< Pukaana 36 >

1 A LAILA hana o Bezalela, a me Aholiaba, a me na kanaka a pau i akamai ka naau, na mea a Iehova i haawi mai ai i ke akamai, a me ka naauao e ike ai i ka hana i na hana a pau no ka oihana o ke keenakapu, e like me na mea a pau a Iehova i kauoha mai ai.
Hivyo Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo kujua jinsi ya kufanya kazi katika ujenzi wa sehemu takatifu wafanye kazi kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru.”
2 A hea aku la o Mose ia Bezalela, a me Aholiaba, a me na kanaka a pau i akamai ma ka naau, a Iehova i haawi mai ai i naau akamai, i na mea a pau hoi i ikaika ma ko lakou naau e hele e kokua i ka hana.
Musa akamuita Bezaleli, Oholiabu, na kila mtu mwenye ujuzi ambaye Yahweh kampa ujuzi, na ambaye moyoni mwake ulichochewa kuja na kufanya kazi.
3 A loaa ia lakou, na Mose ae, na haawina a pau a na mamo a Iseraela i lawe mai ai no ka hana o ka oihana o ke keenakapu, i mea e paa ai ka hana. A lawe mai no lakou ia ia i makana hou i kela kakahiaka, i keia kakahiaka.
Walipokea kutoka kwa Musa sadaka zote ambazo Waisraeli walizo leta kwa ujenzi ya sehemu takatifu. Watu walikuwa bado wanaleta sadaka za hiari kila asubui kwa Musa.
4 A hele mai la na kanaka akamai a pau, ka poe i hana i na hana a pau o ke keenakapu, mai ka hana mai, a lakou i hana'i.
Hivyo watu wote walikuwa na ujuzi walikuwa wakifanya kazi sehemu takatifu walikuja kutoka kwenye kazi walikuwa wakifanya.
5 A olelo mai la lakou ia Mose, i mai la, Ke lawe mai nei na kanaka a nui okoa aku, mamua o ka lawelawe ana i ka hana a Iehova i kauaha mai ai e hana.
Wachonga mawe walimwabia Musa, “Watu wanaleta zaidi sana ya yanayo itajika kufanya kazi Yahweh aliyo tuamuru.”
6 A kauoha ae la o Mose, a hookala aku la lakou ia, a puni kahi i hoomoana'i, i ae la, Mai hana hou kekahi kanaka, aole hoi kekahi wahine i hana no ka haawina o ke keenakapu. A hookiia iho la ka lawe ana mai o na kanaka.
Hivyo Musa akaamuru mtu yeyote asilete tena kwa ujenzi wa sehemu takatifu. Kisha watu wakaacha kuleta hivi vitu.
7 No ka mea, ua lawa na mea e paa ai ka hana a pau e hanaia'i a keu aku no.
Walikuwa na zaidi ya vitu vya ujenzi.
8 A o ka poe mea naau akamai a pau i hana i ka hana o ka halelewa, hana lakou i umi mau pale, he olona i hiloia, he uliuli, he poni, a me ka ulaula; hana no oia ia mau mea na kerubima, o ka hana a ka poe akamai.
Hivyo wachonga mawe miongoni mwao wakajenga lile hema la kuabudia kwa mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri na buluu, zambarau, na sufu nyekundu kwa aina ya kerubi. Hii ni kazi ya Bezaleli, mjenzi mwenye ujuzi sana.
9 He iwakaluakumamawalu kubita ka loihi o kekahi pale, eha kubita ka laula o kekahi pale, ua like hoi ka nui o na pale a pau.
Urefu wa kila pazia ulikuwa mikono ishirini na nane, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa vyote hivyo vilikuwa na kipimo kimoja.
10 A hai pu oia i na pale elima, kekahi i kekahi, a hui pu oia i kekahi mau lima, kekahi i kekahi.
Bezaleli akaunganisha vitambaa vitano pamoja, na vile vitambaa vingine vitano akaviunganisha pamoja.
11 A hana iho la no hoi ia i na puka lou uliuli, ma ke kae o kekahi pale, ma ka pelupelu ana maloko o ka huina. A pela no oia i hana'i, ma ke kihi loa o kekahi pale, ma kahi i huiia'i me ka lua.
Kisha akafanya vitanzi vya uzi wa bluu kwenye upindo wa kitambaa kilicho mahali pa kuungania. Akafanya vivyo hivyo kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pale pengine pa kuungania.
12 Hana no oia i kanalima puka lou ma kekahi pale, a hana no hoi i kanalima puka lou ma ke kae o ka pale, kahi i haiia'i me ka lua. O na puka lou ka mea i paa ai kekahi i kekahi.
Akafanya vitanzi hamsini kwenye kitambaa kimoja, akafanya vitanzi hamsini kwenye mwisho wa kitambaa kilichokuwa mahali pale pengine pa kuungania, vitanzi hivyo vikiwa vinaelekeana.
13 A hana oia i kanalima lou gula, a hui oia i na pale, kekahi me kekahi a paa i na lou. A lilo iho la ia i halelewa hookahi.
Mwishowe akafanya kulabu hamsini za dhahabu na kuviunganisha vitambaa hivyo pamoja kwa kulabu hizo, hivi kwamba hiyo ikawa maskani moja.
14 A hana no hoi oia i pale hulu kao no ka hale maluna o ka halelewa: hana oia ia mau mea, he umikumamakahi pale.
Bezaleli akafanya vitambaa vya mahema vya manyoya ya mbuzi kwa ajili ya hema lililo juu ya maskani. Vitambaa kumi na moja ndivyo alivyofanyiza.
15 He kanakolu kubita ka loihi o kekahi pale, a eha no kubita ka laula o kekahi pale; ua like ka nui o na pale he umikumamakahi.
Urefu wa kila kitambaa ulikuwa mikono thelathini, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa hivyo kumi na moja vilikuwa na kipimo kimoja.
16 A hui oia i elima mau pale a kaawale lakou, a i eono mau pale a kaawale lakou.
Kisha akaunganisha vitambaa vitano pamoja na vile vitambaa vingine sita pamoja.
17 A hana iho la no oia i kanalima puka lou ma ke kae loa o kekahi pale ma ka hui ana, a hana no hoi oia i kanalima puka lou ma ke kae o ka pale i hui me ka lua.
Kisha akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pa kuungania, naye akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kile kitambaa kingine kilichoungana nacho.
18 A hana no hoi oia i kanalima lou keleawe e paa ai ka hale, i lilo ia i hookahi.
Bezaleli akafanya kulabu hamsini za shaba kwa ajili ya kuliunganisha hilo hema pamoja liwe kipande kimoja.
19 A hana no hoi oia i uhi no ka hale, he mau ili hipakane i hooluu ulaula ia, a maluna aku, i uhi hou, he mau ili tehasa.
Naye akafanya kifuniko cha hema kutokana na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu na kifuniko kutokana na ngozi za sili, upande wa juu.
20 A hana no hoi oia i mau papa no ka halelewa, he laau sitima, e ku pono ana iluna.
Bezaleli akafanya viunzi vya mbao vya hema ya kukutani kutokana na mbao za mshita.
21 He umi kabita ka loa o kekahi papa, a hookahi kubita a me ka hapalua ka laula o kekahi papa.
Urefu wa kiunzi ulikuwa mikono kumi, nao upana wa kila kiunzi ulikuwa mkono mmoja na nusu.
22 Elua no komo ko ka papa hookahi, ua like no ke kaawale ana o kekahi, a me kekahi. Pela no ia i hana'i no na papa a pau o ka halelewa.
Kila kiunzi kilikuwa na ndimi mbili zilizounganishwa. Hivyo ndivyo alivyofanya viunzi vyote vya maskani.
23 A hana oia i papa no ka halelewa, he iwakalua papa no ka aoao hema ma ka hema.
Basi akafanya viunzi vya maskani, viunzi ishirini kwa ajili ya upande kuelekea kusini.
24 A hana oia i hookahi kanaha kumu kala malalo iho o na papa he iwakalua; elua kumu malalo o ka papa hookahi, no kona mau komo elua, a elua hoi kumu malalo o kekahi papa no kona mau komo elua.
Bezaleli akafanya vikalio arobaini vya fedha viwe chini ya vile viunzi ishirini, vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja pamoja na ndimi zake mbili na vikalio vingine viwili chini ya kiunzi kingine pamoja na ndimi zake mbili.
25 A no kela aoao hoi o ka halelewa, ma ke kihi akau, hana no oia i iwakalua papa,
Na kwa ajili ya ule upande mwingine wa maskani, upande wa kaskazini, akafanya viunzi ishirini
26 A me ko lakou kumu kala he kanaha; elua kumu malalo iho o kekahi papa, elua hoi kumu malalo iho o kekahi papa.
na vikalio vyake arobaini vya fedha. Vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja na vikalio viwili chini ya kiunzi kingine
27 A no na aoao o ka halelewa, ma ke komohana, hana oia i eono papa.
Na kwa ajili ya zile pande za nyuma za maskani kuelekea magharibi akafanya viunzi sita.
28 A hana oia i elua papa no na kihi o ka halelewa, ma na aoao elua.
Naye akafanya viunzi viwili vya pembeni ya maskani kwenye pande zake mbili za nyuma
29 A ua huiia ia mau mea malalo, a ua huiia ma na poo ma ke apo hookahi. Pela no oia i hana'i ia laua a elua, ma na kihi elua.
Hizi zilikuwa pacha upande wa chini, lakini juu ya kila moja kwenye pete ya kwanza. Hivyo ndivyo alivyoifanya yote miwili, ile miimo ya pembeni.
30 Ewalu no ia mau papa a o ko lakou mau kumu, he umikumamaono kumu kala, elua no kumu, a elua hoi kumu malalo o ka papa hookahi.
Basi vikajumlika kuwa viunzi vinane na vikalio vyake kumi na sita vya fedha, vikalio viwili kando ya vikalio viwili chini ya kila kiunzi.
31 A hana no oia i mau laau ki, he laau sitima; i elima no na papa ma kekahi aoao o ka halelewa,
Bezaleli akafanya miti ya mshita, mitano kwa ajili ya viunzi vya upande mmoja wa maskani,
32 A i elima hoi ki no na papa o kekahi aoao o ka halelewa, a i elima hoi ki no na papa o ka halelewa no na aoao ma ke komohana.
na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya upande ule mwingine wa maskani na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya maskani kwa ajili ya zile pande mbili za nyuma za magharibi.
33 A hana iho la oia i ka laau ki mawaenakonu, e puka loa, mai kekahi kala a i kekahi kala.
Kisha akafanya mti wa katikati upitie katikati ya vile viunzi toka mwisho mmoja mpaka ule mwingine.
34 A wahi iho la oia i na papa i ke gula, a hana iho la i ko lakou mau apo, he gula, i wahi no na laau ki, a wahi iho la i na ki i ke guia.
Naye akavifunika vile viunzi kwa dhahabu, akafanyiza pete zake za dhahabu ziwe vitegemezo kwa ajili ya ile miti, akaifunika ile miti kwa dhahabu.
35 A hana iho la oia i paku, he uliuli, a he ulaula, a he olona i hiloia, a hana no hoi i na kerubima, he hana na ka mea akamai.
Bezaleli akafanya pazia, la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kalitia makerubi kwa kazi ya mjenzi.
36 A hana oia i eha kia nona, he laau sitima, a uhi oia ia mau mea i ke gula. He gula no ko lakou mau lou, a hoohehee oia no lakou i mau kumu kala eha.
Kisha akalifanyia nguzo nne za mshita na kuzifunika kwa dhahabu, vibanio vyake vikiwa vya dhahabu, na kutengeneza vikalio vinne vya fedha kwa ajili yake.
37 Hana iho la no hoi oia i pale no ka puka komo o ka halelewa, he uliuli, he poni, he ulaula, a me ke olona i hiloia, ka hana a ka mea humuhumu lope ano e;
Naye akafanya kisitiri kwa ajili ya mwingilio wa hema kutokana na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mfumaji.
38 A me na kia ona elima, a me ko lakou mau lou; a uhi no hoi oia i ko lakou mau poo, a me ko lakou mau auka e paa ai i ke gula. Aka, he keleawe no ko lakou mau kumu elima.
Pia akafanya na nguzo zake tano na vibanio vyake. Naye akavifunika vilele vyake na viungo vyake kwa dhahabu, lakini vile vikalio vyake vitano vilikuwa vya shaba.

< Pukaana 36 >