aholibama ke kaikamahine a Ana.
Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
26 Eia na keiki a Disona; o Hemedana, o Esebana, o Iterana, a o Kerana.
Wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
27 Eia na keiki a Ezera; o Bilehana, o Zaavana, a o Akana.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
28 Eia na keiki a Disana; o Uza, a o Arana.
Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
29 Eia na makualii o ka Hori, o Lotana he makualii, o Sobala he makualii, o Zibeona he makualii, a o Ana he makualii,
Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
30 O Disona he makualii, o Ezera he makualii, a o Disana he makualii; o lakou na makualii na ka Hori, no ko lakou poe makualii ma ka aina o Seira.
Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
31 Eia ka poe alii i noho alii ai ma ka aina o Edoma mamua o ka manawa i noho ai kekahi alii maluna o na mamo a Iseraela.
Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:
32 O Bela ke keikikane a Beora, noho alii ae la ia ma Edoma: a o Dinehaba ka inoa o kona kulanakauhale.
Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.
33 A make iho la o Bela, a noho alii ae la o Iobaba ke keikikane a Zera no Bozera ma kona hakahaka.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
34 A make iho la o Iobaba, noho alii ae la o Husama, no ka aina o Temani, ma kona wahi.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
35 A make iho la o Husama, o Hadada, o ke keiki a Bedada, nana i pepehi ia Midiana ma ke kula o Moaba, a noho alii ae la ia ma kona wahi: a o A vita ka inoa o kona kulanakauhale.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
36 A make iho la o Hadada, noho alii ae la o Samela no Masereka ma kona wahi.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
37 A make iho la o Samela, noho alii ae la o Saula no Rehobota o ka muliwai, ma kona wahi.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.
38 A make iho la o Saula, noho alii ae la o Baala-hanana o ke keiki a Akebora ma kona wahi.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
39 A make iho la o Baala-hanana ke keiki a Akebora, noho alii ae la o Hadara ma kona wahi: o Pau ka inoa o kona kulanakauhale; a o Mehetabela ka inoa o kana wahine, oia ke kaikamahine a Matereda, ke kaikamahine a Mezahaba.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
40 Eia na inoa o na makualii na Esau, e like me ko lakou mau ohana, mamuli o ko lakou mau wahi, ma ko lakou mau inoa; o Timena he makualii, o Aleva he makualii, o Ieteta he makualii,
Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
41 O Aholibama he makualii, o Ela he makualii, o Pinona he makualii,
Oholibama, Ela, Pinoni,
42 O Kenaza he makualii, o Temana he makualii, o Mibezara he makualii,
Kenazi, Temani, Mibsari,
43 O Magediela he makualii, a o Irama he makualii; o lakou na makualii na Edoma, e like me ko lakou mau noho ana, ma ka aina i noho ai lakou: oia o Esau ke kupuna no ko Edoma.
Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.