< Ezekiela 48 >

1 A IA hoi na inoa o na ohana. Mai ka welau kukulu akau a hiki i ka mokuna o ke alanui o Hetelona kahi e komo ai iloko o Hamata, Hazarenana, ka palena o Damaseko ma ke kukulu akau, a hiki i ka mokuna o Hamata; no ka mea, oia kona mau aoao, ka hikina a me ke komohana, no Dana hookahi.
“Haya ndiyo majina ya makabila na sehemu zao: Kwenye mpaka wa kaskazini, Dani atakuwa na sehemu moja, mpaka huo utafuata barabara ya Hethloni hadi Lebo-Hamathi, Hasar-Enani hata mpaka wa kaskazini wa Dameski karibu na Hamathi utakuwa sehemu ya huo mpaka wake kuanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
2 A ma ka palena o Dana, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana, no Asera hookahi.
“Asheri atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Dani kuanzia mashariki hadi upande wa magharibi.
3 A ma ka palena o Asera, mai ka aoao hikina, a hiki i ka aoao komohana, no Napetali hookahi.
“Naftali atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Asheri kuanzia mashariki hadi magharibi.
4 A ma ka palena o Napetali, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana, no Manase hookahi.
“Manase atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi.
5 A ma ka palena o Manase, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana, na Eperaima hookahi.
“Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.
6 A ma ka palena o Eperaima, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana, no Reubena hookahi.
“Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi.
7 A ma ka palena o Reubena, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana, no Iuda hookahi.
“Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi.
8 A ma ka palena o Iuda, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana, oia ka alana a oukou e mohai ai, he iwakaluakumamalima tausani ohe o ka laula, a o ka loa e like ia me kekahi apana, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana; a iwaenakonu auanei ka wahi hoano.
“Kupakana na nchi ya Yuda kuanzia mashariki mpaka magharibi itakuwa ndiyo sehemu utakayoitoa ili kuwa toleo maalum. Itakuwa na upana wa dhiraa 25,000 na urefu wake kuanzia mashariki mpaka magharibi utakuwa ule ule wa sehemu moja ya kabila, mahali patakatifu patakuwa katikati ya eneo hilo.
9 A o ka alana a oukou e mohai aku ai ia Iehova he iwakaluakumamalima tausani ka loa, a ho umi tausani ka laula.
“Hiyo sehemu maalum mtakayotoa kwa Bwana itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000
10 A no lakou, no na kahuna keia alana hoano; ma ke kukulu akau he iwakaluakumamalima tausani ka loa, a ma ke komohana he umi tausani ka laula, a ma ka hikina he umi tausani ka laula, a ma ke kukulu hema he iwakaluakumamalima tausani ka loa; a mawaenakonu hoi ka wahi hoano no Iehova.
Hii itakuwa ni sehemu takatifu kwa ajili ya makuhani. Itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kaskazini, upana wa dhiraa 10,000 upande wa magharibi, dhiraa 10,000 upande wa mashariki na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kusini. Katikati yake patakuwa mahali patakatifu pa Bwana.
11 No na kahuna i hoolaaia o na keiki a Zadoka, na mea i malama i ka'u oihana, na mea i auwana ole i ka wa i auwana aku ai na mamo a Iseraela, me na mamo a Levi hoi i auwana ai.
Hii itakuwa kwa ajili ya makuhani waliowekwa wakfu, Wasadoki, waliokuwa waaminifu katika kunitumikia nao hawakupotoka kama Walawi walivyofanya wakati Waisraeli walipopotoka.
12 A o keia alana a ka aina i mohaiia'ku, e lilo no ia i mea hoano loa ia lakou ma ka palena o na mamo a Levi.
Itakuwa toleo maalum kwao kutoka sehemu takatifu ya nchi, yaani, sehemu takatifu sana, inayopakana na nchi ya Walawi.
13 A no na mamo a Levi, ma ke kupono i ka palena o ka poe kahuna, he iwakaluakumamalima tausani ka loa, a o ka laula he umi tausani; o ka loa a pau he iwakaluakumamalima tausani ia, a he umi tausani ka laula.
“Kando ya nchi ya makuhani, Walawi watakuwa na mgawo wa urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000. Urefu wake utakuwa jumla dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.
14 Aole lakou e kuai lilo aku i kauwahi ona, aole hoi e kuai, aole hoi e hoolilo ia hai i ka hua mua o ka aina; no ka mea, he hoano no ia no Iehova.
Hawataruhusiwa kuuza wala kuibadilisha hata mojawapo. Hii ndiyo sehemu nzuri ya nchi kuliko nyingine zote, hivyo haitakuwa mikononi mwa watu wengine, kwa sababu ni takatifu kwa Bwana.
15 A o ka lima tausani i waihoia ma ka laula e ku pono ana i ka iwakaluakumamalima tausani, he wahi hoano ole no ke kulanakauhale, no na wahi e noho ai, a me kahi kaawale; a mawaenakonu ke kulanakauhale.
“Eneo linalobaki lenye upana wa dhiraa 5,000 na urefu wa dhiraa 25,000, litakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mji, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na malisho. Mji utakuwa katikati yake
16 Eia na ana o ia mea, o ka aoao kukulu akau eha tausani elima haneri, a o ka aoao kukulu hema eha tausani elima haneri, a o ka aoao hikina eha tausani elima haneri, a o ka aoao komohana eha tausani elima haneri.
nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa 4,500, upande wa kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa 4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500.
17 A o kahi kaawale no ke kulanakauhale, ma ke kukulu akau ia elua haneri me kanalima, a ma ke kukulu hema elua haneri me kanalima, a ma ka hikina elua haneri me kanalima, a ma ke komohana elua haneri me kanalima.
Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na eneo la dhiraa 250 upande wa kaskazini, dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande wa mashariki na dhiraa 250 upande wa magharibi.
18 A o ke koena o ka loa e ku pono ana i ka alana o ka apana hoano, he umi tausani ma ka hikina, a he umi tausani ma ke komohana: a e ku pono no ia i ka alana o ka apana hoano; a e lilo kona hua i ai na ka poe lawelawe na ke kulanakauhale.
Eneo linalobaki, linalopakana na sehemu takatifu likiwa na urefu sawa nalo, litakuwa dhiraa 10,000 upande wa mashariki na dhiraa 10,000 upande wa magharibi. Mazao yake yatawapa watumishi wa mji chakula.
19 A o ka poe lawelawe na ke kulanakauhale, e lawelawe lakou nana, no loko mai o na ohana a pau a Iseraela.
Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.
20 O ka alana okoa, he iwakaluakumamalima tausani ka loa, me ka iwakaluakumamalima tausani; e mohai aku oukou i ka alana hoano i ahalike, me ka apana no ke kulanakauhale.
Eneo lote la hiyo sehemu litakuwa mraba, yaani, dhiraa 25,000 kila upande. Kama toleo maalum mtatenga sehemu takatifu, pamoja na milki ya mji.
21 A o ke koena e lilo no ia no ka moi, ma kekahi aoao a ma kekahi hoi o ka alana hoano, a me ka apana no ke kulanakauhale, e ku pono ana i ka iwakaluakumamalima tausani o ka alana ma ka palena hikina, a ma ke komohana e ku pono ana i ka iwakaluakumamalima tausani ma ka palena komohaua, e ku pono ana i na apana no ka moi: a oia no ka alana hoano; a mawaenakonu ona kahi hoano o ka hale.
“Eneo linalobaki pande zote za eneo linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa magharibi. Maeneo yote haya mawili yanayoenda sambamba na urefu wa sehemu za makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu pa Hekalu itakuwa katikati yake.
22 A mai ka apana o na mamo a Levi, a mai ka apana no ke kulanakauhale, iwaenakonu o ko ka moi, mawaena o ka palena o Iuda, a me ka palena o Beniamina, no ka moi no ia.
Kwa hiyo milki ya Walawi na milki ya mji vitakuwa katikati ya eneo lile ambalo ni mali ya mkuu anayetawala. Eneo la mkuu anayetawala litakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini.
23 A o ke koena o na ohana, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana, no Beniamina hookahi.
“Kuhusu makabila yaliyobaki: Benyamini atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
24 A ma ka palena o Beniamina, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana, no Simeona hookahi.
“Simeoni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.
25 A ma ka palena o Simeona, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana, no Isakara hookahi.
“Isakari atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Simeoni kuanzia mashariki hadi magharibi.
26 A ma ka palena o Isakara, mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohaua, no Zebuluna hookahi.
“Zabuloni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Isakari kuanzia mashariki hadi magharibi.
27 A ma ka palena o Zebuluna mai ka aoao hikina a hiki i ka aoao komohana, no Gada hookahi.
“Gadi atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Zabuloni kuanzia mashariki hadi magharibi.
28 A ma ka palena o Gada ma ka aoao hema ma ke kukulu hema, mai Tamara ka palena a hiki i Meriba Kadesa, a i ka muliwai ma ka aoao o ke kai nui.
“Mpaka wa kusini wa Gadi utapita kusini kuanzia Tamari hadi maji ya Meriba-Kadeshi, kisha kupitia upande wa Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu.
29 Oia ka aina a oukou e puunaue ai ma ke pu ana no na ohana a Iseraela i hooilina; a oia hoi ko lakou mau apana, wahi a Iehova ka Haku.
“Hii ndiyo nchi mtakayogawanya kuwa urithi kwa makabila ya Israeli, nazo zitakuwa sehemu zao,” asema Bwana Mwenyezi.
30 Eia hoi na puka ana o ke kulanakauhale, ma ka aoao kukulu akau, eha tausani elima haneri ana.
“Haya yatakuwa ndiyo malango ya mji ya kutokea: Kuanzia upande wa kaskazini, ambayo urefu wake ni dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu,
31 A o na ipuka o ke kulanakauhale, mamuli no lakou o na inoa o na ohana a Iseraela: ekolu ipuka ma ke kukulu akau; hookahi ipuka o Reubena, hookahi ipuka o Iuda, hookahi ipuka o Levi.
malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi.
32 A ma ka aoao hikina eha tausani elima haneri; a ekolu ipuka; hookahi ipuka o Iosepa, hookahi ipuka o Beniamina, hookahi ipuka o Dana.
“Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani.
33 A ma ka aoao kukulu hema, eha tausani elima haneri ana: a ekolu ipuka; hookahi ipuka o Simeona, hookahi ipuka o Isakara, hookahi ipuka o Zebuluna.
“Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.
34 A ma ka aoao komohana, eha tausani elima haneri, a o ko lakou mau ipuka ekolu; hookahi ipuka o Gada, hookahi ipuka o Asera, hookahi ipuka o Napetali.
“Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.
35 O kona ana puni he umikumamawalu tausani ana: a mai ia la aku, eia hoi ka inoa o ke kulanakauhale, Malaila no Iehova.
“Urefu wote kuzunguka utakuwa dhiraa 18,000. “Nalo jina la mji huo kuanzia wakati huo na kuendelea litakuwa: Bwana yupo hapa.”

< Ezekiela 48 >